Shakira M. Selemani
Member
- Nov 7, 2019
- 36
- 75
SIRI YA KWELI YA ULIMWENGU WA FREEMASONS:
👉🏿Freemasonry limekuwa ni habari na shirika kubwa ambapo wengi wanahangaika kuhusu Freemasonry. Freemasonry wenyewe hasa speculative Freemasonry (Freemasonry ya kisasa ya hivi karibuni) wanaeleza kuwa chimbuko lake ni kutoka katika zama za kati kutoka kwa wajenzi au vyama vya ujenzi vya kale.
Lakini katika mafundisho yake na wakati mtahiniwa anafanyiwa ibada au mila za uanzilishi katika digrii ya kwanza mpaka ya tatu, mara zote hasa wakati wa daraja la tatu hufundishwa asili ya Freemasonry kutoka katika hadithi ya Mfalme Suleman, Mfalme Hiramu wa Tiro na Hiram Abiff.
👉🏿Hiramu Abiff mbunifu mkuu wa Hekalu la Mfalme suleman ni mtu muhimu mno katika Mafundisho ya Freemasonry. Huwezi kukamiliska kuwa mwanachama wa digrii ya tatu bila kubeba uhusika (character) wa hiram Abiif.
👉🏿Kwa wanao soma nyaraka mbalimbali za Freemasonry zilizo sahihi huwezi kukosa jabari au rejeleo ama kutajwa kwa Hiramu Abiff, Na Mfalme Solomon...
Hivi umuhimu wa Hiram Abiff ni nini hasa?
👉🏿Baadhi ya masons wanazo tafsiri tofauti tofauti kuhusu Hiram Abiff. Hiram Abiff anachukuliwa kama mwanzilishi wa Freemasonry ya hivi leo pia anachukuliwa kama Fresmason wa kwanza.
👉🏿Inaonyesha wazi kuwa Freemasonrry ilikuwepo hata kabla ya Hiram Abiff, lakini kwanini Freemasonry ya kisasa ya hivi leo wanajichukulia mwanzo wao kutoka kwa Hiram Abiff?
Kwanini Solomon? Wakati kulikuwepo na Freemasonry maarufu kabla yao?
Why Hiram Abiff?
Tutakapo zidi kumsimbua Hiram Abiff kutoka kwa Mason wenyewe na pia kupitia watafiti wengine nje ya Freemasonry na ndani yake ambao hawafuati mfumo rasmi bali wanachunguza kwa uhuru. Tutaweza kuona kusudi kuu la kweli la Freemasony
Kwamba Freemasonry ya hivi leo inawaheshimu Mfalme Suleman, Mfalme Hiram wa Tiro na Hiram Abiff
Zingatia: ⚠️ Ukiwa makini kwenye hadithi ya mfalme suleman, Nfalme Hiram wa Tiro na Hiram Abiff utagundua kulikuwa na WAFALME WAWILI na mtu mwingine tu maarfu mwenye kuheshimika kutokana na ujuzi wake hakuwa mfalme wala hakuwa na cheo cha kisiasa katika nchi yake. Ila wawili kati yao walikuwa wafalme (Marais wa nchi zao)
👉🏿Tuna sababu nyingi kwamba hatuwezi kuthibitisha Historia ya Kimasoniki kiurahisi rahisi. Baadhi ya Attas au wapelelezi/wajumbe/watafiti walijaribu kuichunguza na kuipeleleza freemasonry kwa njia zote ya kuingia ndani ya shirika kwa ndani kupitia kujipenyeza katika jumuiya hiyo na njia ile ya nje ya kufanya utafiti na upekuzi wa maandiko ya kale ama ushahidi wowote uliopo katika historia. Thomas Paine alikuwa ni mmoja kati ya wajumbe walio beba jukumu kwa kuipeleleza jumuiya kwa nje (kupitia utafiti), wakati huohuo wajumbe wengine kama vile Benjamin Franklin na Mark Twain walijipenyeza ndani ya jumuiya ama shirika la Freemasonry.
👉🏿Fraklin alifichua siri nyingi za Freemasonry kwa Thomas Paine na kisha akampatia kopi zenye rekodi za siri kutoka katika Lodge mbalimbali za Freemasonry. Kutokana na hilo, Fraklin aliondolewa uanachama kwa kutoa au kuonyesha ukinzani na mwanzilishi wa Illuminati ambaye pia alikuwa ni kiongozi wa ngazi za juu wa Freemasonry anayefahamika kama Adam Weishaupt, ambaye ni bingwa katika hadithi kwa tabia ya kushangaza ya kishetani na kubadilika na kupindisha uhusika.
👉🏿Baada ya kuchunguza shirika hilo kwa kina, Bwana Paine alikuja kudai kwamba huenda Wanahistoria wa Freemasonry hawawezi kutoa ukweli hasa wa historia ya kweli ya shirika lao au hawajui historia ya kweli hasa kuhusu shirika walilomo ndani yake.
Kwa kufichua makosa na ufisadi wa wanahistoria wa Freemasonry, Paine aligundua kwamba kwa mujibu wa Historia ya kimasoniki, Pythogoras aliyekuepo miaka 580 B.C, alitakiwa kuwa mtwanafunzi wa awali na wa kwanza (mpeperusha bendera ) wa mbele wa Freemasons. Lakini, kwa mujibu wa historia yao, wanaeleza kwamba Jumuiya yao iliundwa wakati wa ujenzi wa Hekalu la Mfalme Suleman ambalo lilikamilika takribani miaka 300 kabla pythogras hajazaliwa. Pythogras ni miongoni mwa wajumbe (Attas). Lakini Freemasonry kwa uongo wanadai kwamba Pythogras alikuwa mwanachama wa Jumuiya yao.
👉🏿Kwa mujibu wa Historia ya Freemasonry, inaelezwa kwamba Mgiriki maarufu na mwanahesabu mkubwa anaefahamika kama YUKLIDI (Euclid) aliyapitisha maarifa ya siri ya kimasoniki kwa Hiram Abiff, ambaye alikuja kuwa Mwashi Mkuu (The Master Mason). Pia inaelezwa kwamba Abiff alikuwa mjenzi mkuu na mpambaji wa hekalu la Mfalme Suleman, ambalo lilijengwa takribani karne ya 10th B.C. Yuklidi alizaliwa zaidi ya miaka 500 baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Hekalu la Solomon, ambapo kama utakuwa makini ni kitu ambacho kinachanga na kufanya jambo hilo kuto kuwezekana historia haiiingiliani vizuri. Kama upo makini inaelezwa kwamba HURAM ABIFF ambaye anaaminika kuwa freemason wa kwanza au mwanzilishi wa Freemasonry ya hivi leo ali pokea mafunzo ya kimasoniki kutoka kwa YUKLID , lakini wakati huohuo unaweza kujiuliza iliwezekanaje Yuklid kumrithisha Hiram Abiff siri za Naster Mason (Siri za mwashi mkuu) ambapo kwa mujibu wa historia inaonyesha Hiram Abiff ni wazamani kitambo kuliko Yuklid sasa iliwezekanaje Yuklid kumrithusha maarifa Hiram Abiff?
👉🏿Ukiangalia historia yake ipo na makosa na wana historia wa Freemasonry wanakataa kuirekebisha. Sasa nakala hii italenga kujadili baadhi ya masimulizi ya kimasoniki na kisha mwisho andiko hili tutaleta historia ya kweli ya Freemasonry
👉🏿Sasa kwa mujibu wa Hadithi ya Freemasonry, inaeldzwa kwamba Miongoni mwa wahusika wakuu alikuwepo Mfalme Suleman na Mfalme Hiramu wa Tiro. Wafalme hawa wawili walikuja kwa pamoja na kuamua kujenga Hekalu kubwa mno. Na baadaye baada ya kufikia maamuzi ya kutaka kujenga Hekalu hilo kubwa la ajabu, waliamua kumuajiri Hiram Abiff Fundi Mkuu (master craftsmen) aliye kuwa maarufu mwenye kujilikana ili kulipamba na kuling'arisha Hekalu.
