mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,054
- 5,432
Usibishani na "funza" dawa ni kuitoa na kuichoma moto!!Aisee.... hii kitu gani tena....!?
Huyo Mrema aliyempa Hayati Chacha Wangwe ni Mrema yupi(tunahitaji wasifu wa Mrema hapa kwanza...)
Usibishani na "funza" dawa ni kuitoa na kuichoma moto!!Aisee.... hii kitu gani tena....!?
Huyo Mrema aliyempa Hayati Chacha Wangwe ni Mrema yupi(tunahitaji wasifu wa Mrema hapa kwanza...)
Hivi asubuhi bado. Moderators please uzi kama huu ulipazwa uwe kwenye dustbin na pia mleta mada awe amekula ban ya kutosha. Maana tunajadili hewa! Na uzi mwingine kule jukwaaa la katiba wa CC kiahirisha bunge
Usibishani na "funza" dawa ni kuitoa na kuichoma moto!!
Mkuu unataka kuutupa kwasababu kuna ukweli umetajwa na unakuumiza?
Umbea uliobeba ukweli
haya sasa, wanaanza kumgeuka gaidi wao.
Funza nao wana akili eti eh!! Jiggers are fo real!!Funza wapo kichawani mwako na wamepenya hadi kwenye Ubongo jaribu kuwatoa uone ! Ukweli unauma sana Mangi wewe najua ni muumini wa Deus mallya Kama si ndugu yako Pia ,lakini ubishe,ukatae,Ukweli unaujua sana.
Funza nao wana akili eti eh!! Jiggers are fo real!!
Ni upumbavu na ushenzi tu!!! Leo hii 2015 inapokaribia ndiyo inagundulika rushwa ilitumika kwenye PM. Haya mkamateni huyo mpumbavu mwenzenu atoe ushahidi wenu mnaoutaka!! Kifo cha nyani miti yote huteleza hata hilo tawi mnalong'ang'ania si tu litateleza bali limeshavunjika!!
Mnyika na Deus mallya ni marafiki wakubwa kwani baada ya kifo cha chacha kufanikishwa na Deus ,ni huyo huyo Mnyika aliyehakikisha Deus hapati shiiida ili asije akaanika Uovu ulivyofanyika.
Not until CCM is ousted. Wangwe anaweza kuwa aliuawa, hofu ni kwamba hizi sinema hazitamgusa muuaji halisi na zimelenga kumsafisha.Really what happened kifo cha Chacha Wangwe? Ilikuwa ajali tu ama kulikuwepo na njama... Na kwa nini watu mnaogopa sinema hiyo kwani nani alomuua Chacha Wangwe maana sielewi hofu hizi zinatokana na kipi haswa. Ya kwamba Chadema itashirikishwa kuwa chanzo? Kama sivyo ushahidi wa kitaalamu unavyoonyesha mbona hapa watakuwa wamejifunga wenyewe huyo Diallo na wenzake kutengeneza sinema ya Uongo na hivyo kujiweka katika nafasi mbaya sana mahakamani -They will pay billions...