Japo kwenye suala hili la kuugua kwa Dr. Mwakyembe, speculatios na conspiracy theories za kuwekewa sumu ndio the order of the day, nashauri msiziaminie sana hizi habari, nyingine ni 'tales' only!. Subirini report ya pili ya Apollo na ya uchunguzi maalum ya Nahodha itakayohusisha forensic investigation kwa sababu by the time ananawia hiyo sabuni na kufutia kile kitaulo, Dr was under heavy medication!. Ni vizuri pia tukajua alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani kabla ya incident ya sabuni na kitaulo!.
Mimi binafsi bado nasimama na taarifa ya DCI Manumba!.
Kuna kitu kinaitwa "sensionalism" na vifo vya "amaizing coincidence"!.
Afrika ndivyo ilivyo, hata akifa Mandela watasema eti na yeye kawekewa sumu na Frederick de Clerk.
Coincidence ni kitu cha kuangalia sana kwenye maisha, mi huwa siamini kuhusu coincidence
Afrika ndivyo ilivyo, hata akifa Mandela watasema eti na yeye kawekewa sumu na Frederick de Clerk.
mistari dizaini hii inapatikana sana facebook na twitter....Afrika ndivyo ilivyo, hata akifa Mandela watasema eti na yeye kawekewa sumu na Frederick de Clerk.
Radhia sweetyAfrika ndivyo ilivyo, hata akifa Mandela watasema eti na yeye kawekewa sumu na Frederick de Clerk.
Kupitia waraka huo alioutoa kwa ndugu na rafiki zake wa karibu, Dk. Mwakyembe anasema mhudumu aliyetumika bila kujijua ni wa kike kutoka katika kijiji cha Ipinda, wilayani Kyela, mkoani Mbeya, ambaye alihamishiwa ofisini kwake. Inaelezwa kuwa mhudumu huyo aliletwa katika ofisi hiyo siku chache kabla ya siku ya kuweka sabuni na taulo jipya ofisini kwa waziri huyo.
"Nilipoona kuwa najikuna mfululizo mara baada ya kunawia sabuni hiyo, siku ya tatu nilikuwa na wazo la kupeleka vitu hivyo kwa Mkemia Mkuu wa Serikali, lakini nilipofika ofisini, vilikuwa vimeshatolewa," anasema Dk. Mwakyembe kupitia waraka huo. Dk. Mwakyembe ambaye yuko nchini India kwa awamu ya pili ya matibabu, anasema alianza kumuuliza maswali ya kina mhudumu huyo ili kujua kwa nini vifaa hivyo viliondolewa ghafla wakati alivitumia siku moja, hakufanikiwa kupata majibu ya kina.
unamaanisha ile riport iliyoandaliwa na watuhumiwa?Japo kwenye suala hili la kuugua kwa Dr. Mwakyembe, speculatios na conspiracy theories za kuwekewa sumu ndio the order of the day, nashauri msiziaminie sana hizi habari, nyingine ni 'tales' only!. Subirini report ya pili ya Apollo na ya uchunguzi maalum ya Nahodha itakayohusisha forensic investigation kwa sababu by the time ananawia hiyo sabuni na kufutia kile kitaulo, Dr was under heavy medication!. Ni vizuri pia tukajua alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani kabla ya incident ya sabuni na kitaulo!.
Mimi binafsi bado nasimama na taarifa ya DCI Manumba!.
Kuna kitu kinaitwa "sensionalism" na vifo vya "amaizing coincidence"!.
kaka wa marehemu sara richard yuko hapa jf na wiki jana alisema kuwa dada yake aliugua gafla baada ya kutoka kazini....na alipopelekwa hosp...tumbo lilikuwa limevimba sana..alipopimwa ikagundulika kuwa mwili mzima umejaa sumu.....na hivyo kushindwa cha kufanya...kaka yake aliyekuwa anamuuguza(jf member) alimuomba daktari amfanyie upasuaji lakini daktari alikataa na kusema hawezi kufanya upasuaji maana mwili mzima umejaa sumu na hajui ni sumu aina gan.....usiku huo huo akafariki dunia
Mbona hapo kwenye red bado pananipatia maswali mengi kuliko majibu!,
1. Kama huyo binti (RIP) aliviingiza hivyo vitu bila kujijua, ina maana hakuwa na taarifa zozote juu ya watu waliokuwa na hizo njama. Sasa kwa nini watu hao muue wakati hakuwa na madhara kwao?
2. Kama huyo binti huyo aliviingiza hivyo vitu bila kujijua kwa nini hakutoa ushirikiano namna vitu hivyo vilivyopotea katika mazigira ya kutatanisha?
3. Kama watu hao walikuwa na uwezo wa kuviondoa vitu hivyo katika mazingira hayo bila kujulikana, ina maana walikuwa na uwezo wa kuviweka katika mazingira hayo bila kujulikana. Sasa ni kwa nini walimtumia Bint huyo?
Ugua pole Dr. HM, nina imani ipo siku ukweli utajulikana. Mateso unayopitia hayakwenda hivi hivi kama kuna watu wapo nyuma yake
Afrika ndivyo ilivyo, hata akifa Mandela watasema eti na yeye kawekewa sumu na Frederick de Clerk.
Japo kwenye suala hili la kuugua kwa Dr. Mwakyembe, speculatios na conspiracy theories za kuwekewa sumu ndio the order of the day, nashauri msiziaminie sana hizi habari, nyingine ni 'tales' only!. Subirini report ya pili ya Apollo na ya uchunguzi maalum ya Nahodha itakayohusisha forensic investigation kwa sababu by the time ananawia hiyo sabuni na kufutia kile kitaulo, Dr was under heavy medication!. Ni vizuri pia tukajua alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani kabla ya incident ya sabuni na kitaulo!.
Mimi binafsi bado nasimama na taarifa ya DCI Manumba!.
Kuna kitu kinaitwa "sensionalism" na vifo vya "amaizing coincidence"!.