👉🏿Kwa mujibu wa mafundisho yanayo wasilishwa kwa mwanachama wa freemasonry wa digrii ya tatu, inaelezwa kwamba Hiramu Abiff alichukuliwa kuwa sawasawa na wale wafalme wawili ambao ni Solomon na Hiram wa Tiro. Lakini Hiramu Abiff hakuwa mfalme alikuwa mwananchi tu lakini inaelszwa wote watatu walichukuliwa kuwa sawa kana kwamba hata Hiramu Abiff alikuwa ni mfalme lakin hakuwa mfalme (lakini aliwekwa level moja na wafalme wawili). Swala hilo linaweza kuibua maswali lakini hilo si jambo la ajabu, inaonyesha kwamba Waashi wote na wachonga mawe waliokuwa wakijenga Hekalu walichukuliwa kuwa wafanyabiashara wenye kuthaminika na watukufu.
👉🏿Kwa mujibu wa maelezo na hadithi ya Freemasonry inayowasilishwa kwa watahiniwa wa digrii ya tatu, inaelezwa kwamba hata kabla ya ujenzi wa hekalu kumalizika , Walefai watatu walipanga njama kuchukua kwa nguvu siri ya Mwashi Mkuu The secret of the Master mason kutoka kwa mtaalamu huyu HIRAM ABIFF. Kwa kweli hawakuwa na uwezo wa kuchukua siri hizo kwa kulazimisha badala yake waliishia kumuua Abiff.
👉🏿Siri ya Master Mason ni nini? Kabla hatujaendelea ngoja niweke sawa kuwa siri ya mwashi mkuu (MASTER MASON SECRETS) Ni siri zilizopo digrii ya tatu. Huwezi kuwa Master Mason bila kuingia Digrii ya tatu. Kwahiyo nini kilichomo ndani ya Digrii ya tatu kilikua ni Hiram Abiff pekee aliyekuwa anajua.
👉🏿Ikumbukwe pia katika ujenzi wa Hekalu la Mfalme Suleman kulikuwa na waashi ambao walikuwa ni watumwa (slaves) walijenga hekalu kubwa sana kulihitajika nguvu kazi ya kutosha kwa namna zote, baadhi ya waashi walikuwa ni watu wenye kuheshimika hawakuwa watumwa waliajiliwa kwa pesa na walikua huru waliitwa FREE MASONS - Hao waashi huru walikua na chama chao wao walichukuliwa kama wasomi yaani The ELITE hawa ndio tunao wazungumzia.
Inaelezwa kwamba hao Walefai watatu na wao wakiwa miongoni mwa wanachama wa hawa FREE MASONS (Kwasababu isingewezekana kwa mtu asiye mwanachama kuweza kujua kuwa kuna siri fulani zipo na wao walikuwa wanachama).. Walipo muua walikatakata vipande mwili wa hiram Abiff (Mbunifu mkuu wa Hekalu la Suleman) ndani ya hekalu na kisha wakaufukia.
👉🏿Na kisha Mfalme Suleman alipopewa taarifa ya kwamba Hiram Abiff mbunifu mkuu wa Hekalu haonekani akawa mwenye hasira kali kama amechanganyikiwa (amevurugwa kabisa) akaitisha kikao cha mafundi wanachama (Freemasons) haraka haraka na akagundua kwamba Katika chama chake Walefai watatu wanakosekana hawajahudhulia kikao hicho cha dharula.
Ndipo Mfalme Suleman akafunga bandari (usafiri wa majini), akafunga barabara za ardhini na kisha akatuma wanachama wake kwenda kuwatafuta hao walefai watatu. Na hatimaye Walefai watatu walipatikana na wakaletwa mbele za Mfalme Suleman, ambapo mbele za mfalme walikiri kosa. Na ndipo Suleman akaagiza kila mmoja auawe katika namna mbaya na ya kutisha, kwa mateso makali kwa kukatwa viongo vyao vya mwili na kuvigawanya/kuvitenganisha.
👉🏿Na ndipo baadaye, Mfalme Suleman na Mfalme Hiram walichimba kaburi (mahali alipofukiwa Hiram Abiff) ili kutafuta kidokezo au kiashiria cha lile neno la siri (Secret syllable) la Mwashi mkuu alilopewa Hiram Abiff. Walitafuta lakini hawakukuta kitu, ndipo wakamwinua Abiff kutoka kwenye kaburi lake na wakamzika karibu na Hekalu, karibu kabisa na Patakatifu pa Patakatifu (The Holy of Holies), kwasababu tamaduni za kiyahudi ziliruhusu.
👉🏿Sasa katika kutafsiri na kufafanua Historia ya Kimasoniki, baadhi ya mitazamo iliyo fichwa kutoka katika hadithi yetu ya awali inatakiwa kuyawasilishwa.
Tutakapo endelea tujue kuwa kuna tafsiri nyingi tofauti kuhusu Hiram Abiff ndani ya Freemasonry, ambapo tutamuona ELIJAH MUHAMMAD hapo vaadaye ambaye alikuwa mwanachama wa Freemasonry ya Kiislamu ya watu weusi ya kale (ANCIENT ORDER OF THE MYSRIC SHRINE) ambayo ni Freemasonry ya watu weusi ya Kiislamu inaitwa USHIRINA (SHRINERY) Hiyo ni Freemasonry ya kiislamu na wao wana tafsiri ya kwao tutaona huko mbele. Lakini Historia ya Hiram Abiff Freemason wote pamoja na migawanyiko yao wanaikubali isipokuwa wanatafsiri tofauti kutegemeana na migawanyiko ya Urangi (kuna Freemasonry ya wazungu na Waafrika), Udini (kama tulivyo ona huko nyuma kuna freemason ya waislamu na wakristo), na mengineyo yanafanya baadhi ya mambo watofautiane ila ni kitu kilekile.
Tuendelee na somo letu nikupe siri fulani ujue kitu fulani
👉🏿Siri yenyewe inaanzia hapa ni kwamba. Katika kutafsiri historia hii inaelezwa kwamba, Mfalme Suleman Na Mfalme Hiram wa Tiro kila mmoja alikuwa anamiliki au amepata kipande kimoja cha neno la siri (Secret syllable) au Code word. Kwahiyo Hiram Abiff (aliyeuawa) alikuwa amepata neno la siri la tatu. Kwahiyo Wafalme hao wawili pamoja na Hiram Abiff walitakiwa kwenda kutumia Neno fulani la siri kwenda kufanya ibada ya kimila au tambiko mahali patakatifu pa patakatifu baada ya kumalizika kwa ujenzi wa hekalu.
NOTE: Taarifa hizi nazo kwenda kuzizungumza kupitia kichwa hiki cha somo zinaatikana na zinajulikana kwa wanachama wachache sana wa Freemasonry tena wale wa ngazi za juu) - kwasababu kuna wanachama hawajui hiki nitakacho kwenda kukijadili kwa kina ingawa ni wanachama, wanacho kijua wanachama wengi wa freemasonry ni kile wanacho fundishwa wanapo ingia digrii ya kwanza kwamba "Kusudi kuu la Freemasonry ni kumfanya mwanaume mzuri kuwa bora zaidi" hilo sio kusudi hayo ni mafundisho ya juu juu kwaajili ya watu wa nje baadae level za juu mambo yote ya 1-3 digrii huonekana utoto na unaweza hadi kucheka.
👉🏿Hii ni hadithi ya giza kumhusu - Solomon , ambaye alikuwa ni mtu dharimu, alikuwa na mpango na alitaka yeye amiliki Neno lote la siri yeye peke yake. Suleman aliwaajiri walefai watatu kwenda kuiba au kuchukua neno la siri la tatu kwa lazima kutoka kwa Hiram Abiff, ambaye alikuwa ndani ya hekalu wakati walefai walipo msogelea. Baada ya Wale walefai kupewa dili hilo na Mfalme Suleman la kuchukua Neno hilo la ratu kutoka kwa Abiff , walimsogelea Abiff na mlefai mmoja akamtaka Huram awape Kipande cha tatu cha neno la siri (secret syllable) la Mwashi Mkuu (master mason secrets). Haraka haraka baada ya kuambiwa maneno hayo Hiram Abiff aligundua kuwa kuna kitu fulani hakipo sawa, kwasababu ni wanachama watatu tu, ndio walikuwa wanajua kwamba wanamiliki maneno matatu ya siri (Secret syllables), Kwahiyo Mlefai kumtaka Abiff ampe neno la siri ilimshtua kwasababu ni Watu wawili Mfalme Hiram na Mfalme Suleman ndio wanajua kuwa yeye anakipande cha siri cha neno la tatu - hilo lilimshtua sana Abiff. Baada ya hapo Abiff alikuwa na uwezo na alijaribu kuwatega walefai ili waweze kujifunua wenyewe kuwa ni Suleman amewatuma kabla hajawakwepa na kuwakimbia. Kwasababu Abiff alimjua vizuri suleman alikuwa mtu mbinafsi, dharimu hata ufalme aliupata kwasababu alimuua Adonija kaka yake ili yeye awe mfalme alijua kabisa Solomon kajikusanyia utajiri bado haimtoshi na maneno anayataka yote matatu yawe ya kwake mwenyewe. Hiram Abiff alipo watega akawaponyoka walefai ili akimbie, walefai wakamfukuzia hakufika mbali wakamkamata Abiff na kisha wakamuua. Na kisha wakauburuta mwili wa Abiff na kwenda kuuzika mbali na Hekalu. Kisha Walefai wakamtaarifu Suleman tukio lililo tokea kwamba wameshindwa kulipata Hilo neno la siri wamemuua mambo yasije yakaharibika, haraka haraka Suleman kuficha siri zaidi mambo yasije julikana akawavua uanachama na akawauwa haraharaka. Kwahiyo tukio la kuwauwa Walefai haraka haraka lilikua kama adhabu kwao pia ilikuwa ni muhimu kuwanyamazisha haraka kabla mambo hayajajulikana pia kumbuka hiyo ilikua ni jamii ya siri mambo inabidi yabaki sirini. Yasije yakafika mbali maan kwa kutolewa uanachama wakati Solomon mwenyewe aliwatuma wasingekubali kukaa kimya ilibidi hukumu itoke fasta fasta.
