SIRI YA MWANAFUNZI KUFAULU KTK MASOMO

SIRI YA MWANAFUNZI KUFAULU KTK MASOMO

nelson salema

Member
Joined
Mar 18, 2016
Posts
74
Reaction score
19
Siri ya mwanafunzi kufanya vizuri shuleni:
1.Mzazi mfunze adabu njema.
2.Mzazi fuatilia kila mwenendo wamwanao.
3.Mzazi tambua ufaulu wa mwanafunzi ni mambo 3. Mwanafunzi anayejitambua,Mzazi na Mwalimu.
4. Mzazi kubali kugharamika kwa ajili ya mwanao.Kama utaona ni gharama utasubiri sana.
5. Amini fahari ya mwalimu ni mwanafunzi kufanya vizuri.
KOSA UKIWASIKILIZA WALE KUWA WATABANA FULANI ATI MWANAO AFAULU SI KWELI. MAFANIKIO YA MWANAO YAKO KWAKO KWANZA.
MZAZI NI MWALIMU WA KWANZA.
 
Walimu wa miaka hii hovyo kabisa! Mfano mtoto yuko boarding mzazi atahusika vp? Walimu timizeni wajibu wenu. Ama kweli siku hz hakuna walimu, bali kuna magenge ya wahuni wanaotafuta liziki kupitia ualimu. Ebo! Unamhusisha mzazi kwenye ufaulu wa mtoto!
 
Walimu wa miaka hii hovyo kabisa! Mfano mtoto yuko boarding mzazi atahusika vp? Walimu timizeni wajibu wenu. Ama kweli siku hz hakuna walimu, bali kuna magenge ya wahuni wanaotafuta liziki kupitia ualimu. Ebo! Unamhusisha mzazi kwenye ufaulu wa mtoto!
 
Walimu wa miaka hii hovyo kabisa! Mfano mtoto yuko boarding mzazi atahusika vp? Walimu timizeni wajibu wenu. Ama kweli siku hz hakuna walimu, bali kuna magenge ya wahuni wanaotafuta liziki kupitia ualimu. Ebo! Unamhusisha mzazi kwenye ufaulu wa mtoto!

TEH TEH......JAMII YETU NDIO HII....TEH TEH....
 
Walimu wa miaka hii hovyo kabisa! Mfano mtoto yuko boarding mzazi atahusika vp? Walimu timizeni wajibu wenu. Ama kweli siku hz hakuna walimu, bali kuna magenge ya wahuni wanaotafuta liziki kupitia ualimu. Ebo! Unamhusisha mzazi kwenye ufaulu wa mtoto!
Kwa hiyo mtoto wa Boarding Huwa harudi likizo? Au Mtoto wa Boarding anaanza shule akiwa na miaka 0 mpaka we ukose muda wa kumfunza tabia njema.Watoto wanaofanya vizuri familia zao pia Huwa zinachangia Kwa kiasi fulani
 
Siri ya mwanafunzi kufanya vizuri shuleni:
1.Mzazi mfunze adabu njema.
2.Mzazi fuatilia kila mwenendo wamwanao.
3.Mzazi tambua ufaulu wa mwanafunzi ni mambo 3. Mwanafunzi anayejitambua,Mzazi na Mwalimu.
4. Mzazi kubali kugharamika kwa ajili ya mwanao.Kama utaona ni gharama utasubiri sana.
5. Amini fahari ya mwalimu ni mwanafunzi kufanya vizuri.
KOSA UKIWASIKILIZA WALE KUWA WATABANA FULANI ATI MWANAO AFAULU SI KWELI. MAFANIKIO YA MWANAO YAKO KWAKO KWANZA.
MZAZI NI MWALIMU WA KWANZA.
hapo kwa mzazi.. nimepaelewa sana
 
Walimu wa miaka hii hovyo kabisa! Mfano mtoto yuko boarding mzazi atahusika vp? Walimu timizeni wajibu wenu. Ama kweli siku hz hakuna walimu, bali kuna magenge ya wahuni wanaotafuta liziki kupitia ualimu. Ebo! Unamhusisha mzazi kwenye ufaulu wa mtoto!
Kwa hyo mwanao anafundishwa na genge LA wahuni? Ufaulu wa mtoto unaanza na mzazi we pimbi.
 
Walimu wa miaka hii hovyo kabisa! Mfano mtoto yuko boarding mzazi atahusika vp? Walimu timizeni wajibu wenu. Ama kweli siku hz hakuna walimu, bali kuna magenge ya wahuni wanaotafuta liziki kupitia ualimu. Ebo! Unamhusisha mzazi kwenye ufaulu wa mtoto!
Sexless
Hakuna mtoto anayezaliwa boarding nduhu yangu. Nitakuwa wa mwisho kuamini msemo "walimu wa siku hizi, au watoto wa diku hizi.." Nimefundisha 30yrs now. Nina uzoefu na wazazi hewa na wazazi makini. AMINI USIAMINI MZAZI NI MWL. NAMBARI MOJA.
 
Sexless
Sina uhakika kama wewe ni mzazi au ni mtu gani. Kama una shule ya kawaida si vigumu kujua kuwa wewe ni mdau ktk Elimu. Ni rahisi kwanini basi upeleke mwanao kwenye genge lz wahuni? Serikali gani inaajiri wahuni?Basi hata wote ukiwemo ni mhuni kwa staili yako. Umezaa wewe ni mwalimu wa mwanao wa kwanza for 7yrs
 
Back
Top Bottom