King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Hivi huna habari kuna wanaume wasio na wakuwakatia kiu zao? Unaonaje bibi nae akatoa msaada?
Mwanaume rijali anamridhisha mwanamke wake physically na emotionally. Kama mwanamke wakpo anaridhika emotionally kwa kuchelewa kwako kurudi kila mara,its well and good. Msidanganyane hapa wengine wakaenda kuondolewa uanaume wao na wanawake zao!
Mwanaume rijali anamridhisha mwanamke wake physically na emotionally. Kama mwanamke wakpo anaridhika emotionally kwa kuchelewa kwako kurudi kila mara,its well and good. Msidanganyane hapa wengine wakaenda kuondolewa uanaume wao na wanawake zao!
Hahahaha......... kuna sababu nyingi bana...
Hawa mabinti wasio na wanaume zao nani atawakata kiu yao?