Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 4,408
- 6,640
Nimekuwa silencer nguli kwenye hili jukwaa pendwa la MMU. Ki ukweli nakiri ni mdau mkubwa katika jukwaa hili. Niende moja kwa moja kwenye mada
Wajuzi wa mapenzi wamekuwa wengi kwenye hiki kizazi cha nyoka. Kila mtu ana lake. Mimi nimekuja kushare nanyi siri niliyoigundua katika kumpakata mpenzi wangu.
Unapokuwa nyumbani hasa chumbani wewe na mpenzi wako pendelea kumpakata ili kupata wasaha wa kuongelea masuala mawili matatu yahusuyo mapenzi yenu. Nini kinamfurahisha, nini unakipenda kutoka kwake. Na nini unataka kumfanyia siku hiyo(kwenye 6 kwa 6).
Wakati mnazungumza yote hayo mikono yako hakikisha inapapasa kiuno, mgongoni, mapajani, shingoni na maeneo yote yanayoamsha hisia.
Hii ni mbinu ya kumfanya mpenzi wako awe relaxed na inawapa hisia za kwa pamoja. Fanya hivyo mara kwa mara hakika mahusuano yenu yataongezeka thamani.
Nawasilisha
Wajuzi wa mapenzi wamekuwa wengi kwenye hiki kizazi cha nyoka. Kila mtu ana lake. Mimi nimekuja kushare nanyi siri niliyoigundua katika kumpakata mpenzi wangu.
Unapokuwa nyumbani hasa chumbani wewe na mpenzi wako pendelea kumpakata ili kupata wasaha wa kuongelea masuala mawili matatu yahusuyo mapenzi yenu. Nini kinamfurahisha, nini unakipenda kutoka kwake. Na nini unataka kumfanyia siku hiyo(kwenye 6 kwa 6).
Wakati mnazungumza yote hayo mikono yako hakikisha inapapasa kiuno, mgongoni, mapajani, shingoni na maeneo yote yanayoamsha hisia.
Hii ni mbinu ya kumfanya mpenzi wako awe relaxed na inawapa hisia za kwa pamoja. Fanya hivyo mara kwa mara hakika mahusuano yenu yataongezeka thamani.
Nawasilisha
