Mwakatobe wa Mwakato
Member
- Jul 29, 2015
- 17
- 1
Katika magazeti ambayo huwa sijisumbui kuyasoma ni pamoja na MAWIO na Mwanahalisi. Hakuna hoja yoyote ni upuuzi tu kutoka kwa wapuuzi wakiongozwa na mpuuzi Saed Kubenea
Nakuunga mkono mkuu...
Nilikua ninasoma sana mwanahalisi..lilikua linanyambua sana kuhusu Luwasa na ufisadi wake
Daaah kumbe lilikua haliongei kwa Uzalendo namaslahi ya Watanzania kama nilivyokua nikifikiri.
Sasa mtu aliemuamini/anaeamini kinachoongelewa na Kubenea, Tundu Lissu, Mnyika, Mbowe na wenzie atakua ana walakini