Siri yafichuka CHADEMA kuhusu Katiba ya nchi

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,932
32,341
Wanabodi...

Hatimaye Chama cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), kimeonyesha uhalisi wa rangi yake..

Kinataka kushinikiza aina ya katiba kinayoitaka kwa ajili ya faida na maslahi yake ya kisiasa na siyo vingenevyo.

Siku moja tu baada ya kutiwa saini muswada wa sheria hiyo, Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, alisema walimshauri Rais kutosaini muswada huo..

Watanzania wapenda amani wanamuliza John Mnyika, awaambie ni lini miswada yote ya sheria iliyopitishwa na bunge lilelile ambalo naye mbunge iliwahi kupelekwa kwa wananchi wote na kujadaliwe huko kwanza..

Chadema wamemkabidhi Rais rasimu ya katiba ambayo walijifungia ndani kisha wakaiandika bila kuwasharikisha wananchi na kuibuka nayo Ikulu..

Tunaomba watuambie walikusanya maoni hayo kutoka wapi ili tuone kama ni kweli hawakujifungia chumbani au wameyapata kutoka kwenye makongamano mbalimbali hapa Tanzania..

Watanzani wapenda amani wameiomba serikali isikubali kuyumbishwa na kikundi kidogo cha wanasiasa na wafuasi wao..

Hivyo wakataka mchakato wa kupata katiba mpya kwa ajili ya maslahi ya taifa uendelee.
 
Wanabodi...

Hatimaye Chama cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), kimeonyesha uhalisi wa rangi yake..

Kinataka kushinikiza aina ya katiba kinayoitaka kwa ajili ya faida na maslahi yake ya kisiasa na siyo vingenevyo.

Siku moja tu baada ya kutiwa saini muswada wa sheria hiyo, Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, alisema walimshauri Rais kutosaini muswada huo..

Watanzania wapenda amani wanamuliza John Mnyika, awaambie ni lini miswada yote ya sheria iliyopitishwa na bunge lilelile ambalo naye mbunge iliwahi kupelekwa kwa wananchi wote na kujadaliwe huko kwanza..

Chadema wamemkabidhi Rais rasimu ya katiba ambayo walijifungia ndani kisha wakaiandika bila kuwasharikisha wananchi na kuibuka nayo Ikulu..

Tunaomba watuambie walikusanya maoni hayo kutoka wapi ili tuone kama ni kweli hawakujifungia chumbani au wameyapata kutoka kwenye makongamano mbalimbali hapa Tanzania..

Watanzani wapenda amani wameiomba serikali isikubali kuyumbishwa na kikundi kidogo cha wanasiasa na wafuasi wao..

Hivyo wakataka mchakato wa kupata katiba mpya kwa ajili ya maslahi ya taifa uendelee.

KUMBE!!! walienda na kumkabidhi mh. Rais kwa vicheko.. wakadhani Rais ataachana na mawazo ya waliowengi.! isitishe yalipigiwa kura! na wabunge waliobaki bungeni

binafsi mi naona JK alifanya kitendo cha kishujaa ku sign ile kitu!
 
Chadema wamemkabidhi Rais rasimu ya katiba ambayo walijifungia ndani kisha wakaiandika bila kuwasharikisha wananchi na kuibuka nayo Ikulu..

Tunaomba watuambie walikusanya maoni hayo kutoka wapi ili tuone kama ni kweli hawakujifungia chumbani au wameyapata kutoka kwenye makongamano mbalimbali hapa Tanzania..

Watanzani wapenda amani wameiomba serikali isikubali kuyumbishwa na kikundi kidogo cha wanasiasa na wafuasi wao..

Hivyo wakataka mchakato wa kupata katiba mpya kwa ajili ya maslahi ya taifa uendelee.
Kwanza kabisa inaonekana Chadema inakutesa sana, halafu huelewi hata kinachoendelea,
Chadema hawakupeleka rasimu ya katiba ni rasimu ya muswada wa sheria ya kuunda tume ya kukusanya maoni,
na mwisho kama unauliza Chadema walikusanya wapi maoni tuambie hao wapenda amani ni kina nani na lini mlikutana.
 
Angalia hoja ya CDM kwanza kabla ya kuruka ukishangilia ukidhani umepatia kumbe uko offside.
 
Wanabodi...

Hatimaye Chama cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), kimeonyesha uhalisi wa rangi yake..

Kinataka kushinikiza aina ya katiba kinayoitaka kwa ajili ya faida na maslahi yake ya kisiasa na siyo vingenevyo.

Siku moja tu baada ya kutiwa saini muswada wa sheria hiyo, Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, alisema walimshauri Rais kutosaini muswada huo..

