Sisi ndio wanaume bwana!



Sasa babu we si ushazeeka afu mwalimu wa somo la sayansi alitufundisha kuwa ufanisi huwa unapungua mtu akishafikia stage ya kuitwa babu. Au globolaizesheni inateki place? Au ndo ile wanasema Mbuzi anazeeka maini... lolz
Address piliz ya mahali kikao kitakuwa...):behindsofa:
 
Hawalipiwi lakini wapo pia ambao hawadaiwi hata robo shilingi. Na wengine wanapewa mahari hizo hizo na hao wanawake zao wanaoenda kuwaoa so mwanamke anajinunua mwenyewe!

Kama mwanaume amepokea pesa kwa mwanamke ili amuoe huyo mwanamke huyo ni mwanaume suruali sio kidume. Kwa hali hiyo na kwa tamaa ya pesa basi hata Cameroon anaweza akampatia msaada mwishowe akarudisha fadhira huyo hafai.
 
Wanaume wengi kwa kweli wanatabia za wafanyama wa porini! Nisiulizwe kitu
 
Gee aliyekuamsha leo kesho asirudie....khaaaa!!!!

Bee....hivi kweli watununue kisha wasilipe kodi kweli? Taifa lile hasara hivi hivi khaaaa!

Hivi mahari ikipokelewa anakabidhiwa mwali au wazazi? Kama wanapewa wazazi maana yake ni kuwa wazazi "wameniuzia" umiliki wa binti yao. gadem! Mi sitapokea mahari ya binti zangu wallah!

Mahari anakabidhiwa mwanamke, akitaka anawagawia wazazi wake wa enjoy zawadi pamoja :]
 
Mj1,kwani hujawahi kusikia mtu amekopeshwa gari na hajatoa hata mia na gari analo?Achilia mbali kutoa nusu!
 
Aaaah Mwanajamii1

Siku hizi mambo ni kuwa Ms mwanzo mwisho wa maisha yako. Akikuoa akikuacha akikuletea kimada, hawara na nyumba ndogo atajijua mwenyewe! lol

Hahahah Gaijin si ndio hapo sasa na wao wanakuona mkorofi kisa hujabadili to their Prefixes: Mie nakumbuka nililazimishwaga kubadili nikaletewaga hadi ile nioniliu ya mahakamani, nikasainishwa but vyeti vya elimu na official names za kazini; zikabakia with Ms. Nlikuwaga naitumia Mrs kwenye vikao vya arusi na vitchen parties tu!! mwe!!
 
Hahahaha umiliki mama si lazima uwe kwa 100% Mahari haiishi kwa kuwa hatutakiwi kuondoa umiliki wa wazazi kwa binti yao.

Hahahaha mambo ya HISA! Mwenye hisa kubwa ndo mwenye mamlaka. Mme anamiliki 75% Wazazi wanabakiwa na 25%. Hii ndio siri ya mahari kutomalizwa. wazee waliona mbali bana.
 
Hizo 20% zitawatoka wenyewe mifukoni mwenu, kama tunataka milioni 10 tutawadai 12 ili tumuachie JK chake cha 2 M

khaa tena!! Kmbe hyo 10 ni exclsv, bsi bana yameisha maana naona inazd kla kw2
 

Huuu! Silazimishiki hata kidogo! lolz .......
 
Pamoja na hayo yote, sheria inasema huwezi uza kitu ambacho hauna umiliki, sasa swali kwa ODM ikiwa una full umiliki naomba uniuzie makoloni yako na ile ownership of property i pass kwangu?
Kama upo tayari nijuze fasta.
 
khaa tena!! Kmbe hyo 10 ni exclsv, bsi bana yameisha maana naona inazd kla kw2

bei ya mahari haiwezi kuwa VAT inclusive bana, inashusha value ya mke sasa...lol
 
Hahahaha....... mkuu kaunta ya juu lazima ihusike. Mitaa ya Sinza na haka kamvua, nyagi litapata habari yake. Huo ndio uanaume sasa!

Pamoja na hayo yote, sheria inasema huwezi uza kitu ambacho hauna umiliki, sasa swali kwa ODM ikiwa una full umiliki naomba uniuzie makoloni yako na ile ownership of property i pass kwangu?
Kama upo tayari nijuze fasta.
Makoloni ni mali ya mtawala......... turudi kwenye hoja tafazali .LOL
 
Tena nini! Mchakato wa katiba mpya ni sasa. Wanaume kama mnataka kutambulika kisheria kuwa mmenunua wanawake wakati wenu ni huu.

Sheria ikiwatambua, mlipe kodi. Mla huliwa

halafu basi siku hizi wengi 'wanakopa' mahari

n sheria ikiwatambua ili walipe kodi ndo watajuta...cash bin cash, hakuna cha 'wazee kwa sasa mchukue tu hela ya blanketi la babu kisha mahari baada ya ndoa.

Lipeni cash bana kwanza hazina haina hela, hizo kodi zitasaidia sana serikali kuu
 
bei ya mahari haiwezi kuwa VAT inclusive bana, inashusha value ya mke sasa...lol
Sasa nyie si mmeamua kukaba hivi hauoni Gaijin anaziba mianya yote umebakia huo mmoja tu ambao ni VAT Inclusive ila nimeomba sheria hii isipitishwe wakati JK bado yuko madarakani.
 
Teh,teh,teh,teh,mtapinga sana mwisho wa siku wanawake wote wanajua wapo kwaajili yetu vidumee!
 
Sasa nyie si mmeamua kukaba hivi hauoni Gaijin anaziba mianya yote umebakia huo mmoja tu ambao ni VAT Inclusive ila nimeomba sheria hii isipitishwe wakati JK bado yuko madarakani.

Shida tuliyonayo sasa kama taifa kisha unataka serikali iendelee kukosa pato halali kwa kipindi cha miaka minne ijayo! Tungekutwisha che cha fisadi nyangumi lakini bahati mbaya kina mmiliki tayari......😛
 
Wanawake wote wa JF wanawakilishwa na Gaijin na bht kwenye hili timbwili.MJ1 kagusa akaona pa moto amesepa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…