Only in Africa
Siyo afrika pekee. Hata Reagan alikuwa Democrat kabla ya kuhamia Republican.
Hoja ya Rais Magufuli ni rahisi kwamba ni CCM pekee ambayo ina utaratibu wa kuachiana uongozi wa Chama kila baada ya miaka kumi. Kama kipo chama kingine kinachofanya hivyo kitajwe. Tujadili hoja bila ushabiki