Watanzania wapenda amani wanamuliza John Mnyika, awaambie ni lini miswada yote ya sheria iliyopitishwa na bunge lilelile ambalo naye mbunge iliwahi kupelekwa kwa wananchi wote na kujadaliwe huko kwanza..

Chadema wamemkabidhi Rais rasimu ya katiba ambayo walijifungia ndani kisha wakaiandika bila kuwasharikisha wananchi na kuibuka nayo Ikulu..

Tunaomba watuambie walikusanya maoni hayo kutoka wapi ili tuone kama ni kweli hawakujifungia chumbani au wameyapata kutoka kwenye makongamano mbalimbali hapa Tanzania..

Watanzani wapenda amani wameiomba serikali isikubali kuyumbishwa na kikundi kidogo cha wanasiasa na wafuasi wao..

Hivyo wakataka mchakato wa kupata katiba mpya kwa ajili ya maslahi ya taifa uendelee.


Hapo kwenye red unamaanisha wabunge wa CCM na hawara yao CUF kama sikosei.
 
Kuchangia hii thread ni sawa na kukubali kuwa nyumba ndogo au mwanamme *****, mie siwezi haya yanawezwa na CUF
 
Ritz,

Hoja hii hawaijibu kabisa. Watakuja na matusi na kumvaa mleta hoja.

Maoni mliyatoa wapi? Chumbani.

Kwa kuongezea tu, Slaa aliona haya kwenda Ikulu. Zitto aliiponda akasema "nnaumwa" ntie nendeni tu. Hapo sasa!
 
mmesikia OBAMA lakini? msikurupuke, aaaaaaaaaaaaaaah nimesahau kuwakumbusha OBAMA kaungana na yule PM wa GB/UK/ENGlish aaaaaaaaah samahani namaanisha ENGlishLAND. Kuhusu mambo yaleeeeeee!! sasa sijui tuyaweke kwenye katiba ili tupate missaaaada jamani tafadhari niungini mkono ktk hili eti ba ndugu
 
Ritz,

Hoja hii hawaijibu kabisa. Watakuja na matusi na kumvaa mleta hoja.

Maoni mliyatoa wapi? Chumbani.

Kwa kuongezea tu, Slaa aliona haya kwenda Ikulu. Zitto aliiponda akasema "nnaumwa" ntie nendeni tu. Hapo sasa!

FaizaFoxy.
Mods wana mapenzi mabaya hii thread ilikuwa jukwaa la siasa wameitoa!
 
Wanabodi...

Hatimaye Chama cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), kimeonyesha uhalisi wa rangi yake..

Kinataka kushinikiza aina ya katiba kinayoitaka kwa ajili ya faida na maslahi yake ya kisiasa na siyo vingenevyo.

Siku moja tu baada ya kutiwa saini muswada wa sheria hiyo, Kaimu Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, alisema walimshauri Rais kutosaini muswada huo..

Watanzania wapenda amani wanamuliza John Mnyika, awaambie ni lini miswada yote ya sheria iliyopitishwa na bunge lilelile ambalo naye mbunge iliwahi kupelekwa kwa wananchi wote na kujadaliwe huko kwanza..

Chadema wamemkabidhi Rais rasimu ya katiba ambayo walijifungia ndani kisha wakaiandika bila kuwasharikisha wananchi na kuibuka nayo Ikulu..

Tunaomba watuambie walikusanya maoni hayo kutoka wapi ili tuone kama ni kweli hawakujifungia chumbani au wameyapata kutoka kwenye makongamano mbalimbali hapa Tanzania..

Watanzani wapenda amani wameiomba serikali isikubali kuyumbishwa na kikundi kidogo cha wanasiasa na wafuasi wao..

Hivyo wakataka mchakato wa kupata katiba mpya kwa ajili ya maslahi ya taifa uendelee.

nahisi kutapika.
 
Kikwete haijui, salva hakuiona, michuzi ange-skani peji kwa peji kamera apecha zingegoma kufunguka! uhuru lingeuweka ukurasa wa mbele, tbc wani wangeupa kipindi maalumu waupondeeeee!!!!!!! mnyama kutoka gombe wahasira angepata cha kusema, stela matomato angerembua kwa luninga zote nchini huku akitukana, nape mhh! nape angepata kam bak doo kuji-clinsi baada ya gamba ku........, mngeshuhudia tabasamu la mukama, mwigulu angetulia kunde kibao halafu mba-mba-mba-fyuuuu! yale mabom ya ffu hayaoni ndani, hapa namaanisha kemiko wa fea! ene wei kiukweli ritz umechoka kiakili, umechoka sana. Kama vipi pumzika kupost ili angalau urifresh maind.
 
Back
Top Bottom