Siri ya waraka wa Mwakyembe yafichuka; Kisa ni kifo cha ghafla cha mhudumu ofisini kwake

Siamini sana katika taaluma ya forensic kwa jeshi letu la polisi,nafikiri iko theoritical zaidi,kwa wenzangu wenye kumbukumbu za kutosha labda wanisaidie kuniweka wazi ni cases ngapi ambazo zilihusishwa na forensic science kupitia jeshi la police na zikaja na majibu yaliyojitosheleza?

Hata hivyo mbaya zaidi kwa case hii ya Mwakyembe ni kama vile watu wameshakosa imani na jeshi la polisi kwa mwanendo mzima toka Dr H.Mwakyembe hajadhurika na mpaka baada ya kudhurika,hasa ufuatiliaji mzima wa suala ilo toka awali mpaka sasa kauli za kujikanganya zinavyotolewa baina ya viongozi
 
haya ni maneno ya kaka yake na marehemu hapa jf(anatumia ID ya kabembe)



Mwanakijiji,Dr. Mwakyembe alikuwa na wasaidizi(office secretaries) wawili wote wanawake na aliyefariki ni dada yangu wa Ipinda kyela amefia pale THI alikuwa amevimba tumbo na niliongea na dr Masawe wa THI akasema hawezi kumu operate sababu sumu imejaa mwilini,sikuuliza zaidi na usiku huo my sister died,that was september last year.So are you telling me that she was the one involved?
 
Naamini jesh la polisi linajua ukweli na halita uexpozi kamwe, linalofanywa sasa ni kupoteza muda hadi mwakyembe AFE!,na tukio zima litakuwa limepita maana mtaambiwa kuwa kafa kifo cha kawaida kama Balali
 
Mimi napata taabu kuamini DCI kuwa ni mkweli, kwanini anatishia kuwashitaki walioibua suala hili wakati maelezo yote ukiyapitia na hayo anayofanya utatambua kuwa kuna wahalifu wanalindwa na wasamaria wema wanapuuzwa na kutishiwa kushitakiwa kwa sababu anazozijua mwenyewe.

Kutokana na tuliyosoma kwenye vyombo vya habari inawezekana anawalinda mafisadi au usalama wa raia ndio wamehusika na tukio hilo. Hiyo ndiyo picha tunayopata watanzania tulio wengi huku vijijini.
 
kaka wa marehemu sara richard yuko hapa jf na wiki jana alisema kuwa dada yake aliugua gafla baada ya kutoka kazini....na alipopelekwa hosp...tumbo lilikuwa limevimba sana..alipopimwa ikagundulika kuwa mwili mzima umejaa sumu.....na hivyo kushindwa cha kufanya...kaka yake aliyekuwa anamuuguza(jf member) alimuomba daktari amfanyie upasuaji lakini daktari alikataa na kusema hawezi kufanya upasuaji maana mwili mzima umejaa sumu na hajui ni sumu aina gan.....usiku huo huo akafariki dunia

haya ni maneno ya kaka yake na marehemu hapa jf(anatumia ID ya kabembe)



Mwanakijiji,Dr. Mwakyembe alikuwa na wasaidizi(office secretaries) wawili wote wanawake na aliyefariki ni dada yangu wa Ipinda kyela amefia pale THI alikuwa amevimba tumbo na niliongea na dr Masawe wa THI akasema hawezi kumu operate sababu sumu imejaa mwilini,sikuuliza zaidi na usiku huo my sister died,that was september last year.So are you telling me that she was the one involved?

Kazi ipo. Hizi dots za Edson zinaleta clue fulani nzuri. Please give us some more. Lakini pia kumweka wazi mwana JF ambaye ana uhusiano na marehemu sekretari inaweza kuwa haijakaa sawa, kwa sababu huenda naye maisha yake yakawa hatarini kwa sababu "Huenda Marehemu alimuachia siri ya kifo chake". Just thinking loud

 
katika kufukua thread za nyuma nimekutana na hii taarifa--kazi ipo:


quote_icon.png
By de'levis
nashawishika kusema kuwa wewe hujui lolote juu ya kilichotokea kwa mwakyembe....narudia HUJUI LOLOTE......na inaonekana wewe unatumiwa na unalipwa na pengine mawazo mengine yananijia kuwa wewe umehusika na umetumiwa nakupewa sumu kwa mwakyembe....nimekufatlia sana maandiko yako hapa jf naona wewe ni mtu wa ajabu sana na unalipwa kwa ku-spin taarifa mbali mbali