👉🏿Kwasababu Walefai hao walimuua Hiram Abiff kabla ya kuchukua neno la siri la mwashi mkuu (secret syllable) kwahiyo neno hilo la siri likawa limepotea (third secret syllable was lost) siri za master mason zikawa zimepotea kwasababu ni yeye tu HIRAM ABIFF alikua anazijua siri hizo.
👉🏿Wakati wa mazishi ya Masta Mkuu Hiram Abiff, Wafalme wawili hawa (mfalme suleman na Mfalme Hiram) walisikitika sana na walikasirika sana na kukata tamaa kwasababu walifanya kazi kubwa kutafuta hizo secret syllables pia walisikitika sana na roho ziliwauma kwasababu walipoteza nafasi ya kuweza kutumia NGUVU KUBWA YA NENO SIRI HILO. Wakala kiapo kwamba ipo siku moja watakuja kuvumbua hilo neno la tatu lililopotea. Wakati huohuo, walibadilisha neno hilo kwa kuweka neno mbadala ambalo lilikua linatamkwa "mor-bon-zi" kuwa mbadala wa neno la siri lililo potea. Hivi leo, hili neno mbadala ndiyo neno kuu la kimasoniki (Grand masonic Word) kwa mujibu wa historia ya Freemasonry. Inaelezwa kwamba Mfalme Suleman na Mfalme Hiram wa Tirowalipitisha sehemu ya siri zao kwa wanachama wenye kuaminika sana , na kwamba wanachama hao pia walio pokea siri hizo nao walizipitisha kwa wengine wanao waamini. Mpaka hivi leo katika jumuiya ya Freemasonry walio wachache na walio na maarifa haya wako makini sana wanaendelea kutafuta neno lililo potea (The lost secret syllable) ili waweze kutamka sehemu zote tatu au maneneno yote matatu ya siri, au lile neno halisi la tatu lililo potea.
👉🏿Lakini neno mor-bon-zi ni neno mbadala tu la siri, lakini Masons wote hupewa hilo neno na wanalitambua hadi hivi leo. Ingawa neno jilo Mor - bon-zi ni adimu kusikia likitamkwa wakati wa ibada za uanzilishi landa katika matukio maalumu sana na pia hutamkwa kwa pumzi ndogo. Lakini password(neno siri) ambalo Masons hulitumia katika maswala yao ya kila siku ni "tu-bal-Cain".
👉🏿Digrii nyingine za ziada zimekuwa zikiongezwa kwenye Freemasonry kwa miaka.
👉🏿Adam weishaup alitengeneza " French" degrees /digrii za kifaransa na kisha akasafiri kwenda scotland na akaziwaailisha kama Digrii halisi za kifaransa (Kwasababu digrii zinatakiwa zitokee naturally kiasili kama ilivyo tokea naturally kwenye hadithi ya solomon, Hiram na Abiff ambapo tunapata digrii tatu naturally moja ikiwa imepotea) sasa hizo digrii za kifaransa aliziwasilisha scotland kama vile ni halisi au naturally akiwaambia ni digrii halisi za kifaransa za Uashi (Masonry) huko kwenye Freemasonry ya Uskoti (Scotish Freemasonry). Na kisha tena akatengeza digrii za uskoti (Scotish degrees), na akasafiri kwenda Ufaransa na akaziwasilisha kama "bogus Scotish Drgrees" kwa Freemasons wa ufaransa na kuwaambia ni digrii halisi za uskoti.
👉🏿Inatakiwa izingatiwe kwamba na ukumbuke kwamba Freemasons wa hivi sasa walioko kwenye digrii za juu wanadai kwamba wamelipata neno la tatu la siri lililo potea la Mungu ambalo alikuwa Hiram Abiff. Neno hilo hupitishwa kwa mtahiniwa wa Tao Takatifu la Kifalme (yaani the Holy Royal Ark). Na neno hilo ni "Jah - Bul - On" (nimesha wahi kulizungumzia huko nyuma kama jina la mungu wa freemasons), ambapo neno hilo inaelezwa kwamba "Jah" ni neno la kihebrania kumaanisha mungu Yahweh; "bul" ni neno la mungu wa kaanani mungu wa uzazi na rutuba anayeitwa BAAL na Shetani (Davil), na "On" linasimama badala ya Mungu wa misri (Egyptian god) wa ulimwengu wa chini (Underworld) anayeitwa Osiris. Pia unaweza kumuita malakul maut Israel.
👉🏿Hilo neno la jina la Mungu linalowasilishwa kwa Freemasons wa digrii za juu yaani "Jah -bul-on" ni neno lingine mbadala la uongo la Adam weishaupt ili kuwatega baadhi ya watahiniwa wafikiri kwamba safari ya kutafuta neno lililo potea imekwisha imemalizika. Lakini ukweli ni kwamba "Jah Bul On" ni neno lingine mbadala wala sio neno sahihi la Hiram Abiff
Kwahiyo safari ya utafutaji wa neno la siri lililo potea bado inaendelea kwa siri chini kwa chini.
JE, HAWA WATU WATATU WALIKUWA NI AKINA NANI HASWA? KWANINI WALIKUWA NA VIPANDE VYA NENO LA SIRI? HIVI NI KWELI HILO NENO LINA NGUVU?
