Siri za ndani...

Siri za ndani...

mkuu nilishuhudia demu mmoja anamhadithia mwenzie alivyo mteka mme wa mtu akasema alikuwa anabana sauti mpaka jamaa alikubali akasema kule kunako aliweka manjonjo jamaa alikuwa hana mpango wa kulala lakini alimsahau mke wake very sad. Nikaondoka kimya kimya nakuwaachia pilau mezani.


hahahahaha...

Huo utaratibu upo mkwa wanawake zaidi, kwa wanaume sio rahisi na mwanamume anayejiheshimu hawezi kumdhalilisha mke/mpenzi wake kwa mwanamke mwingine...hiyo inabaki siri, basi.

ila pia inabidi kujua kama hao wanaobana pua kama wanakuibia au la, ni vematukajua mbinu za mwanamke anayetaka kukuteka/kukuibia especially kama sio mke/mpenzi wako
 
hapa nilijua tu kuna members NEVA MISS!
1-fidel 80

2-nyani ngabu

3-

4-
 
Duh kumbe hata makazini ipo!!

Nilichoka!!

We acha tu hii ipo mpaka sehemu tunazo kunywa.
Kuna mama anajigamba mme wake kila anavyo taka kula tunda anakuta bikra huyo mama ukimwona huwezi amini anaenda mbali mzee kwani anaweza kupiga vitu dk2 tu ulimi nje ndo maana ipo kama bikra.
 
mkuu nilishuhudia demu mmoja anamhadithia mwenzie alivyo mteka mme wa mtu akasema alikuwa anabana sauti mpaka jamaa alikubali akasema kule kunako aliweka manjonjo jamaa alikuwa hana mpango wa kulala lakini alimsahau mke wake very sad. Nikaondoka kimya kimya nakuwaachia pilau mezani.

Hahah hawa mara nyingi ndo wale ambao anaweza hata kukwambia siri ya kumfanya mume wa mtu asahau njia ya kwa mkewe duh ila nanyi mkikamatwaga mnakamatwaga pabaya! Kama Fidel napata picha jimama limekuruhusu ujiexpress kama mama chanja hujamsahau weye (joke)
 
We acha tu hii ipo mpaka sehemu tunazo kunywa.
Kuna mama anajigamba mme wake kila anavyo taka kula tunda anakuta bikra huyo mama ukimwona huwezi amini anaenda mbali mzee kwani anaweza kupiga vitu dk2 tu ulimi nje ndo maana ipo kama bikra.
...................... Etiiii!?
 
H Kama Fidel napata picha jimama limekuruhusu ujiexpress kama mama chanja hujamsahau weye (joke)

kwi kwi kwi kwi hii sikuiona hahahaha.
Mi nakula vitu heavy sana mpaka iwa najiuliza kha! inakuwaje sijui nasemwa huko?Yawezekana nasemwa kwa vile nachukua mbali inakuwa ngumu.
 
Karibu Bellies naona Masa umemficha kabisa.
Umemficha kabatini au wapi bellies?
 
hao watakluwa wanasema makusudi ili wawanase ninyi kaka zangu duh mbona hiyo ni hatari.

Yaani we acha tu mbona nipo kwenye ndoano tayari mbona nimeomba ushauri sana hapa kuna thread imepelekwa kwenye mambo ya kikubwa nimesha nasa nataka kujinasua pitia kule utaiona.
 
Yaani we acha tu mbona nipo kwenye ndoano tayari mbona nimeomba ushauri sana hapa kuna thread imepelekwa kwenye mambo ya kikubwa nimesha nasa nataka kujinasua pitia kule utaiona.


Haaa akumbe kweli pole kaka yangu!! ila halahala wa hivyo ukimshughulikia hakawii kukusema kama hukutoa dozi ya uhakika!!
 
Haaa akumbe kweli pole kaka yangu!! ila halahala wa hivyo ukimshughulikia hakawii kukusema kama hukutoa dozi ya uhakika!!

