nelson salema
Member
- Mar 18, 2016
- 74
- 19
- Thread starter
- #21
Walimu wa miaka hii hovyo kabisa! Mfano mtoto yuko boarding mzazi atahusika vp? Walimu timizeni wajibu wenu. Ama kweli siku hz hakuna walimu, bali kuna magenge ya wahuni wanaotafuta liziki kupitia ualimu. Ebo! Unamhusisha mzazi kwenye ufaulu wa mtoto!
Pole sana Sexless japo jina ni maarufu kwelx2.
Ukishaita walimu genge la wahuni ni mwanzo wa mwanao kufeli.
Mwalimu wa siku hizi ni wa miaka gani? Mwalimu naye Wazazi wa siku hizi ni wahuni tu. Acha hizo Sexless. Tabia ya mwanao ni taswira yako ulivyo. Like son/daughter like you if you are a father