👉🏿Mfalme Suleman, Nfalme Hiram na Hiram Abiff walikuwa ni wajuzi wa siri zilizo fichwa walikuwa ni wataalamu wa uchawi wa sirini (Secret Occults) wanamizungi wa siri. Walijaribu kuficha taarifa hizi na hasa kwa kuwakataza na kuwazuia wote walio taka au kutamani kutafuta ujuzi ulio fichwa. Ishara juu ya hayo yanaonekana katika biblia kitabu kinacho husishwa na Mfalne Sulemani. Si yeye aliye andika kitabu chote lakini humo alikopi na kupindua baadhi ya mambo kutoka sehemu nyingine
Mithali 7:4-5
"Mwambie hekima , wewe ndiye umbu langu; mwite Ufahamu jamaa yako mwanamke. Wapate kukulinda na malaya, na mgeni akubembelezaye kwa maneno yake"
Kutoka kwenye Biblia ya kiingereza pameandikwa hivi
"Say unto wisdom, Thou art my sister; and calls understanding thy kinswoman:That they may keep thee from the strange wlman, from the stranger which flattereth with her words. Proverb 7:4-5
👉🏿Kanisa au dini imekua ikijaribu kutoa tafsiri zingine tofauti kupitia aya hiyo ya Mfame suleman. Lakini ni nini hasa kile kinachomaanishwa hapo? Ni kwamba Hekima na Ufahamu vinatakiwa kuthaminiwa lakini Maarifa ya uchawi yanatakiwa kuzuiliwa kana kwamba ni hatari. Kwahiyo Solomon anajaribu kuelezea umma wa wengi kwamba maarifa ya siri za ulimwengu maarifa ya uchawi unao fahamika kama occult au maarifa yaliyo fichwa kwamba ameyafananisha na mwanamke mgeni anajaribu kuzuia watu wasiingie kwamba ni hatari. Kwahiyo ata hiyo inaleta mantiki ikiwa Mwanamke mgani itatafsiriwa kumaanisha " Occult Mystries" siri za mizungi (Maarifa yaliyo fichwa), ikiwa ikitafsiriwa vinginevyo hitimisho lake halitoleta mantiki
👉🏿Biblia imepindua mambo kwa kuweka kama onyo la kuwataka watu kuepuka kutazama nyota, kupiga bao, kujiungamanisha na roho za wafu, uchawi, ushirikina, mambo yote ya siri watu wanazuiwa wasiyatafute wakiambiwa ni Ushetani au uharibifu au uovu. Na hilo lilikuwa kweli hasa wakati wa kipindi cha utawala wa Mfalme Josiah wa Israel. Ingawa pia biblia inatuonyesha kwamba viongozi wa kidini walikuwa wanaelewa nguvu ya siri za kichawi za maneno, herufi, majina, alama, unajimu, namba na sauti au matamshi hayo walijifunza kwa siri ndani ya dini zao tunaita Kabbalah. Mfano mmoja wapo unao patikana katika biblia unao ashiria jambo hilo ni pale ambapo ABRAHAMU alibadilishwa jina lake na kuitwa IBRAHIMU hilo linapatikana kwenye Mwanzo 17;5
👉🏿Ukweli kabisa uliopo hata hapa Tanzania ni kwamba Viongozi wengi wa kidini wanatumia nguvu za uchawi (occult power) huku wakiwaweka waumini wao katika ujinga (wakitumia jina la yesu au visomo lakini hawasemi ukweli wazi kuwa wanatumia nguvu za uchawi nani asiye jua?) wao wanatumia nguvu za uchawi kupata majina makubwa na Fedha nyingi na huku wanawaweka watu katika ujinga na kuwatia hofu ili wasiweze kutafuta maarifa ya siri ambayo wao wanatumia. Vivyo hivyo kama ilivyo leo kwa viongozi wa kidini hata wakina Solomon, Hiram , na Hiram Abiff walikuwa watu wa namna hiyo.
Labda ni dini yako haijakueleza vizuri namna gani Suleman Alitajirika kuwa bilionea. Nikwambie suleman habari zake za msingi zimeondolewa kwenye Biblia ameandika habari za kutisha jinsi ya kushirikiana na mapepo demon tena mapepo waovu (Evil spirit) ameandika kitabu kinaitwa (Ufunguo mdogo na mkubwa solomon, uchawi wa solomon, Agano la solomon n.k) kote anazungumza habari ya kuwatumia mashetani (evil spirits) kuwaira na kwenye Agano la Solomon (The testament of Solom ) ameeleza agano alifanya na Mungu SABAOTH akapewa pete ilichongwa Alama ya siri inaitwa Pentacle (alama ya nyota tano ndani ya mduara) alifundishwa na Sabaoth (Anunnaki) kuwatumikisha Roho waovu kujipatia dhahabu kwa wingi bila mahangaiko, pesa n.k . Hilo nimeingizia nikueleze kwamba HIRAMU ABIFF, MFALME HIRAM na MFALME SULEMAN walitumia Nguvu za uchawi (Occult power) na maarifa ya siri kufanyika kuwa walivyo kuwa kwa siri huku mbele ya umma walizungumza vinginevyo lakini mbele ya wenzao au wanachama wao waluwapitishia maarifa hayo kwa viapo vya usiri.
(Sijamaanisha sasa kwamba Freemason inatoa utajiri)
👉🏿Kwahiyo mfalme suleman na Hekima yake ya ajabu inayodaiwa alikuwa nayo kwa mujibu wa hadithi zilizopo pamoja na kazi zake kuhusishwa na nguvu za uchawi (occult power) zimefichwa sana.. Mfalme Suleman, Mfalme Hiram pamoja na Hiram Abiff, walikuwa watu wanao fanya mazoea ya uchawi (Practiced occultists) lakini walijikita sana katika eneo la sanaa za kiza.
Hao watu watatu waliongozwa Kujenga Hekalu kubwa mno ambalo lilipaswa kuja kuwekwa wakfu kwaajili ya NGUVU ZA JUU (SANA) ZA UPANDE WA GIZA (Higher forces of the dark side). Sasa ili kupata uwezo huo mkubwa kwaajili ya hekalu, mateso mengi yalikuwa ni ya lazima wakati wa ujenzi wa hekalu. Hilo lilifanikiwa kupitia kafara za damu na kutumikishwa kwa wakata mawe na waashi ambao walilazimishwa kwa nguvu kujenga hekalu na pia waliweka Kodi za uonezi kwa wananchi ili kujikusanyia pesa za kutosha kujenga hilo Hekalu la Mfalme suleman. Mambo hayo ya kutisha na mambo mengineyo ikiwemo kupanda kwa kodi ambazo zilionyesha wazi ni uonezi ilisababisha uasi.
👉🏿Wakati hekalu litakapo kamilika walielezwa kuwa ilitakiwa kuwepo na eneo linalo jukana kama "Patakatifu pa patakatifu", mahali ambapo hao watu watatu (Mfalme suleman, mfalme Hiram na Hiram Abiff) walitakiwa kukutana kila baada ya muda fulani kuzishusha na kuziamuru nguvu kamili za kiza zinazo husishwa na ANUNNAKI wa ngazi za juu (Anunnaki Elite) ambao kwa wakati huo hawakuwepo tena duniani walikua wamekwisha ondoka kupitia au kwa kutumia Neno la siri. Sasa wakati Hekalu au kitu chochote kilichotayarishwa lakini hasa hasa mahali patakatifu pa patakatifu ndani ya hekalu, kilikuwa kiijichaji hali ya uhai au nguvu wanapo kuwa wakitamka neno hilo, ambapo wakiwa eneo hilo kitu kilicho andaliwa kingepata uhai wa aina yake, na kingepata nguvu za aina yake.
👉🏿Lakini Mahali patakatifu pa patakatifu, hapakuchajiwa nguvu kamili kama ilivyo kuwa inatakiwa kwasababu HIRAM ABIFF aliuawa kabla ya Hekalu halijakamilika
👉🏿Vipande vya maneno matatu ya kimatamshi ambayo Suleman, Hiram na Abuff , yanatengeneza au yanaunda neno moja kamili na lililo halisi ambapo ni neno lililo potea ambalo Freemasons ndio wanalitafuta.
Ikiwa maneno hayo yakitamkwa kwa sauti sahihi, muda sahihi, mpangilio sahihi , kipindi sahihi na kwa kiwango cha juu muunganiko huo wa maneno hayo unaweza kuziita nguvu katika viwango vya juu. Fomula hiyo maalum ina uwezo wa kuvuta nguvu kamili za giza.
👉🏿Nguvu hiyo sio nguvu ndogo au nguvu za kawaida: yeyote yule ambaye ana ufunguo kuelekea nguvu hii kwa haraka haraka ana uwezo wa kuthibiti Ulimwengu mzima na kubeba fidia ya taifa zima. Hili jambo si utani na hutakiwi kulichukulia kiurahisi. Vuta picha tu au chukulia nini kingetokea kama Solomon angefanikiwa kumiliki maneno yote matatu yanayo unda neno moja kamili?. Neno hilo lililo potea la kimasoniki ndilo neno ambalo Aldof Hitler alikuwa akilitafuta kwa siri. Na kama neno hilo likiangukia kwenye mkono usio sahihi, linaweza kusababisha majanga ya kutisha.
👉🏿Freemasons huinuliwa katika digrii ya tatu kupitia Hadithi ya Hiram Abiff na hupewa neno la mbadala sio lile neno halisi. Hiyo ni kwasababu ni Masons wachache wanaelewa kuhusu maneno halisi yale mawili (two secret syllable), lakini wote wanaojua siri hii wapo makini wanaendelea kutafuta neno la sauti lililopotea. Wanalo tumaini kwamba mtahiniwa mmoja wapo anaweza akaja kugundua au kufunuliwa. Pia wanalo tumaini kwamba Mwashi Mkuu mmoja wapo katika siku zijazo au wakati wowote atakuja kuvumbua neno hilo. Ingawa Kwa wanachama walio wengi katika freemasonry hawana fikra au ujuzi wowote kuhusiana na ajenda hii ya siri ndani ya jumuiya yao. Na mpaka sasa ni takribani miaka 3,000 imetimia tangu waanze kutafuta neno hilo la siri la Hiram Aniff na bado halijulikani katika jumuiya yao.