nijuacho kwa asilimia 100 ni kwamba wakyembe amepewa sumu ofisin kwake na huko mliman city...dada yule aliyefanya kitendo hiki alikifanya kwa kuahidiwa donge nono la pesa na alifunguliwa akaunti maalimu na kiasi kukubwa cha pesa kikawekwa mule...yeye hakujua kwamba baada ya kazi hiyo kinachofuta pale ni yeye kuuwawa haraka sana kabla hata ya aliyepewa sumu kufa......ilichukua mwezi mmoja na wiki mbili katika kuongea na huyu dada na kumuandaa namna ya kufanikisha kazi hiyo...mwanzo alisita lakini lilipokuja swala la pesa tena kiasi kikubwa ndipo akakubali maana aliamini kuwa ameukata umasikini.....akakubali kushiriki dhambi ya kuua kwa matendo!!

baada ya zoezi hilo kufanikiwa mipango ya kuumuua dada huyo ilikuwa tayari imeshakamilika kilichokuwa kinasubiliwa ni mda tu ufike ili nae aondoke..na kweli mda ulipofika walimwondoa na ile pesa iliyowekwa benk ilirudi ilikotoka.......mpaka leo hayupo....

tena kwa taarifa si huyo tu mmoja aliyekufa.....kuna mwigine nae ni msichana aliuawa baada ya kikao cha wakandarasi na wakadilia majengo pale mlimani city....wakati mwakyembe anaingia kwenye kikao hicho tayali alikwa ameshapewa sumu huko ofsini lakini wauwaji hawakuwa wanaamini sana kama zoezi lile limeenda vizuri maana kuna majaribio kama 6 ya kulishwa sumu mwakyembe yalishindwa....baada ya zoezi la ofisini kiukamilika kulikuwa na mpango mwingine umepangwa siku ya kikao huko mlimani city...na mtu maalimu alikuwa ameshaandaliwa ili kukamilisha zoezi hilo.....

mwakyembe alipofika kwenye kikao siku hiyo hakwenda kukaa moja kwa moja kule meza kuu ambako mgeni rasmi kikwete alikuwa amekaa pamoja na wageni wengine....mwakyembe alikaa huku chini walikokuwa wamekaa wageni wengine waalikwa wengi wao wakiwa ni mainjinia..tena alikaa kiti cha mbele mstari wa kwanza na pembeni yake alikaa Hawa Ghasia.....baada ya kikao kuwa kimeanza ghafla kule meza kuu kwa mbembeni mkono wa kulia iliwekwa meza nyingine na ikafunikwa kwa kitambaa cha mezani cha rangi ya kijani na juu ya meza ile ziliwekwa chupa mbili za maji pamoja na glasi mbili na viti viwili viliwekwa pale sambamba na bites na vitambaa viwili viliwekwa pale....baadaya hapo dada huyo aliyekuwa anafanya kazi hiyo alikwenda mahali alipokuwa amekaa mwakyembe na hawa ghasia na kuwaomba wahamie kule meza kuu walipoandaliwa.....wakakubali wakaenda.... yule dada aliwaongoza mpaka kwenye meza ile...walipofika mahali pale yule dada aliwahi kushika kiti kimoja na kumwammbia hawa ghasia akae pale...Hawa akakaa pale..na kiti kilichobaki alikaa mwakyembe.....wakati zoezi hilo linafanyia kikao kilkuwa kinaendelea na magufuli ndiye alikuwa anaongea ili baada ya hapo amkaribishe jk......

pale mezani kwa kina mwakyembe kulikuwa na maji(kilimanjaro), kitambaa cheupe, tissue zilizokuwa zimegandamizwa kwa glasi.....mpaka kikao kinaisha mwakyembe hakugusa maji wala glasi ila tissue na kitambaa alivigusa......baada ya hapo kilichofuata ni kummalza huyo dada...heri ya yule wa ofisini maana nduguze waliona mwili..lakini huyu wa mlimani city katu kaburi lake halijulikani lilipo......

Tanzania ni nchi inayoua viongozi wake....na muuwaji nambari wani ni huyo rais wa nchi.....huyu ndiye kichocheo kikubwa cha mauwaji yanayoendelea na ndio maana polisi hawafanyi kazi yao ipasavyo ila wanatoa matamko ya ajabu ajabu......kikwete na genge lake walishanikera binafsi maana wao wanapenda kusifiwa tu...ukiwaambia ukweli wewe unakuwa adui yao na inapelekea kuuwawa.....serikali ya tanzania imejaa wauwaji wakubwa.....wananchi ninyi ndo wakusema hapana..fikeni mahali mseme inatosha na muung'oe huo utawala dhalimu.....mwakyembe najua tayari wameshammaliza kama bone marrow ina sumu..bone marrow ndo kila kitu katika maisha ya mwanadamu.....

wewe pasco acha kuhadaa watu wewe....acha kuongea oungo hapa....acha kundanganya umma wa watanzania.....serikali ya Tanzania imejaa viongozi wauwaji na wasipenda kukosolewa......na wako tayari utangazia umma kuwa fulani amekufa kumbe mtu yuko hai na anaishi na mzima wa afya tele........simpendi kikwete na genge lake..
 
