Sirocco: Nokia yaunda simu imara zaidi duniani ya Android

Sirocco: Nokia yaunda simu imara zaidi duniani ya Android

Natamani kuiona Nokia ikitumia operating system tofauti na Android.
Ispotumia android haitafika popote. Labda iundwe os yenye ufanisi zaidi ya android ndio itaweza kuhimili ushindani. We sahivi android ipo hadi kwenye saa za mkononi, ma TV majumbani unadhani ni kitu kidogo hiko.

Na strength ya android ni vile iko customizable sana unaweza iweka katika kifaa chochote chenye asili ya computer na ikafanya kazi kwa ufanisi zaidi ni ngumu kuitoa android sokoni.
 
kila kitu kipo fresh, tatizo bei sasa dooohh sisi watu wa chini tutasubir second hand tu hkn namna
hio soc imetumika simu chache tu mpaka sasa . na hata ukiangalia simu kama xiaomi redmi note 3 na Oppo R11 plus zote bei zake ni humo humo. Hivyo kupata Simu ya Brand kubwa kwa bei kama simu ya Kichina ni nadra sana.

kama budget ni ndogo labda usubirie simu kama Nokia 4, snapdragon 450 na pengine isifike laki 4 bei.
 
hio soc imetumika simu chache tu mpaka sasa . na hata ukiangalia simu kama xiaomi redmi note 3 na Oppo R11 plus zote bei zake ni humo humo. Hivyo kupata Simu ya Brand kubwa kwa bei kama simu ya Kichina ni nadra sana.

kama budget ni ndogo labda usubirie simu kama Nokia 4, snapdragon 450 na pengine isifike laki 4 bei.
zikitoka naomba untag km hutojali
 
hio soc imetumika simu chache tu mpaka sasa . na hata ukiangalia simu kama xiaomi redmi note 3 na Oppo R11 plus zote bei zake ni humo humo. Hivyo kupata Simu ya Brand kubwa kwa bei kama simu ya Kichina ni nadra sana.

kama budget ni ndogo labda usubirie simu kama Nokia 4, snapdragon 450 na pengine isifike laki 4 bei.
Nimeona fununu iphone inakuja na dual sim.
 
inawezekana,

ila naona kama Arm wanataka wazitoe kabisa line za simu. ziwe simu zinakuja na line built in.
itabidi waziweke free to air....yan ukinunua inbuilt kwa pande za nchi za huku kwetu ambazo hazina mtandao wa AT & T unakuwa tu unaenda kwa network provider unaowataka unaisajili so inbuilt inakuwa free to any network
 
itabidi waziweke free to air....yan ukinunua inbuilt kwa pande za nchi za huku kwetu ambazo hazina mtandao wa AT & T unakuwa tu unaenda kwa network provider unaowataka unaisajili so inbuilt inakuwa free to any network
yah itakuwa hivyo, inakuwa ndani ya processor.

kuanzia 5g simu zitakuwa sio primary tena, internet of things itatawala, by 2025 kutakuwa na mabilioni ya IOT na by 2035 wanakadiria matrilioni ya IOT. hivyo vyote hivi vinahitaji line, ndio maana wana integrate kwenye processor.
 
yah itakuwa hivyo, inakuwa ndani ya processor.

kuanzia 5g simu zitakuwa sio primary tena, internet of things itatawala, by 2025 kutakuwa na mabilioni ya IOT na by 2035 wanakadiria matrilioni ya IOT. hivyo vyote hivi vinahitaji line, ndio maana wana integrate kwenye processor.
Tanzania sisi sijui bd tupo kweny generation gani ya technology......maisha ya nchi hii kila sector tupo vibaya.
 
I second you.

I hate android japo naitumia sometimes.

Android is never optimized in any device other than Google devices.

Nokia should reinvent Jolla OS.
Simu za Nokia zilikuwa tamu sana kwenye OS ya Symbian na Maemo yaani nilikuwa hata sichoki kuzitumia, tatizo app developer wanakosekana kwenye hizi OS nyingine ndo maana unaona haziwezi ku-compete na OS like Android na iOS
 
inawezekana,

ila naona kama Arm wanataka wazitoe kabisa line za simu. ziwe simu zinakuja na line built in.
Wakifanya hivyo watakuwa wamefanya ujinga wa hali ya juu sana hasa kwa sisi tuliozoea ku-switch SIM card
 
Wakifanya hivyo watakuwa wamefanya ujinga wa hali ya juu sana hasa kwa sisi tuliozoea ku-switch SIM card
haijajulikana implementation yake itakuaje mkuu.

mfano wanaweza wakaweka mfumo line moja inaweza ikawa na namba 5. hivyo unaweza ukasajili zote tano na ukazi switch na app tu, wakaweka maximum zinazokuwa active ni 2. implementation yake ndio itakayoamua kama ni njia nzuri ama la.
 
Back
Top Bottom