ITAENDELEA
👉🏿Freemasonry limekuwa ni habari na shirika kubwa ambapo wengi wanahangaika kuhusu Freemasonry. Freemasonry wenyewe hasa speculative Freemasonry (Freemasonry ya kisasa ya hivi karibuni) wanaeleza kuwa chimbuko lake ni kutoka katika zama za kati kutoka kwa wajenzi au vyama vya ujenzi vya kale.
Lakini katika mafundisho yake na wakati mtahiniwa anafanyiwa ibada au mila za uanzilishi katika digrii ya kwanza mpaka ya tatu, mara zote hasa wakati wa daraja la tatu hufundishwa asili ya Freemasonry kutoka katika hadithi ya Mfalme Suleman, Mfalme Hiramu wa Tiro na Hiram Abiff.
👉🏿Hiramu Abiff mbunifu mkuu wa Hekalu la Mfalme suleman ni mtu muhimu mno katika Mafundisho ya Freemasonry. Huwezi kukamiliska kuwa mwanachama wa digrii ya tatu bila kubeba uhusika (character) wa hiram Abiif.
👉🏿Kwa wanao soma nyaraka mbalimbali za Freemasonry zilizo sahihi huwezi kukosa jabari au rejeleo ama kutajwa kwa Hiramu Abiff, Na Mfalme Solomon...
Hivi umuhimu wa Hiram Abiff ni nini hasa?
👉🏿Baadhi ya masons wanazo tafsiri tofauti tofauti kuhusu Hiram Abiff. Hiram Abiff anachukuliwa kama mwanzilishi wa Freemasonry ya hivi leo pia anachukuliwa kama Fresmason wa kwanza.
👉🏿Inaonyesha wazi kuwa Freemasonrry ilikuwepo hata kabla ya Hiram Abiff, lakini kwanini Freemasonry ya kisasa ya hivi leo wanajichukulia mwanzo wao kutoka kwa Hiram Abiff?
Kwanini Solomon? Wakati kulikuwepo na Freemasonry maarufu kabla yao?
Why Hiram Abiff?
Tutakapo zidi kumsimbua Hiram Abiff kutoka kwa Mason wenyewe na pia kupitia watafiti wengine nje ya Freemasonry na ndani yake ambao hawafuati mfumo rasmi bali wanachunguza kwa uhuru. Tutaweza kuona kusudi kuu la kweli la Freemasony
Kwamba Freemasonry ya hivi leo inawaheshimu Mfalme Suleman, Mfalme Hiram wa Tiro na Hiram Abiff
Zingatia: ⚠️ Ukiwa makini kwenye hadithi ya mfalme suleman, Nfalme Hiram wa Tiro na Hiram Abiff utagundua kulikuwa na WAFALME WAWILI na mtu mwingine tu maarfu mwenye kuheshimika kutokana na ujuzi wake hakuwa mfalme wala hakuwa na cheo cha kisiasa katika nchi yake. Ila wawili kati yao walikuwa wafalme (Marais wa nchi zao)
👉🏿Tuna sababu nyingi kwamba hatuwezi kuthibitisha Historia ya Kimasoniki kiurahisi rahisi. Baadhi ya Attas au wapelelezi/wajumbe/watafiti walijaribu kuichunguza na kuipeleleza freemasonry kwa njia zote ya kuingia ndani ya shirika kwa ndani kupitia kujipenyeza katika jumuiya hiyo na njia ile ya nje ya kufanya utafiti na upekuzi wa maandiko ya kale ama ushahidi wowote uliopo katika historia. Thomas Paine alikuwa ni mmoja kati ya wajumbe walio beba jukumu kwa kuipeleleza jumuiya kwa nje (kupitia utafiti), wakati huohuo wajumbe wengine kama vile Benjamin Franklin na Mark Twain walijipenyeza ndani ya jumuiya ama shirika la Freemasonry.
👉🏿Fraklin alifichua siri nyingi za Freemasonry kwa Thomas Paine na kisha akampatia kopi zenye rekodi za siri kutoka katika Lodge mbalimbali za Freemasonry. Kutokana na hilo, Fraklin aliondolewa uanachama kwa kutoa au kuonyesha ukinzani na mwanzilishi wa Illuminati ambaye pia alikuwa ni kiongozi wa ngazi za juu wa Freemasonry anayefahamika kama Adam Weishaupt, ambaye ni bingwa katika hadithi kwa tabia ya kushangaza ya kishetani na kubadilika na kupindisha uhusika.
👉🏿Baada ya kuchunguza shirika hilo kwa kina, Bwana Paine alikuja kudai kwamba huenda Wanahistoria wa Freemasonry hawawezi kutoa ukweli hasa wa historia ya kweli ya shirika lao au hawajui historia ya kweli hasa kuhusu shirika walilomo ndani yake.
Kwa kufichua makosa na ufisadi wa wanahistoria wa Freemasonry, Paine aligundua kwamba kwa mujibu wa Historia ya kimasoniki, Pythogoras aliyekuepo miaka 580 B.C, alitakiwa kuwa mtwanafunzi wa awali na wa kwanza (mpeperusha bendera ) wa mbele wa Freemasons. Lakini, kwa mujibu wa historia yao, wanaeleza kwamba Jumuiya yao iliundwa wakati wa ujenzi wa Hekalu la Mfalme Suleman ambalo lilikamilika takribani miaka 300 kabla pythogras hajazaliwa. Pythogras ni miongoni mwa wajumbe (Attas). Lakini Freemasonry kwa uongo wanadai kwamba Pythogras alikuwa mwanachama wa Jumuiya yao.
👉🏿Kwa mujibu wa Historia ya Freemasonry, inaelezwa kwamba Mgiriki maarufu na mwanahesabu mkubwa anaefahamika kama YUKLIDI (Euclid) aliyapitisha maarifa ya siri ya kimasoniki kwa Hiram Abiff, ambaye alikuja kuwa Mwashi Mkuu (The Master Mason). Pia inaelezwa kwamba Abiff alikuwa mjenzi mkuu na mpambaji wa hekalu la Mfalme Suleman, ambalo lilijengwa takribani karne ya 10th B.C. Yuklidi alizaliwa zaidi ya miaka 500 baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Hekalu la Solomon, ambapo kama utakuwa makini ni kitu ambacho kinachanga na kufanya jambo hilo kuto kuwezekana historia haiiingiliani vizuri. Kama upo makini inaelezwa kwamba HURAM ABIFF ambaye anaaminika kuwa freemason wa kwanza au mwanzilishi wa Freemasonry ya hivi leo ali pokea mafunzo ya kimasoniki kutoka kwa YUKLID , lakini wakati huohuo unaweza kujiuliza iliwezekanaje Yuklid kumrithisha Hiram Abiff siri za Naster Mason (Siri za mwashi mkuu) ambapo kwa mujibu wa historia inaonyesha Hiram Abiff ni wazamani kitambo kuliko Yuklid sasa iliwezekanaje Yuklid kumrithusha maarifa Hiram Abiff?
👉🏿Ukiangalia historia yake ipo na makosa na wana historia wa Freemasonry wanakataa kuirekebisha. Sasa nakala hii italenga kujadili baadhi ya masimulizi ya kimasoniki na kisha mwisho andiko hili tutaleta historia ya kweli ya Freemasonry
👉🏿Sasa kwa mujibu wa Hadithi ya Freemasonry, inaeldzwa kwamba Miongoni mwa wahusika wakuu alikuwepo Mfalme Suleman na Mfalme Hiramu wa Tiro. Wafalme hawa wawili walikuja kwa pamoja na kuamua kujenga Hekalu kubwa mno. Na baadaye baada ya kufikia maamuzi ya kutaka kujenga Hekalu hilo kubwa la ajabu, waliamua kumuajiri Hiram Abiff Fundi Mkuu (master craftsmen) aliye kuwa maarufu mwenye kujilikana ili kulipamba na kuling'arisha Hekalu.
👉🏿Kwa mujibu wa mafundisho yanayo wasilishwa kwa mwanachama wa freemasonry wa digrii ya tatu, inaelezwa kwamba Hiramu Abiff alichukuliwa kuwa sawasawa na wale wafalme wawili ambao ni Solomon na Hiram wa Tiro. Lakini Hiramu Abiff hakuwa mfalme alikuwa mwananchi tu lakini inaelszwa wote watatu walichukuliwa kuwa sawa kana kwamba hata Hiramu Abiff alikuwa ni mfalme lakin hakuwa mfalme (lakini aliwekwa level moja na wafalme wawili). Swala hilo linaweza kuibua maswali lakini hilo si jambo la ajabu, inaonyesha kwamba Waashi wote na wachonga mawe waliokuwa wakijenga Hekalu walichukuliwa kuwa wafanyabiashara wenye kuthaminika na watukufu.