Nitajikunja sawa sawa nakula konyagi+red bull hapo mwanzo mwisho.
Lakini sitaki maana ni kitu kipo mtaani pale kwa hiyo aibu.
 
You are one in a million and my wifi must be very luck to have you!

I salute you kaka.

Joke: Ila hii nayo ni sifa ati unayoitoa tutaanza kukunyatia ili tumpindue huyo lucky lady ohoooo!!🙄


Ha ha ha MOne. Niko kwenye ndoa kwa muda mrefu sana. Si rahisi kunipata tena. Pengine ingekuwa rahisi kunipata wakati ule kukiwa na STDs tu si wakati wa Ukimwi huuu. Wanaume wengi tunakuwa loose ndiyo maana tunapata muda wa kunatia malaya. Jiweke busy. Amini sana hivi niko hapa ofisini, baada ya muda natoka namfuata my wife twende home!! sana sana nitapita kukata kiu kama atahitaji, unajua ukiwa mmekaa mahali hata kwa nusu saa tu nje ya mazingira ya nyumbani na mkeo it brings a huge difference in your relation. Nilipooa those years ago, nilifunga encyclopedia zote za girlfriends, after all sikuwa nao wengi, and one at a time kama tukishindwana sera. Sera yangu kuu sikuwa nataka mapepe. I wanted a mother to my children and we are happy, with our four grown up children, except one ataingia chuo this year. Halafu kama baba as a kichwa cha nyumba umetulia na mkeo atatulia tu unless kama takuwa umeoa mradi kuoa ndipo shida inaanza, mnanza kupayuka siri za ndani nje.
 
hapo patamu wanaa! duh! mademu kwa kuanika bwabwa kwa walaji ni noma cjui huwa wanataka ninii,na hii ndo hupelekea wao kukatwa sana na machizi, weaknes za mume unaztupa kwa madowezi unategemea nini ni lazma watakula kolikoli hadi wampate ili nao wakatangaze aah! mume wa vella! mbna harukii! upande wa walume hyo siyo sana kumsema mwenza na hii ni kuficha ili vidume vngine visije faida dikodiko zako, japo men hujsifu walapo MTANDAO kwa vimada.
 
hapo patamu wanaa! duh! mademu kwa kuanika bwabwa kwa walaji ni noma cjui huwa wanataka ninii,na hii ndo hupelekea wao kukatwa sana na machizi, weaknes za mume unaztupa kwa madowezi unategemea nini ni lazma watakula kolikoli hadi wampate ili nao wakatangaze aah! mume wa vella! mbna harukii! upande wa walume hyo siyo sana kumsema mwenza na hii ni kuficha ili vidume vngine visije faidi dikodiko zako, japo men hujsifu walapo MTANDAO kwa vimada.
 
Ha ha ha MOne. Niko kwenye ndoa kwa muda mrefu sana. Si rahisi kunipata tena. Pengine ingekuwa rahisi kunipata wakati ule kukiwa na STDs tu si wakati wa Ukimwi huuu. Wanaume wengi tunakuwa loose ndiyo maana tunapata muda wa kunatia malaya. Jiweke busy. Amini sana hivi niko hapa ofisini, baada ya muda natoka namfuata my wife twende home!! sana sana nitapita kukata kiu kama atahitaji, unajua ukiwa mmekaa mahali hata kwa nusu saa tu nje ya mazingira ya nyumbani na mkeo it brings a huge difference in your relation. Nilipooa those years ago, nilifunga encyclopedia zote za girlfriends, after all sikuwa nao wengi, and one at a time kama tukishindwana sera. Sera yangu kuu sikuwa nataka mapepe. I wanted a mother to my children and we are happy, with our four grown up children, except one ataingia chuo this year. Halafu kama baba as a kichwa cha nyumba umetulia na mkeo atatulia tu unless kama takuwa umeoa mradi kuoa ndipo shida inaanza, mnanza kupayuka siri za ndani nje.

Heshima yako mkuu. 😀
 
Back
Top Bottom