Siri yakumaliza ugomvi ndani ya mahusiano.

Siri yakumaliza ugomvi ndani ya mahusiano.

Aisee asikwambia mtu fanya yote ntakupotezea ila usaliti hapana!!

Hafu enzi hizo watu walikuwa wana heshima si me wala ke ndio maana mambo yao mengi ndio funzo kwetu leo.

Walioana kwa kufahamiana kwa kuzingatia uzuri, tabia vyote pande mbili ziliyazingatia haya!!

Tuki rudi Eden mambo yatakuwa
Mara paap anakuonyesha pale kati anapoishi bakari jicho moja kada wa fisiemu kama mtoa mada anavyotueleza bado hautamsamehe ?
 
Mara paap anakuonyesha pale kati anapoishi bakari jicho moja kada wa fisiemu kama mtoa mada anavyotueleza bado hautamsamehe ?

Bila kupuuza kero za awali nakushusha hasira, utaona anakudhihaki na si ajabu ukafura zaidi.

Kujishusha na kusamehe kutakufanya uone na kuthamini uwepo wake.
 
Aisee asikwambia mtu fanya yote ntakupotezea ila usaliti hapana!!

Hafu enzi hizo watu walikuwa wana heshima si me wala ke ndio maana mambo yao mengi ndio funzo kwetu leo.

Walioana kwa kufahamiana kwa kuzingatia uzuri, tabia vyote pande mbili ziliyazingatia haya!!

Tuki rudi Eden mambo yatakuwa
Usaliti hutokana na kufunga benki mapema
 
Wadada wa siku Izi Ukimuonyesha Dushe uku Kafura, Achelewi kukudhiaki ICHO KIBAMIA CHAKO UNAMUONYESHA NANI/ NITOLEE KIBAMIA CHAKO HAPA

Hapo lazima uibuke ugomvi mwingine yaani ugomvi juu ya Ugomvi.
 
Tatizo, ke wa sasa wanaona k kama fimbo ya kumchapia mwanaume bila kujua k zipo nyingi tena za cheap.

Lakini pia inategemeana na chanzo cha ugomvi wenu. Mfano chanzo kikiwa usaliti, kuelewana siyo rahisi. Hata angevua nguo zote.
 
Back
Top Bottom