Siri ya Kuchapiwa hii hapa

Na ukaoa bikra akawa kicheche balaa..
 
Yani dawa ni moja tu usipende kumfatilia sana mwanamke mana utakufa kwa presha na ugomvi, we jipe imani upo mwenyewe tu utafrahi maishani ili mradi uyaoni hadharani tu. Mana yeye ndo anajua anachotaka unaweza mpa hata ndege bt akafanya yake inabd uish nae kwa imani tu kua upo wwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli story inagusa...wanawake wanalia kwa mengi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa thread kaanza kwa kunipa moyo ila wewe umenivunja kabisa moyo

KAABAD THE GREATEST
 

Soma hapa Mkuu Kumbukumbu la torati 28:
15 Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata.
30 Utaposa mke na mume mwingine atalala naye; utajenga nyumba usiikae; utapanda mizabibu usitumie matunda yake

41 Utazaa wana na binti, lakini hawatakuwa wako wewe; kwa sababu watakwenda utumwani
 
Huyo dadaako ni kajizi ka mapenzi. Kaambie katubu na kuacha dhambi mara moja kabla sijakasirika
 


Mkuu, kumfatilie mke wako ni moja ya majukumu yako. Ni mali yako alafu unasema usiifuatilie. Kauli za namna hii zinadhirisha kupungua kwa wanaume wanaomuwakilisha Mungu
 
Huyo dadaako ni kajizi ka mapenzi. Kaambie katubu na kuacha dhambi mara moja kabla sijakasirika


Mkuu Aspirin, kesha sikia kwani yupo humu humu ndani. Lakini lazima ujue wanawake wanalizwa na mengi siku ya harusi.
 
Bikra labda uende kibaigwa kijijini ndani ndani huko ndo utapata bikra..

Ila ni kweli kuwa na mahusiano na demu ambaye umemtoa bikra wewe mwenyewe ina make sense,demu anakuwa anakufeel kinoma kama utamjali

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata uko kijijini ni shughuli kwani hata walimu huko shule za msingi na sekondari sio salama tena
 
nakubaliana na mtoa mada % 75 ni kweli kabisa na tutazimie maumivu huku tuendako.....
Na kama ulipendwa kwa ajili fedha ukweli mpaka sasa huyu sio mke wako peke yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…