Siri yakumaliza ugomvi ndani ya mahusiano.

Siri yakumaliza ugomvi ndani ya mahusiano.

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,992
Reaction score
5,660
Tumejaribu kuwauliza wazee kwanini walifanikiwa kwenye mahusiano. Akatokea bibi mmoja akatuchana live. Akasema Mara nyingi akina Dada wanafunga benki zao za pale kati wakati akina kaka tupo tayari kila wakati kupeleka hela zetu lakini tunakosa Huduma nakwakawaida sisi tuko tofauti sana kila wakati nyama nyingine zinakua mifupa najukumu lenu akina Dada nikuzitoa kwenye hali ya mifupa kurudisha kwenye nyama maana tuna mifupa mingi sana mingine tusipoirudisha kwenye hali ya nyama tutaelemewa sana.
FB_IMG_15745277521529056.jpg

Yule bibi akasema hajawahi kuona vitu vinavyopendana kama kule kati.
Akasema kama upo kwenye mahusiano mwenzako akaanzisha ugomvi wowote basi usijibizane nae mwoneshe pale kati fasta ugomvi utaishia kitandani. Akasema kuwa yeye aliweza kudumu kwenye ndoa zaidi ya miaka 50 kwasababu Mme wake alipokua anaanzisha ugomvi huyo bibi hakuwa anamjibu alikua anasaura manguo babu anaona uno kati kunasalimiana ugomvi unaishia kitandani. Na mume wake alikua anamwonesha mkono wa tembo bibi alipoanzisha ugomvi bibi anadata anabaki kusema babe nakupenda.
Je hii njia ikitumika katika mahusiano itasaidia kumaliza migogoro au kuleta amani kwenye ndoa?
 
Sio kwa wanawake wa nyakati hizi wanaona k kama fimbo kumchapa mwanaume!
 
Sana alafu wanashindwa kujua fleva tunapata wote wanajidanganya fleva tunapata sisi peke yetu ndomana wanatuletea mambo meusi
 
Siri kubwa ya kumaliza tofauti ni moja tu.

Kupuuza vikwazo/changamoto zote

Palipo na binadamu zaidi ya mmoja:-
-Tofauti hazikosekani
- changamoto hazikosekani

Ukiweza
1. Kupuuza
2. Kujishusha

Siku zote kwako usalama wakutosha, amani na utulivu.

Sababu kubwa ya kupambana, kuhitilafiana ni kushindwa kujishusha na kuachilia mbali
-Kujiona bora zaidi ya mwenzako
-Tunajimwambafai ilikuwa juu ya mwenzi
-Viburi vya kibabe .... (hanitishi mimi)

Vyovyote iwavyo hasira ni hasara, jeuri ni hasara hatima yake kuparaganyika

Jambo dogo sana liaweza kuvunja ndoa au urafiki ilihali ufumbuzi ilikuwa nikupuuza tu....kufrahi nakuonesha hakuna tatizo. Maisha yanasonga.

tusiweke mafundo/hasira/vinyongo moyoni

akikukosea mwenzako ujuwe fika ipo siku nawewe utamkosea. Wote tunakosea hivyo ....kuvumilia ndio soluhisho ...ilikudumu.

hakuna mmalaika yeyote utakaye Mwendea anamapungufu yake, nawewe unamapungufu yako.
 
Aisee asikwambia mtu fanya yote ntakupotezea ila usaliti hapana!!

Hafu enzi hizo watu walikuwa wana heshima si me wala ke ndio maana mambo yao mengi ndio funzo kwetu leo.

Walioana kwa kufahamiana kwa kuzingatia uzuri, tabia vyote pande mbili ziliyazingatia haya!!

Tuki rudi Eden mambo yatakuwa
 
Umeongea point kubwa sana nawengi hawajui kushusha hasira ndo maana mitafaruko haishi
 
Hahaha kibaya zaidi ni kufungiwa benki halafu wanaenda kutoa tunda kimasihara
 
Hahaha kibaya zaidi ni kufungiwa benki halafu wanaenda kutoa tunda kimasihara
Hahahaha na unajua tena usipopeleka hela ukazimwaga benki unaelemewa na mawazo sana inabidi utafute Benki ya kumwagia ili ulale kwa amani maana majambazi wengi.
 
Utaweza Fanya hayo yote ila mwenzako hajali hata kidogo. Dunia bibi aloipitia sio dunia sisi tunayoipitia.

Sisi tunaishi dunia " kama naweza kupata maziwa kila Siku kwa nini jifuge ng'ombe"? Other wise huu Uzi ni burudani tu kama zingine.
 
Uyo Bibi yupo sawa kabisa . Ugomvi wa mume na mke huisha kwa Kula utamu tu . Mkimaliza utasikia lakini uliniuzi ila Sasa nimefurahi
 
Utaweza Fanya hayo yote ila mwenzako hajali hata kidogo. Dunia bibi aloipitia sio dunia sisi tunayoipitia.

Sisi tunaishi dunia " kama naweza kupata maziwa kila Siku kwa nini jifuge ng'ombe"? Other wise huu Uzi ni burudani tu kama zingine.
Unaupeo sana wakuangalia mbali umetufanya tuzidi kugundua ukweli
 
Uyo Bibi yupo sawa kabisa . Ugomvi wa mume na mke huisha kwa Kula utamu tu . Mkimaliza utasikia lakini uliniuzi ila Sasa nimefurahi
Alafu utashangaa kusikia hivi babe nimekuudhi leo e, nisamehe bure, nishakusamehe usirudie tena unajua sipendi
 
Mmmh kwa wanawake wa siku hizi K ni kitega uchumi chao, haoni gadhabu kwenda kuigawa inje hata kama kaacha dushe ndani.
 
Back
Top Bottom