duh watu wanapeana dozi kubwa kubwa tuu humu ....well, usiwaite wengine wajinga wakati wewe unaandika uischokijua:Ukristu hakuna wa wazungu na wengine, na ukristu haukuwahi kuwa wa wazungu...ila wazungu walikuza dini nyingi tuu..na si dini tuu ,kil autamaduni ulioingia kwa wazungu wakaupenda waliuuza.
-Ukristu ulianzishwa na wayahaudi na Mitume wote wote alikuwa wayahudi:ILa ulipata mlipuko mkubwa baada ya wagiriki(wayunani) wasomi walipouchukua na kutumia kaili zao kuuendeleza, na Ulipata nguvu za dolar..mfalame wa Super power ya wakati ule Rome alipoukubali Ukristu.Na hivyo Ukristu ukawa na Nguvu ya Dola na Nguvu ya wasomi wa juu kabisa ktk karne ile.
-Uislma nao haukuwa n aushawishi wa kisomi hadi pale waturuki walipouchukua na kuuingiza ulaya na kuchukua sehumu shemu ambazo tayrai Ukristu ulikuwa umeshika mizizi, kuanzia uturukia penyewe, syria, lebanon, Mistri, uarabu na Bagdad, hadi ulaya mashriki na urusi,Irani hadi upande wa Asia ,abra hindi.
Unachokiona leo ni kwamba wakristu walipunguzwa sana nguvu mashariki ya kati na wayahudi na waislam, ila magharibi ,ulay ana baadaye Marekani walishasitawi kwa dini n ahivyo wakwa ndio walioshikilia ukristu wakiw ana elimu bora, pamoja na nguvu z akijeshi na ifedha.Waraabu wakaparangana na uislam pamoja n mataifa yaliyokwisha uchukua, hadi mafanikio ya mafuta kuja ,hadi leo uislam umebaki mikononi mwa waarabu, kidogo na wairan ambao pia Uturuki anashindana nao ktk nguvu ya kielimu na kijeshi.