👉🏿Kwa mujibu wa maelezo na hadithi ya Freemasonry inayowasilishwa kwa watahiniwa wa digrii ya tatu, inaelezwa kwamba hata kabla ya ujenzi wa hekalu kumalizika , Walefai watatu walipanga njama kuchukua kwa nguvu siri ya Mwashi Mkuu The secret of the Master mason kutoka kwa mtaalamu huyu HIRAM ABIFF. Kwa kweli hawakuwa na uwezo wa kuchukua siri hizo kwa kulazimisha badala yake waliishia kumuua Abiff.
👉🏿Siri ya Master Mason ni nini? Kabla hatujaendelea ngoja niweke sawa kuwa siri ya mwashi mkuu (MASTER MASON SECRETS) Ni siri zilizopo digrii ya tatu. Huwezi kuwa Master Mason bila kuingia Digrii ya tatu. Kwahiyo nini kilichomo ndani ya Digrii ya tatu kilikua ni Hiram Abiff pekee aliyekuwa anajua.
👉🏿Ikumbukwe pia katika ujenzi wa Hekalu la Mfalme Suleman kulikuwa na waashi ambao walikuwa ni watumwa (slaves) walijenga hekalu kubwa sana kulihitajika nguvu kazi ya kutosha kwa namna zote, baadhi ya waashi walikuwa ni watu wenye kuheshimika hawakuwa watumwa waliajiliwa kwa pesa na walikua huru waliitwa FREE MASONS - Hao waashi huru walikua na chama chao wao walichukuliwa kama wasomi yaani The ELITE hawa ndio tunao wazungumzia.
Inaelezwa kwamba hao Walefai watatu na wao wakiwa miongoni mwa wanachama wa hawa FREE MASONS (Kwasababu isingewezekana kwa mtu asiye mwanachama kuweza kujua kuwa kuna siri fulani zipo na wao walikuwa wanachama).. Walipo muua walikatakata vipande mwili wa hiram Abiff (Mbunifu mkuu wa Hekalu la Suleman) ndani ya hekalu na kisha wakaufukia.
👉🏿Na kisha Mfalme Suleman alipopewa taarifa ya kwamba Hiram Abiff mbunifu mkuu wa Hekalu haonekani akawa mwenye hasira kali kama amechanganyikiwa (amevurugwa kabisa) akaitisha kikao cha mafundi wanachama (Freemasons) haraka haraka na akagundua kwamba Katika chama chake Walefai watatu wanakosekana hawajahudhulia kikao hicho cha dharula.
Ndipo Mfalme Suleman akafunga bandari (usafiri wa majini), akafunga barabara za ardhini na kisha akatuma wanachama wake kwenda kuwatafuta hao walefai watatu. Na hatimaye Walefai watatu walipatikana na wakaletwa mbele za Mfalme Suleman, ambapo mbele za mfalme walikiri kosa. Na ndipo Suleman akaagiza kila mmoja auawe katika namna mbaya na ya kutisha, kwa mateso makali kwa kukatwa viongo vyao vya mwili na kuvigawanya/kuvitenganisha.
👉🏿Na ndipo baadaye, Mfalme Suleman na Mfalme Hiram walichimba kaburi (mahali alipofukiwa Hiram Abiff) ili kutafuta kidokezo au kiashiria cha lile neno la siri (Secret syllable) la Mwashi mkuu alilopewa Hiram Abiff. Walitafuta lakini hawakukuta kitu, ndipo wakamwinua Abiff kutoka kwenye kaburi lake na wakamzika karibu na Hekalu, karibu kabisa na Patakatifu pa Patakatifu (The Holy of Holies), kwasababu tamaduni za kiyahudi ziliruhusu.
👉🏿Sasa katika kutafsiri na kufafanua Historia ya Kimasoniki, baadhi ya mitazamo iliyo fichwa kutoka katika hadithi yetu ya awali inatakiwa kuyawasilishwa.
Tutakapo endelea tujue kuwa kuna tafsiri nyingi tofauti kuhusu Hiram Abiff ndani ya Freemasonry, ambapo tutamuona ELIJAH MUHAMMAD hapo vaadaye ambaye alikuwa mwanachama wa Freemasonry ya Kiislamu ya watu weusi ya kale (ANCIENT ORDER OF THE MYSRIC SHRINE) ambayo ni Freemasonry ya watu weusi ya Kiislamu inaitwa USHIRINA (SHRINERY) Hiyo ni Freemasonry ya kiislamu na wao wana tafsiri ya kwao tutaona huko mbele. Lakini Historia ya Hiram Abiff Freemason wote pamoja na migawanyiko yao wanaikubali isipokuwa wanatafsiri tofauti kutegemeana na migawanyiko ya Urangi (kuna Freemasonry ya wazungu na Waafrika), Udini (kama tulivyo ona huko nyuma kuna freemason ya waislamu na wakristo), na mengineyo yanafanya baadhi ya mambo watofautiane ila ni kitu kilekile.
Tuendelee na somo letu nikupe siri fulani ujue kitu fulani
👉🏿Siri yenyewe inaanzia hapa ni kwamba. Katika kutafsiri historia hii inaelezwa kwamba, Mfalme Suleman Na Mfalme Hiram wa Tiro kila mmoja alikuwa anamiliki au amepata kipande kimoja cha neno la siri (Secret syllable) au Code word. Kwahiyo Hiram Abiff (aliyeuawa) alikuwa amepata neno la siri la tatu. Kwahiyo Wafalme hao wawili pamoja na Hiram Abiff walitakiwa kwenda kutumia Neno fulani la siri kwenda kufanya ibada ya kimila au tambiko mahali patakatifu pa patakatifu baada ya kumalizika kwa ujenzi wa hekalu.
NOTE: Taarifa hizi nazo kwenda kuzizungumza kupitia kichwa hiki cha somo zinaatikana na zinajulikana kwa wanachama wachache sana wa Freemasonry tena wale wa ngazi za juu) - kwasababu kuna wanachama hawajui hiki nitakacho kwenda kukijadili kwa kina ingawa ni wanachama, wanacho kijua wanachama wengi wa freemasonry ni kile wanacho fundishwa wanapo ingia digrii ya kwanza kwamba "Kusudi kuu la Freemasonry ni kumfanya mwanaume mzuri kuwa bora zaidi" hilo sio kusudi hayo ni mafundisho ya juu juu kwaajili ya watu wa nje baadae level za juu mambo yote ya 1-3 digrii huonekana utoto na unaweza hadi kucheka.
👉🏿Hii ni hadithi ya giza kumhusu - Solomon , ambaye alikuwa ni mtu dharimu, alikuwa na mpango na alitaka yeye amiliki Neno lote la siri yeye peke yake. Suleman aliwaajiri walefai watatu kwenda kuiba au kuchukua neno la siri la tatu kwa lazima kutoka kwa Hiram Abiff, ambaye alikuwa ndani ya hekalu wakati walefai walipo msogelea. Baada ya Wale walefai kupewa dili hilo na Mfalme Suleman la kuchukua Neno hilo la ratu kutoka kwa Abiff , walimsogelea Abiff na mlefai mmoja akamtaka Huram awape Kipande cha tatu cha neno la siri (secret syllable) la Mwashi Mkuu (master mason secrets). Haraka haraka baada ya kuambiwa maneno hayo Hiram Abiff aligundua kuwa kuna kitu fulani hakipo sawa, kwasababu ni wanachama watatu tu, ndio walikuwa wanajua kwamba wanamiliki maneno matatu ya siri (Secret syllables), Kwahiyo Mlefai kumtaka Abiff ampe neno la siri ilimshtua kwasababu ni Watu wawili Mfalme Hiram na Mfalme Suleman ndio wanajua kuwa yeye anakipande cha siri cha neno la tatu - hilo lilimshtua sana Abiff. Baada ya hapo Abiff alikuwa na uwezo na alijaribu kuwatega walefai ili waweze kujifunua wenyewe kuwa ni Suleman amewatuma kabla hajawakwepa na kuwakimbia. Kwasababu Abiff alimjua vizuri suleman alikuwa mtu mbinafsi, dharimu hata ufalme aliupata kwasababu alimuua Adonija kaka yake ili yeye awe mfalme alijua kabisa Solomon kajikusanyia utajiri bado haimtoshi na maneno anayataka yote matatu yawe ya kwake mwenyewe. Hiram Abiff alipo watega akawaponyoka walefai ili akimbie, walefai wakamfukuzia hakufika mbali wakamkamata Abiff na kisha wakamuua. Na kisha wakauburuta mwili wa Abiff na kwenda kuuzika mbali na Hekalu. Kisha Walefai wakamtaarifu Suleman tukio lililo tokea kwamba wameshindwa kulipata Hilo neno la siri wamemuua mambo yasije yakaharibika, haraka haraka Suleman kuficha siri zaidi mambo yasije julikana akawavua uanachama na akawauwa haraharaka. Kwahiyo tukio la kuwauwa Walefai haraka haraka lilikua kama adhabu kwao pia ilikuwa ni muhimu kuwanyamazisha haraka kabla mambo hayajajulikana pia kumbuka hiyo ilikua ni jamii ya siri mambo inabidi yabaki sirini. Yasije yakafika mbali maan kwa kutolewa uanachama wakati Solomon mwenyewe aliwatuma wasingekubali kukaa kimya ilibidi hukumu itoke fasta fasta.