Japo kwenye suala hili la kuugua kwa Dr. Mwakyembe, speculatios na conspiracy theories za kuwekewa sumu ndio the order of the day, nashauri msiziaminie sana hizi habari, nyingine ni 'tales' only!. Subirini report ya pili ya Apollo na ya uchunguzi maalum ya Nahodha itakayohusisha forensic investigation kwa sababu by the time ananawia hiyo sabuni na kufutia kile kitaulo, Dr was under heavy medication!. Ni vizuri pia tukajua alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani kabla ya incident ya sabuni na kitaulo!.

Mimi binafsi bado nasimama na taarifa ya DCI Manumba!.

Kuna kitu kinaitwa "sensionalism" na vifo vya "amaizing coincidence"!.

heavy medication ndio nini?
Anyway kama matatizo ya ngozi ya dr. Mwakyembe ingekua ni ya drugs effect basi hata muhimbili wangelijua hilo na wangemfanyia refferal ya kwenda kutibiwa tu na wala sio kufanyiwa uchunguzi.

Halafu acha tabia ya kutumia maneno ya ubunifu kulazimisha watu wakuamini humu, eti heavy medication??
 
Lets wait and see. Lets stop speculating on this issue.

The truth is bound to come out soon and all the falsifications will perish.
 
Siamini sana katika taaluma ya forensic kwa jeshi letu la polisi,nafikiri iko theoritical zaidi,kwa wenzangu wenye kumbukumbu za kutosha labda wanisaidie kuniweka wazi ni cases ngapi ambazo zilihusishwa na forensic science kupitia jeshi la police na zikaja na majibu yaliyojitosheleza?hata hivyo mbaya zaidi kwa case hii ya Mwakyembe ni kama vile watu wameshakosa imani na jeshi la polisi kwa mwanendo mzima toka Dr H.Mwakyembe hajadhurika na mpaka baada ya kudhurika,hasa ufuatiliaji mzima wa suala ilo toka awali mpaka sasa kauli za kujikanganya zinavyotolewa baina ya viongozi
Jamani mnataka ushahidi gani? Hapa zitaandikwa ripot nyingi na kupingwa mpaka hapo anayezipinga atakapo nyamaza! subirini mtaona
 
Nimewahi igusia hii ishu kwenye one of the thread apa jf,nilijua hii siku ingefika mwezi mmoja baada ya ile siku.sio kwamba imevuja ni muda muafaka ambao mwakyembe alitaka ifahamike.imagine wamemuua secretary huo ushahid utaletwa na nani tena? Kuna watu wana roho mbaya nchi hii jamani.pole sana mwakyembe.
 
Ubongo wa Manumba ungekuwa unafanya kazi, angeanza na yule aliyemhamishia huyo binti ofisini kwa Mwakyembe. Huyu anaweza kufumua mengi.
 
ilichukua mwezi mmoja na wiki mbili kumuandaa huyo dada katika kufanikisha kazi hiyo....na kilichomponza ni kukubali kile kias cha pesa alichoahidiwa......usifikiri alifika hapo bila kujua anachoenda kufanya...yeye hakujua kama akikamilisha kazi hiyo nae atapotea kwenye uso wa dunia

Kama hivi ndivyo ina maana Binti alijua assignment iliyopo mbele yake. Sasa mbona Dr. anasema huyo Binti alifanya hiyo kazi bila kujijua (kwa mujibu wa hii habari)?
 
kaka wa marehemu sara richard yuko hapa jf na wiki jana alisema kuwa dada yake aliugua gafla baada ya kutoka kazini....na alipopelekwa hosp...tumbo lilikuwa limevimba sana..alipopimwa ikagundulika kuwa mwili mzima umejaa sumu.....na hivyo kushindwa cha kufanya...kaka yake aliyekuwa anamuuguza(jf member) alimuomba daktari amfanyie upasuaji lakini daktari alikataa na kusema hawezi kufanya upasuaji maana mwili mzima umejaa sumu na hajui ni sumu aina gan.....usiku huo huo akafariki dunia

