Siri ya Coca-Cola yafichuka

Siri ya Coca-Cola yafichuka

Revealed at last: The secret recipe for Coca-Cola ....The drink can now be bought in more than 200 countries around the world. Here is the ‘secret recipe taken from Wikipedia see the link below:
- Fluid extract of Coca 3 drams USP
– Citric acid 3 oz
– Caffeine 1oz
– Sugar 30 (it is unclear from the markings what quantity is required)
– Water 2.5 gal
– Lime juice 2 pints 1 qrt
– Vanilla 1oz
– Caramel 1.5oz or more to colour
– 7X flavour (use 2oz of flavour to 5 gals syrup):
– *Alcohol 8oz*
– Orange oil 20 drops
– Lemon oil 30 drops
– Nutmeg oil 10 drops
– Coriander 5 drops
– Neroli 10 drops
– Cinnamon 10 drops


mkuu MM nakualika leo njoo na Coca yako hata nne ukitaka, kisha tupime wote mie na wewe Alcohol kama tutaikuta. najitolea kwa hilo...n about machine nina very sophisticated one which can detect even at 0.001 v/v alcohol.
i am sure there's no ALCOHOL
 
Mkuu Buchanan

Hapa kwanza ujue kuwa wanalengwa wanywaji Coca Cola Waislamu & Ulimwengu wa Kiarabu

Kumbuka wakati wa Vita ya Iraq & Afghanistan ... Waislamu waliambiwa wasusie kunywa Coca Cola kwa sababu Marekani inawanyanyasa Waislamu duniani so waache kutumia bidhaa zao. Wakaaambiwa waanze kutumia Mecca-Cola.

... sasa ukisema kuna Alcohol kwenye Coca basi Waislamu wataisusia as hawaruhusiwi kunywa pombe ... wataacha kunywa na wataanza kunywa mbadala wa Coca Cola as wanai-promote Mecca-Cola ... (Soda ya Maka)

New%20Picture%20(93).PNG


mecca_cola.jpg


mecca-cola.jpg
Duh!mashikoro mageni,mimi hayo yote nilikuwa siyajui!
 
mkuu MM nakualika leo njoo na Coca yako hata nne ukitaka, kisha tupime wote mie na wewe Alcohol kama tutaikuta. najitolea kwa hilo...n about machine nina very sophisticated one which can detect even at 0.001 v/v alcohol.
i am sure there's no ALCOHOL
Kwahiyo hapa mkuu unataka kutuakikishia kwamba hii ni vita ya biashara tu!
 
Mkuu umenichekesha sana,mbona umekwenda mbali sana?
we ukiona hawa wanaanza mara coca ujue hapo zinaongelewa habari za dini hawana wanalolijua zaidi ya hilo kwamba coca ni za mengi na ni mkristo watu wasitumie watumie azam cola hujaelewa nini??
 
we ukiona hawa wanaanza mara coca ujue hapo zinaongelewa habari za dini hawana wanalolijua zaidi ya hilo kwamba coca ni za mengi na ni mkristo watu wasitumie watumie azam cola hujaelewa nini??
Mimi namheshimu sana huyu MziziMkavu siamini kabisa kama lengo lake kuu ni hilo!na kama hilo ndiyo lengo lake basi atakuwa anafanya makosa makubwa sana!
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo hapa mkuu unataka kutuakikishia kwamba hii ni vita ya biashara tu!

mkuu hiyo vita ya kibiashara tu.... nikuambie kitu kimoja mkuu, je wafahamu kuna dawa ukinywa huruhusiwi kunywa Pombe kabisa, sasa kweli mamlaka zote za dawa na chakula duniani zitaruhusu Coca iuzwe bila warning ilihali wanajua ina alcohol na watumiaji waweza kuwa watu wasiotakiwa kunywa alcohol kabisa due to drug interaction? haswaa? then itakuwa sio 10% wanahongwa, hii itakuwa 100% kuhongwa...
 
mkuu hiyo vita ya kibiashara tu.... nikuambie kitu kimoja mkuu, je wafahamu kuna dawa ukinywa huruhusiwi kunywa Pombe kabisa, sasa kweli mamlaka zote za dawa na chakula duniani zitaruhusu Coca iuzwe bila warning ilihali wanajua ina alcohol na watumiaji waweza kuwa watu wasiotakiwa kunywa alcohol kabisa due to drug interaction? haswaa? then itakuwa sio 10% wanahongwa, hii itakuwa 100% kuhongwa...
Mkuu upo sahihi kabisa!hiki ni kinywaji kinachokubalika kimataifa,na kama kungelikuwa na kasoro kubwa kama hii lazima ingeshajulikana siku nyingi sana!
 
Nyama zipi hizo?

Mkuu Buchanan hujasikia sakata la kuchinja huko Mwanza? basi wagalatia walisusa kununua nyama baada ya Wassira kubaka haki ya nani mwenyejukumu la kuchinja na nani mlaji, ikaonekana kuwa waislam wanataka wawe wana chinja alafu uwezo wa kula nyama hawana basi wagalatia wakasusa kununua nyama.
 
Last edited by a moderator:
Walete hizo mbadala waone watakavyo susiwa kama nyama ilivyo tokea Mwanza.

kilo 2,500/- kwa sasa.
Warabu bwana? Na tayari ili wapate wateja wameweka udini mule kwenye post yao!!!!

Kifupi ni kwamba, madini ya cola, coffee ni element za sumu. sio mwana sayansi lakini kupitia mafundisho kadhaa iko hivyo. yaani mtumiaji mzuri wa coke hana tofauti na mtumiaji wa sigara japokuwa viwango vya athari watazidiana.

Lakini kwa blood pressure wanaweza kuwa ngoma droo.
 
kilo 2,500/- kwa sasa.
Warabu bwana? Na tayari ili wapate wateja wameweka udini mule kwenye post yao!!!!

Kifupi ni kwamba, madini ya cola, coffee ni element za sumu. sio mwana sayansi lakini kupitia mafundisho kadhaa iko hivyo. yaani mtumiaji mzuri wa coke hana tofauti na mtumiaji wa sigara japokuwa viwango vya athari watazidiana.

Lakini kwa blood pressure wanaweza kuwa ngoma droo.

Kwa hiyo hiyo coffee sio alcohol kama jamaa wanavyo taka kutuaminisha? au coffee ni sawa na alcohol?
 
Mzizi Mkavu hebu tafuta hii bidhaa huko majuu
kama ipo tuanze na sie kiwanda chetu
tutageuza tu jina.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom