Siri ya Mwenge wa Uhuru

Umemuuliza kaka yako?
Du hii kali.mm kuna bro wangu anakimbiza mwenge mwaka huu na juzi nilienda kumuona ilala na kapata zawadi nyingi sana ,sasa namsubiri arudi lazima nimuulize kuhusu uhalisia wa mwenge.
 
Wengi watakusikia lakini hawawezi kukuelewa.Na ni kazi ngumu kuwaelewesha kwa sababu many us are totally brain washed.
 
Naakubaliana na mtoa mada mwenge ni ibada ya washirikina na huazimishwa Tz tu kila mwaka
 
Wadanganye wenye akili kama zako
 
Mwenge unawavuvia watz nguvu za giza tu.hauna maana!..
 
Mkuu umenikumbusha huyo soldier, anaitwa Alexander Nyirenda.
 
Haswaaa, nilicheza halaiki ya kuzima mwenge mkoa wa Mwanza miaka hiyooooooo
Uwe unaiamkia basi, mie dadako eti
Basi ujue tunajuana,mimi pia nilicheza halaiki Mwanza kwa ajili ya kuadhimisha sikukuu ya CCM,tulicheza moja,mbili,tatu nne,tano,sita ,saba nane,mpaka tukamaliza mafuzo na kwenda kucheza halaiki CCM Kirumba,mimi nilicheza shule ya msingi Nyanza,wewe je?.
 
Wnaodili na mwenge wote kwa hiari hata kwa kuhudhulia tu mahala ulipo mwenge au kuukubari bora waache kusali maana ni washirikia

Haiwezekani kwa namna yoyote watu wakubali kwamba mwenge una msaada wowote katika jamii huku tukipoteza mapesa meengi kuukimbiza nchi nzima, eti "mbio za mwenge" na waaomi wanaridhika, mwenge una mbio?
Huko ni mojawapo ya kurogeka
 
Umenikumbusha mbali, eti moja, mbili, tatu, nne, tano sita Saba nane, tukitaka kurudia Mara ya pili tunasema kiazi, moja mbili......
Yawezekana tunafahamiana, mie nilikuwa nasoma mwenge s/m, halaiki yetu tulikuwa tunachezea lake secondary... Halaiki ya uchumi
Mwl wetu wa halaiki alikuwa mfupiiii ndio sababu tulikuwa tunamwita kiazi....
 
Kwa hiyo bado unaishi Mwanza?
 
Lakini nchi yetu haina balaa kama Congo, rwanda, burundi, uganda, kenya, nk kama wenge ni kitu kiovu na laana na tena future yetu ni bright kuliko mataifa mengine ya Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…