Yah kama kweli wanataka kufanya uchunguzi wa kifo cha huyo dada lazima waanzia kwenye hospitali iliyotoa death certificate, ili wamuhoji doctor pamoja na ndugu zake waliompeleka mgonjwa hospitali.
Kama kweli huyu dada alifariki katika mazingira hayo basi naanza kuelewa ujasiri wa sitta unatoka wapi.!
 
katika kufukua thread za nyuma nimekutana na hii taarifa--kazi ipo:


quote_icon.png
By de'levis
nashawishika kusema kuwa wewe hujui lolote juu ya kilichotokea kwa mwakyembe....narudia HUJUI LOLOTE......na inaonekana wewe unatumiwa na unalipwa na pengine mawazo mengine yananijia kuwa wewe umehusika na umetumiwa nakupewa sumu kwa mwakyembe....nimekufatlia sana maandiko yako hapa jf naona wewe ni mtu wa ajabu sana na unalipwa kwa ku-spin taarifa mbali mbali

nijuacho kwa asilimia 100 ni kwamba wakyembe amepewa sumu ofisin kwake na huko mliman city...dada yule aliyefanya kitendo hiki alikifanya kwa kuahidiwa donge nono la pesa na alifunguliwa akaunti maalimu na kiasi kukubwa cha pesa kikawekwa mule...yeye hakujua kwamba baada ya kazi hiyo kinachofuta pale ni yeye kuuwawa haraka sana kabla hata ya aliyepewa sumu kufa......ilichukua mwezi mmoja na wiki mbili katika kuongea na huyu dada na kumuandaa namna ya kufanikisha kazi hiyo...mwanzo alisita lakini lilipokuja swala la pesa tena kiasi kikubwa ndipo akakubali maana aliamini kuwa ameukata umasikini.....akakubali kushiriki dhambi ya kuua kwa matendo!!

baada ya zoezi hilo kufanikiwa mipango ya kuumuua dada huyo ilikuwa tayari imeshakamilika kilichokuwa kinasubiliwa ni mda tu ufike ili nae aondoke..na kweli mda ulipofika walimwondoa na ile pesa iliyowekwa benk ilirudi ilikotoka.......mpaka leo hayupo....

tena kwa taarifa si huyo tu mmoja aliyekufa.....kuna mwigine nae ni msichana aliuawa baada ya kikao cha wakandarasi na wakadilia majengo pale mlimani city....wakati mwakyembe anaingia kwenye kikao hicho tayali alikwa ameshapewa sumu huko ofsini lakini wauwaji hawakuwa wanaamini sana kama zoezi lile limeenda vizuri maana kuna majaribio kama 6 ya kulishwa sumu mwakyembe yalishindwa....baada ya zoezi la ofisini kiukamilika kulikuwa na mpango mwingine umepangwa siku ya kikao huko mlimani city...na mtu maalimu alikuwa ameshaandaliwa ili kukamilisha zoezi hilo.....

mwakyembe alipofika kwenye kikao siku hiyo hakwenda kukaa moja kwa moja kule meza kuu ambako mgeni rasmi kikwete alikuwa amekaa pamoja na wageni wengine....mwakyembe alikaa huku chini walikokuwa wamekaa wageni wengine waalikwa wengi wao wakiwa ni mainjinia..tena alikaa kiti cha mbele mstari wa kwanza na pembeni yake alikaa Hawa Ghasia.....baada ya kikao kuwa kimeanza ghafla kule meza kuu kwa mbembeni mkono wa kulia iliwekwa meza nyingine na ikafunikwa kwa kitambaa cha mezani cha rangi ya kijani na juu ya meza ile ziliwekwa chupa mbili za maji pamoja na glasi mbili na viti viwili viliwekwa pale sambamba na bites na vitambaa viwili viliwekwa pale....baadaya hapo dada huyo aliyekuwa anafanya kazi hiyo alikwenda mahali alipokuwa amekaa mwakyembe na hawa ghasia na kuwaomba wahamie kule meza kuu walipoandaliwa.....wakakubali wakaenda.... yule dada aliwaongoza mpaka kwenye meza ile...walipofika mahali pale yule dada aliwahi kushika kiti kimoja na kumwammbia hawa ghasia akae pale...Hawa akakaa pale..na kiti kilichobaki alikaa mwakyembe.....wakati zoezi hilo linafanyia kikao kilkuwa kinaendelea na magufuli ndiye alikuwa anaongea ili baada ya hapo amkaribishe jk......

pale mezani kwa kina mwakyembe kulikuwa na maji(kilimanjaro), kitambaa cheupe, tissue zilizokuwa zimegandamizwa kwa glasi.....mpaka kikao kinaisha mwakyembe hakugusa maji wala glasi ila tissue na kitambaa alivigusa......baada ya hapo kilichofuata ni kummalza huyo dada...heri ya yule wa ofisini maana nduguze waliona mwili..lakini huyu wa mlimani city katu kaburi lake halijulikani lilipo......

