Saiv npo msiban wa msela wangu aliyetuacha.Na kesho ndoh tumepanga kumpunzisha. saiv nasikiliza tu huku parapanda.Huku tukiendelea na uchimbaji wa kaburi.
Ila nnachoshindwa n kwa nn kabur zote huwangalia pande moja.maana tunayoichimba saiv inafatana na kabur nyingine.
Ama kunajambo mbaya itatokea maana sielewi.