Sirudii tena kufanya ujinga highway

Sirudii tena kufanya ujinga highway

Kuna kidaraja Moro town maeneo ya nanenane niko naelekea msamvu, basi la Abood likatoka nyuma likapiga taa nyekundu mbio likanibana kwenye mavyuma ikabidi nigongeshe pikipiki kwenye mavyuma, bahati nzuri nilkua sijaingia katikati ya daraja. Nilihisitayar niko kaburini.
Ungeingia tu chemba Yutong ingefanya yake😅
 
Kuna kidaraja Moro town maeneo ya nanenane niko naelekea msamvu, basi la Abood likatoka nyuma likapiga taa nyekundu mbio likanibana kwenye mavyuma ikabidi nigongeshe pikipiki kwenye mavyuma, bahati nzuri nilkua sijaingia katikati ya daraja. Nilihisitayar niko kaburini.
Picha tafadhari
 
pole sana kwa majaribu hayo,
kuwa makini unaposafiri jitahidi usiwe na haraka uiwa barabarani
 
Siku nyingine ujifunze kuwa pikipiki ya 150cc nina assume boxer huwa inazalisha maximum 20HP on full throttle!

Overtaking ya kimashine kidogo namna hio ni ngumu ila mnajitiaga wendawazimu tu kujifanya mnaweza kukimbizana na magari na hizo pikipiki zenu huwa nawashangaa mno.

Hio semi kama ni scania inaweza isipungue 400HP yani amekuzidi power almost mara 20 ya pikipiki yako hio. Ukiwa highway kuwa mpole tu acha mbwembwe za ku overtake malori maana akikaza mguu kidogo tu huwezi kumkata.
Mkuu umeongea kitaalamu pikipiki za Mchina hamna kitu ingekua ya Mjapani hata ikiwa 125 CC Two Stroke ni nyepesi kuchanganya wenye malori unawala km wamesimama tatizo pikipiki Two Stroke hazitakiwi duniani sababu ya uhifadhi wa mazingira.
 
Ukiwa barabarani.
1.kuwa mvumilivu
2. Ondoa hasira
3. Overtake ni kusogeza siku zako za kufa.
4. Fuata sheria za barabarani
5. Usiku mwisho 60km/hr
6. Kuendesha kasi kunaua
7.maisha matamu lakini mafupi kwa nini uyafupishe tena?
 
Ukiwa barabarani.
1.kuwa mvumilivu
2. Ondoa hasira
3. Overtake ni kusogeza siku zako za kufa.
4. Fuata sheria za barabarani
5. Usiku mwisho 60km/hr
6. Kuendesha kasi kunaua
7.maisha matamu lakini mafupi kwa nini uyafupishe tena?
Umesahau: kama una stress never na never usingie barabarani esp highway.
Kama umelewa kamwe usijaribu.
 
Jamani ajali haina kinga jana saa 11 jioni natokazangu Moro town kula Boxing day kwa usafiri binafsi wa pikipiki narudi bush inaitwa Nyamwambe km 40 toka Moro town.

Kufika maeneo ya Mkambarani nikiwa nyuma ya Semi Trailler nikaamua kuongeza mwendo ili ni-overtake.

Nikiwa katikati ya Semi kwambali mbele yangu inakuja gari ya wajeda nayo Semi nakajua tawahi ku-overtake mahesabu yakakataa ikabidi nipenye katikati ya Semi mbili

Sirudii tena kufanya ujinga high way madereva wa magari kila pikipiki wao wanajua bodaboda hatakama unatumia kwa shughuli binafsi wangeamua kunipiga pasi leo ningezikwa mlima kola.
Nilikuona na nikqshangaa maamuzi yako ila baadaye nikadhani mmeingia ubia mnatengeneza movie na wale wajeda
 
Mi kuna boda nilimkodi akafanya huo upuuzi wa kupita katikati ya semi mbili mandela road, niliapa sipandi pikipiki kamwe, huku naona mitairi mikubwa huku nako hivyohivyo nilitokwa na makamasi kama kondoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Jamani ajali haina kinga jana saa 11 jioni natokazangu Moro town kula Boxing day kwa usafiri binafsi wa pikipiki narudi bush inaitwa Nyamwambe km 40 toka Moro town.

Kufika maeneo ya Mkambarani nikiwa nyuma ya Semi Trailler nikaamua kuongeza mwendo ili ni-overtake.

Nikiwa katikati ya Semi kwambali mbele yangu inakuja gari ya wajeda nayo Semi nakajua tawahi ku-overtake mahesabu yakakataa ikabidi nipenye katikati ya Semi mbili

Sirudii tena kufanya ujinga high way madereva wa magari kila pikipiki wao wanajua bodaboda hatakama unatumia kwa shughuli binafsi wangeamua kunipiga pasi leo ningezikwa mlima kola.
Siku zote madereva wa Semi trailer huwa wana matatizo makubwa mawili.

1- Huwa hawalali usiku maana kazi zao nyingi ni usiku.

2- Huwa hawajali watumiaji wengine wa barabara kutokana na ukubwa wa magari yao. Kwahiyo ni jukumu la watumiaji wengine kujali usalama wao.

Kwahiyo kuwa makini unapoendesha karibu na SEMI
 
Back
Top Bottom