👉🏿Kwasababu Walefai hao walimuua Hiram Abiff kabla ya kuchukua neno la siri la mwashi mkuu (secret syllable) kwahiyo neno hilo la siri likawa limepotea (third secret syllable was lost) siri za master mason zikawa zimepotea kwasababu ni yeye tu HIRAM ABIFF alikua anazijua siri hizo.
👉🏿Wakati wa mazishi ya Masta Mkuu Hiram Abiff, Wafalme wawili hawa (mfalme suleman na Mfalme Hiram) walisikitika sana na walikasirika sana na kukata tamaa kwasababu walifanya kazi kubwa kutafuta hizo secret syllables pia walisikitika sana na roho ziliwauma kwasababu walipoteza nafasi ya kuweza kutumia NGUVU KUBWA YA NENO SIRI HILO. Wakala kiapo kwamba ipo siku moja watakuja kuvumbua hilo neno la tatu lililopotea. Wakati huohuo, walibadilisha neno hilo kwa kuweka neno mbadala ambalo lilikua linatamkwa "mor-bon-zi" kuwa mbadala wa neno la siri lililo potea. Hivi leo, hili neno mbadala ndiyo neno kuu la kimasoniki (Grand masonic Word) kwa mujibu wa historia ya Freemasonry. Inaelezwa kwamba Mfalme Suleman na Mfalme Hiram wa Tirowalipitisha sehemu ya siri zao kwa wanachama wenye kuaminika sana , na kwamba wanachama hao pia walio pokea siri hizo nao walizipitisha kwa wengine wanao waamini. Mpaka hivi leo katika jumuiya ya Freemasonry walio wachache na walio na maarifa haya wako makini sana wanaendelea kutafuta neno lililo potea (The lost secret syllable) ili waweze kutamka sehemu zote tatu au maneneno yote matatu ya siri, au lile neno halisi la tatu lililo potea.
👉🏿Lakini neno mor-bon-zi ni neno mbadala tu la siri, lakini Masons wote hupewa hilo neno na wanalitambua hadi hivi leo. Ingawa neno jilo Mor - bon-zi ni adimu kusikia likitamkwa wakati wa ibada za uanzilishi landa katika matukio maalumu sana na pia hutamkwa kwa pumzi ndogo. Lakini password(neno siri) ambalo Masons hulitumia katika maswala yao ya kila siku ni "tu-bal-Cain".
👉🏿Digrii nyingine za ziada zimekuwa zikiongezwa kwenye Freemasonry kwa miaka.
👉🏿Adam weishaup alitengeneza " French" degrees /digrii za kifaransa na kisha akasafiri kwenda scotland na akaziwaailisha kama Digrii halisi za kifaransa (Kwasababu digrii zinatakiwa zitokee naturally kiasili kama ilivyo tokea naturally kwenye hadithi ya solomon, Hiram na Abiff ambapo tunapata digrii tatu naturally moja ikiwa imepotea) sasa hizo digrii za kifaransa aliziwasilisha scotland kama vile ni halisi au naturally akiwaambia ni digrii halisi za kifaransa za Uashi (Masonry) huko kwenye Freemasonry ya Uskoti (Scotish Freemasonry). Na kisha tena akatengeza digrii za uskoti (Scotish degrees), na akasafiri kwenda Ufaransa na akaziwasilisha kama "bogus Scotish Drgrees" kwa Freemasons wa ufaransa na kuwaambia ni digrii halisi za uskoti.
👉🏿Inatakiwa izingatiwe kwamba na ukumbuke kwamba Freemasons wa hivi sasa walioko kwenye digrii za juu wanadai kwamba wamelipata neno la tatu la siri lililo potea la Mungu ambalo alikuwa Hiram Abiff. Neno hilo hupitishwa kwa mtahiniwa wa Tao Takatifu la Kifalme (yaani the Holy Royal Ark). Na neno hilo ni "Jah - Bul - On" (nimesha wahi kulizungumzia huko nyuma kama jina la mungu wa freemasons), ambapo neno hilo inaelezwa kwamba "Jah" ni neno la kihebrania kumaanisha mungu Yahweh; "bul" ni neno la mungu wa kaanani mungu wa uzazi na rutuba anayeitwa BAAL na Shetani (Davil), na "On" linasimama badala ya Mungu wa misri (Egyptian god) wa ulimwengu wa chini (Underworld) anayeitwa Osiris. Pia unaweza kumuita malakul maut Israel.
👉🏿Hilo neno la jina la Mungu linalowasilishwa kwa Freemasons wa digrii za juu yaani "Jah -bul-on" ni neno lingine mbadala la uongo la Adam weishaupt ili kuwatega baadhi ya watahiniwa wafikiri kwamba safari ya kutafuta neno lililo potea imekwisha imemalizika. Lakini ukweli ni kwamba "Jah Bul On" ni neno lingine mbadala wala sio neno sahihi la Hiram Abiff
Kwahiyo safari ya utafutaji wa neno la siri lililo potea bado inaendelea kwa siri chini kwa chini.
JE, HAWA WATU WATATU WALIKUWA NI AKINA NANI HASWA? KWANINI WALIKUWA NA VIPANDE VYA NENO LA SIRI? HIVI NI KWELI HILO NENO LINA NGUVU?
