Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Jaribu bhana usikate tamaa...
shoga nshazoea ila nawapa uzoefu majunior
Jaribu bhana usikate tamaa...
Kisipokushindwa kwa uzito basi harufu lazima ikushinde
Hueleweki
Wanaume wa sayari ya mars
hvyo hvyo
la ukubali kuishi nalo kichafu hvyo hvyo
kama akina sisi toka mars....
Wanaume wa sayari ya mars
Mwanaume wa Mars nakuitika. Unasemaje binti wa duniani?
Wadau hii ni copy and paste kama ilishakuja humu mniwie radhi
Alafu hamjuagi kuwakalisha waume home.
Hahahahaha. Siku uko home wewe amka anza makeke jikoni.
Mara blenda priiiii juice ama milk shake hahahaha.
Utaona anasogea jikoni..
Wakati anakunywa juice ama milk shake.
Anza kukuna nazi.
Chambua mnafu.
Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.
Hahaha ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni hahahaha kwenye friji wala hatumi.
Hahaahha utasikia nini kiko jikoni?
Hahahaa.
Mmiminie supu.
Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni.
Muulize kuna chapati.
Mpe hahahahaha.
Akimaliza supu nakuapia atasinzia.
Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva.
Mpe ale.
Mshushie na glass ya mtindi.
Hahahaha analewa full
Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige.
Hahahahahaha.
Baada ya hapo acha apumzike aoge.
Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni woiiiiiiiii.
Mkimaliza muombe pesa ya sokoni.
NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.
Hahahahaha nachekaga jamani.
Hahahahaha yani kwa raha ya supu nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana hahahaha ama utasikia Mamii,njoo uone njoo unaitiwa kitu cha kwenye tv hahaha. Hata hujaona mwanzo ila kwa raha ya kasupu utaitwa.
Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo, hahahahahahahahahaha.
Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili.
Wali maharage kama jeshi la jwt.
Makande kama kibosho girls.
Pyeeeeeeeeee.
Ataacha kuondoka akafanye yake?
Na hata akija home haupo uko sijui kwenye baby shower.. mara sijui unapata wine na binamu yako katoka marekani she Is on the way to airport.
MARA KICHAA CHA CHA NDOA KINAKUUMA
waiiii.
Wacheni kufanya ndoa ngumu. Namaanisha.
Ni mpango kamili wa Mungu mke na mume wawe marafiki.
Kuna watu siku za jumamosi na jumapili nyumba zinageuka restaurant fulani hivi yani mpaka raha.
Nice breakfast. Nice lunch. Nice dinner na jioni ama mchana inageuka Rest house hhahahahahaha.
Baadaeeee wanakaa kibarazani ama garden.
Kwa glass of wine ama cold tea ama juice ama cofeee.
YANI MNA MAJUMBA YA KIFAHARI LAKINI HATA HAMUYAINJOY KWA
MTAFIKIRI MMELOGWA
Hahahaha mume akizunguka zunguka home anaambiwa Leo huna pa kwenda eee malaya wako kasafiri eee hahahaha. Uwiii mama yangu.
Ama basi mume anakaa nyumbani yani hizo hodi uwiii.
Mashoga wanakuja huna hata muda wa kuhudumia mume,alafu wale mashoga uchwara akija anakaa seating room na mr na kuanza oooo weka chanel 7 saa hivi kuna series inaendelea.
nyoko series my foot?
Yani wewe uko jikoni yeye kajiachia sebuleni tena na miguu kapandisha kwenye sofa hahahaha na kuanza kushare story na mumeo woiiiìii.Na walivyo wachokozi wanawaoigiaga wanaume zao simu karibu na mumeo.
Wanatia oo honey i mc you. I remember the last game,wanna kill you next time honey.
Mume udenda unamtokaje.
Hahahahahah
Wai natamanigi niwaweke lokapu baadhi ya wake za watu kwa UJINGA WA HEDI WALUONAO.
Hahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahaha. Ninapataje kicheko. Hahahahahahaha. Kha hivi mnanielewa ama?
Hivi mnanielewa?
Hiyo mi hahahahaha inaudhiiiiiiiii kama nini
Tena wewe ndio haufai kabisaaaa
Hata Yesu alikataliwa kwao...... sembuse mimi nabii?
Tena wewe ndio kiongozi wao wa hii sayari
hapo sawa ila hawa wa ulimwngu huuu
km zigo la kinyesi!!!
duh unatuchukia kiasi hicho???!!
Mmmmh..........................