Tanzania ni nchi inayoua viongozi wake....na muuwaji nambari wani ni huyo rais wa nchi.....huyu ndiye kichocheo kikubwa cha mauwaji yanayoendelea na ndio maana polisi hawafanyi kazi yao ipasavyo ila wanatoa matamko ya ajabu ajabu......kikwete na genge lake walishanikera binafsi maana wao wanapenda kusifiwa tu...ukiwaambia ukweli wewe unakuwa adui yao na inapelekea kuuwawa.....serikali ya tanzania imejaa wauwaji wakubwa.....wananchi ninyi ndo wakusema hapana..fikeni mahali mseme inatosha na muung'oe huo utawala dhalimu.....mwakyembe najua tayari wameshammaliza kama bone marrow ina sumu..bone marrow ndo kila kitu katika maisha ya mwanadamu.....

wewe pasco acha kuhadaa watu wewe....acha kuongea oungo hapa....acha kundanganya umma wa watanzania.....serikali ya Tanzania imejaa viongozi wauwaji na wasipenda kukosolewa......na wako tayari utangazia umma kuwa fulani amekufa kumbe mtu yuko hai na anaishi na mzima wa afya tele........simpendi kikwete na genge lake..


Aisee!
 
Japo kwenye suala hili la kuugua kwa Dr. Mwakyembe, speculatios na conspiracy theories za kuwekewa sumu ndio the order of the day, nashauri msiziaminie sana hizi habari, nyingine ni 'tales' only!. Subirini report ya pili ya Apollo na ya uchunguzi maalum ya Nahodha itakayohusisha forensic investigation kwa sababu by the time ananawia hiyo sabuni na kufutia kile kitaulo, Dr was under heavy medication!. Ni vizuri pia tukajua alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani kabla ya incident ya sabuni na kitaulo!.

Mimi binafsi bado nasimama na taarifa ya DCI Manumba!.

Kuna kitu kinaitwa "sensionalism" na vifo vya "amaizing coincidence"!.
Coincidence siyo kitu cha Kuamini sana, Hasa kwa mtu ambaye alishalalamika kuwa maisha yake yako Hatarini.
Hiyo Forensic Investigation inafanywa na watu gani? Kama ni wabongo ni wale wale tu. Halafu hizo heavy medication ni mpya duniani? Ambazo watu wengine hawajawahi kutumia?Yaani ugonjwa wa Mwakyembe ulikuwa mpya?
 
Japo kwenye suala hili la kuugua kwa Dr. Mwakyembe, speculatios na conspiracy theories za kuwekewa sumu ndio the order of the day, nashauri msiziaminie sana hizi habari, nyingine ni 'tales' only!. Subirini report ya pili ya Apollo na ya uchunguzi maalum ya Nahodha itakayohusisha forensic investigation kwa sababu by the time ananawia hiyo sabuni na kufutia kile kitaulo, Dr was under heavy medication!. Ni vizuri pia tukajua alikuwa anasumbuliwa na tatizo gani kabla ya incident ya sabuni na kitaulo!.

Mimi binafsi bado nasimama na taarifa ya DCI Manumba!.

Kuna kitu kinaitwa "sensionalism" na vifo vya "amaizing coincidence"!.
Jibu langu kwako ni kama Ngalikihinja & Ninaweza walivomjibu Mwanamke mwenzako Sweety radhia!
 
kaka wa marehemu sara richard yuko hapa jf na wiki jana alisema kuwa dada yake aliugua gafla baada ya kutoka kazini....na alipopelekwa hosp...tumbo lilikuwa limevimba sana..alipopimwa ikagundulika kuwa mwili mzima umejaa sumu.....na hivyo kushindwa cha kufanya...kaka yake aliyekuwa anamuuguza(jf member) alimuomba daktari amfanyie upasuaji lakini daktari alikataa na kusema hawezi kufanya upasuaji maana mwili mzima umejaa sumu na hajui ni sumu aina gan.....usiku huo huo akafariki dunia

Ni kweli na mkumbuka yule jamaa,tena alikuwa akijibu hoja aliyo itowa MM na mwisho wa siku alimtaja hata Dr aliyeshughurikia mwili wa dada yake na Dr Alimweleza kuwa hataweza kumsaidia dada yake kwani tayari sumu ilikuwa imesha mmaliza.

R.I.P Dada yetu
 
Back
Top Bottom