Siri ya majina ya ukoo

Siri ya majina ya ukoo

Kuna siri gani katika majina ya asili ya kiafrika? wakati huo huo pia tujiulize maana & usiri katika majina ya kizungu.

Mshana Jr hebu tuanze na jina lako, tupe maana ya jina lako.
Mshana kidhungu ni Smithan kibantu ni mhunzi au mfua chuma
 
Mkuu Bujibuji, lakini huoni kwamba labda unawakwaza sana watu wenye Imani ya matambiko?

Kuna makabila kutambika ni jadi khasa, inasaidia sana mwendelezo wa ukoo kimila na kijadi.

Yaani ni lazima kukumbuka baba wa babu,babu, bibi wa bibi, bibi, shangazi, baba mkubwa n.k
 
I will work on it
1456165254342.jpg

Great Sir, nikiwa nasoma Bachelor ya Sheria chini ya Mhadhiri Dr Tenga somo la Jurisprudence
 
Kwanini watumiaji wa Instagram wanatumia majina feki?
 
Mkuu Bujibuji, lakini huoni kwamba labda unawakwaza sana watu wenye Imani ya matambiko?

Kuna makabila kutambika ni jadi khasa, inasaidia sana mwendelezo wa ukoo kimila na kijadi.

Yaani ni lazima kukumbuka baba wa babu,babu, bibi wa bibi, bibi, shangazi, baba mkubwa n.k
ntawafundisha mbinu mpya ya kutambika
 
Back
Top Bottom