👉🏿Mfalme Suleman, Nfalme Hiram na Hiram Abiff walikuwa ni wajuzi wa siri zilizo fichwa walikuwa ni wataalamu wa uchawi wa sirini (Secret Occults) wanamizungi wa siri. Walijaribu kuficha taarifa hizi na hasa kwa kuwakataza na kuwazuia wote walio taka au kutamani kutafuta ujuzi ulio fichwa. Ishara juu ya hayo yanaonekana katika biblia kitabu kinacho husishwa na Mfalne Sulemani. Si yeye aliye andika kitabu chote lakini humo alikopi na kupindua baadhi ya mambo kutoka sehemu nyingine
Mithali 7:4-5
"Mwambie hekima , wewe ndiye umbu langu; mwite Ufahamu jamaa yako mwanamke. Wapate kukulinda na malaya, na mgeni akubembelezaye kwa maneno yake"
Kutoka kwenye Biblia ya kiingereza pameandikwa hivi
"Say unto wisdom, Thou art my sister; and calls understanding thy kinswoman:That they may keep thee from the strange wlman, from the stranger which flattereth with her words. Proverb 7:4-5
👉🏿Kanisa au dini imekua ikijaribu kutoa tafsiri zingine tofauti kupitia aya hiyo ya Mfame suleman. Lakini ni nini hasa kile kinachomaanishwa hapo? Ni kwamba Hekima na Ufahamu vinatakiwa kuthaminiwa lakini Maarifa ya uchawi yanatakiwa kuzuiliwa kana kwamba ni hatari. Kwahiyo Solomon anajaribu kuelezea umma wa wengi kwamba maarifa ya siri za ulimwengu maarifa ya uchawi unao fahamika kama occult au maarifa yaliyo fichwa kwamba ameyafananisha na mwanamke mgeni anajaribu kuzuia watu wasiingie kwamba ni hatari. Kwahiyo ata hiyo inaleta mantiki ikiwa Mwanamke mgani itatafsiriwa kumaanisha " Occult Mystries" siri za mizungi (Maarifa yaliyo fichwa), ikiwa ikitafsiriwa vinginevyo hitimisho lake halitoleta mantiki
👉🏿Biblia imepindua mambo kwa kuweka kama onyo la kuwataka watu kuepuka kutazama nyota, kupiga bao, kujiungamanisha na roho za wafu, uchawi, ushirikina, mambo yote ya siri watu wanazuiwa wasiyatafute wakiambiwa ni Ushetani au uharibifu au uovu. Na hilo lilikuwa kweli hasa wakati wa kipindi cha utawala wa Mfalme Josiah wa Israel. Ingawa pia biblia inatuonyesha kwamba viongozi wa kidini walikuwa wanaelewa nguvu ya siri za kichawi za maneno, herufi, majina, alama, unajimu, namba na sauti au matamshi hayo walijifunza kwa siri ndani ya dini zao tunaita Kabbalah. Mfano mmoja wapo unao patikana katika biblia unao ashiria jambo hilo ni pale ambapo ABRAHAMU alibadilishwa jina lake na kuitwa IBRAHIMU hilo linapatikana kwenye Mwanzo 17;5
👉🏿Ukweli kabisa uliopo hata hapa Tanzania ni kwamba Viongozi wengi wa kidini wanatumia nguvu za uchawi (occult power) huku wakiwaweka waumini wao katika ujinga (wakitumia jina la yesu au visomo lakini hawasemi ukweli wazi kuwa wanatumia nguvu za uchawi nani asiye jua?) wao wanatumia nguvu za uchawi kupata majina makubwa na Fedha nyingi na huku wanawaweka watu katika ujinga na kuwatia hofu ili wasiweze kutafuta maarifa ya siri ambayo wao wanatumia. Vivyo hivyo kama ilivyo leo kwa viongozi wa kidini hata wakina Solomon, Hiram , na Hiram Abiff walikuwa watu wa namna hiyo.
Labda ni dini yako haijakueleza vizuri namna gani Suleman Alitajirika kuwa bilionea. Nikwambie suleman habari zake za msingi zimeondolewa kwenye Biblia ameandika habari za kutisha jinsi ya kushirikiana na mapepo demon tena mapepo waovu (Evil spirit) ameandika kitabu kinaitwa (Ufunguo mdogo na mkubwa solomon, uchawi wa solomon, Agano la solomon n.k) kote anazungumza habari ya kuwatumia mashetani (evil spirits) kuwaira na kwenye Agano la Solomon (The testament of Solom ) ameeleza agano alifanya na Mungu SABAOTH akapewa pete ilichongwa Alama ya siri inaitwa Pentacle (alama ya nyota tano ndani ya mduara) alifundishwa na Sabaoth (Anunnaki) kuwatumikisha Roho waovu kujipatia dhahabu kwa wingi bila mahangaiko, pesa n.k . Hilo nimeingizia nikueleze kwamba HIRAMU ABIFF, MFALME HIRAM na MFALME SULEMAN walitumia Nguvu za uchawi (Occult power) na maarifa ya siri kufanyika kuwa walivyo kuwa kwa siri huku mbele ya umma walizungumza vinginevyo lakini mbele ya wenzao au wanachama wao waluwapitishia maarifa hayo kwa viapo vya usiri.
(Sijamaanisha sasa kwamba Freemason inatoa utajiri)
👉🏿Kwahiyo mfalme suleman na Hekima yake ya ajabu inayodaiwa alikuwa nayo kwa mujibu wa hadithi zilizopo pamoja na kazi zake kuhusishwa na nguvu za uchawi (occult power) zimefichwa sana.. Mfalme Suleman, Mfalme Hiram pamoja na Hiram Abiff, walikuwa watu wanao fanya mazoea ya uchawi (Practiced occultists) lakini walijikita sana katika eneo la sanaa za kiza.
Hao watu watatu waliongozwa Kujenga Hekalu kubwa mno ambalo lilipaswa kuja kuwekwa wakfu kwaajili ya NGUVU ZA JUU (SANA) ZA UPANDE WA GIZA (Higher forces of the dark side). Sasa ili kupata uwezo huo mkubwa kwaajili ya hekalu, mateso mengi yalikuwa ni ya lazima wakati wa ujenzi wa hekalu. Hilo lilifanikiwa kupitia kafara za damu na kutumikishwa kwa wakata mawe na waashi ambao walilazimishwa kwa nguvu kujenga hekalu na pia waliweka Kodi za uonezi kwa wananchi ili kujikusanyia pesa za kutosha kujenga hilo Hekalu la Mfalme suleman. Mambo hayo ya kutisha na mambo mengineyo ikiwemo kupanda kwa kodi ambazo zilionyesha wazi ni uonezi ilisababisha uasi.
👉🏿Wakati hekalu litakapo kamilika walielezwa kuwa ilitakiwa kuwepo na eneo linalo jukana kama "Patakatifu pa patakatifu", mahali ambapo hao watu watatu (Mfalme suleman, mfalme Hiram na Hiram Abiff) walitakiwa kukutana kila baada ya muda fulani kuzishusha na kuziamuru nguvu kamili za kiza zinazo husishwa na ANUNNAKI wa ngazi za juu (Anunnaki Elite) ambao kwa wakati huo hawakuwepo tena duniani walikua wamekwisha ondoka kupitia au kwa kutumia Neno la siri. Sasa wakati Hekalu au kitu chochote kilichotayarishwa lakini hasa hasa mahali patakatifu pa patakatifu ndani ya hekalu, kilikuwa kiijichaji hali ya uhai au nguvu wanapo kuwa wakitamka neno hilo, ambapo wakiwa eneo hilo kitu kilicho andaliwa kingepata uhai wa aina yake, na kingepata nguvu za aina yake.
👉🏿Lakini Mahali patakatifu pa patakatifu, hapakuchajiwa nguvu kamili kama ilivyo kuwa inatakiwa kwasababu HIRAM ABIFF aliuawa kabla ya Hekalu halijakamilika
👉🏿Vipande vya maneno matatu ya kimatamshi ambayo Suleman, Hiram na Abuff , yanatengeneza au yanaunda neno moja kamili na lililo halisi ambapo ni neno lililo potea ambalo Freemasons ndio wanalitafuta.
Ikiwa maneno hayo yakitamkwa kwa sauti sahihi, muda sahihi, mpangilio sahihi , kipindi sahihi na kwa kiwango cha juu muunganiko huo wa maneno hayo unaweza kuziita nguvu katika viwango vya juu. Fomula hiyo maalum ina uwezo wa kuvuta nguvu kamili za giza.
👉🏿Nguvu hiyo sio nguvu ndogo au nguvu za kawaida: yeyote yule ambaye ana ufunguo kuelekea nguvu hii kwa haraka haraka ana uwezo wa kuthibiti Ulimwengu mzima na kubeba fidia ya taifa zima. Hili jambo si utani na hutakiwi kulichukulia kiurahisi. Vuta picha tu au chukulia nini kingetokea kama Solomon angefanikiwa kumiliki maneno yote matatu yanayo unda neno moja kamili?. Neno hilo lililo potea la kimasoniki ndilo neno ambalo Aldof Hitler alikuwa akilitafuta kwa siri. Na kama neno hilo likiangukia kwenye mkono usio sahihi, linaweza kusababisha majanga ya kutisha.
👉🏿Freemasons huinuliwa katika digrii ya tatu kupitia Hadithi ya Hiram Abiff na hupewa neno la mbadala sio lile neno halisi. Hiyo ni kwasababu ni Masons wachache wanaelewa kuhusu maneno halisi yale mawili (two secret syllable), lakini wote wanaojua siri hii wapo makini wanaendelea kutafuta neno la sauti lililopotea. Wanalo tumaini kwamba mtahiniwa mmoja wapo anaweza akaja kugundua au kufunuliwa. Pia wanalo tumaini kwamba Mwashi Mkuu mmoja wapo katika siku zijazo au wakati wowote atakuja kuvumbua neno hilo. Ingawa Kwa wanachama walio wengi katika freemasonry hawana fikra au ujuzi wowote kuhusiana na ajenda hii ya siri ndani ya jumuiya yao. Na mpaka sasa ni takribani miaka 3,000 imetimia tangu waanze kutafuta neno hilo la siri la Hiram Aniff na bado halijulikani katika jumuiya yao.
ITAENDELEA