Elections 2010 Siri si Siri: Pamoja na kauli za kujiamini - CCM wamejiandaa na kuukosa Urais

Liko wazi, no doubt, KUNA MTU YUKO WIZARA YA MAMBO YA NDANI AMBAYE YUKO CCM, AMENIPIGIA SIMU AKANIAMBIA NIKIENDA KUPIGA KURA NITAFUTE NA WENZANGU WA KUTOSHA TUKAMPE SLAA, SIJAAMINI MACHO YANGU,

CHADEMA FOR LIFE
 
Ni taarifa za kutia moyo hizi....

Na sikumbuki kama CCM wamewahi kuulizwa kama watakubalina na matokeo ....
...vilikuwa vinaulizwa vyama vingine tu...

Lakini jibu hapa sasa liko wazi...wamejiandaa kuukosa urais...

Ni Mtizamo unaoonyesha ukomavu wa kisiasa !
 
Kama CCM wapo tayari kwa kushindwa au kushinda, nini cha ajabu kitakacho wafanya wote walio against CCM kukubali kushindwa au kushinda.

Mimi ni muumini wa mabadiriko na naombea mageuzi halisi yatokee. Lakini Opposition parties wasipo shinda bado naami impact yao katika uendeshaji wa serikali ijayo utakuwa ni mkubwa sana. Mambo mendi ya uendeshaji serikali unaweza kubadirika sana. Margin ya ushindi kwa Kikwete (kama atashinda) itakuwa chini ya ile ya mwaka 2005....hii pekee ni itakuwa ni mafanikio makubwa kwani walikuwa hawaachi kutamba kuwa watashinda kwa kishindo zaidi ya 2005.

Bravo wapenda mageuzi, bravo Dr. Slaa, bravo Prof. Lipumba.

Muamusho huu wa kutaka mageuzi ndio unaanza kwani kizazi kipya ndiyo kinaongezeka. Vijana wenye umri kati ya miaka 13 mpka 17 watakuwa wamefikia umri wa kupiga kura uchaguzi mkuu ujao na matarajio makubwa ni kuwa sehemu kuwa yao ni kutaka mageuzi sio kama akina Kingunge, malechela na wenzao ambao kasi ya kuendana na kila jambo la maisha itazidi kuisha zaidi na zaidi.

Tujipe moyo wapenda mageuzi wala tusikate tamaa.
 
Kwa kweli niwazi CCM Tunasubiri Kikwete aapishwe 2,ajabu nikwamba ndani ya bunge CCM Itakuwa na 90% ya umiliki,haya vip hao wababaishaji wataweza,wengi wa wagombea wa upinzani hawana wake,vip wataongoza TAIFA la wanandoa
 

Hii propaganda ya vijijini tumeshaizoea. Nimeshuudia mzee wa kijijini, ambako ukikosa gari la asubuhi subiri kesho, anasema siwezi mpa JK sababu amekataa kumwongeza mshahara mwanangu. Siku hizi vijiji kibao kuna TV/Simu na updated kama mjini vile. Thus hili swala la vijijini ni propaganda tu CCM. Tumeizoea na wala haitukatishi tamaa.
 


duh! amizing
 

Hata mimi nakuhakikishia kuwa wengi wa wanaccm watapiga kura zao kwa dr wa ukweli, tuendelee wanamaombi
 
Ni habari ya kutia moyo!! Ana uzito gani ndani ya sisiemu?

Mnajidanganya, bila shaka hamjaijua sisiemu. Hivi mlishawahi kuona timu inacheza mpira ikifungwa halafu mashibiki wa timu iliyoshinda wanakatazwa kushangilia? ULIZA watu waliosoma maazengo. mechi ikipigwa kati ya Mazengo na Dodoma secondary.
Hiki ndo chama tawala. kitatawala milele.
 
Kwa kweli niwazi CCM Tunasubiri Kikwete aapishwe 2,ajabu nikwamba ndani ya bunge CCM Itakuwa na 90% ya umiliki,haya vip hao wababaishaji wataweza,wengi wa wagombea wa upinzani hawana wake,vip wataongoza TAIFA la wanandoa

Huku sasa ni kukosa hoja, jadili hoja mkubwa acha pumba!
 
Hivi slaa ataoa kwanza au ataapishwa kwanza? Bei ya sementi ikiwa elfu tano chips mayai itabakia 1500? Au huu ni usanii kama mwingene tena huu umepita mipaka? Great thinkers mpo?

Ukukosea kabisa kuchagua jina la SOKOMOKO maana inavyoonekana wewe ni sokomoko wa ukweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…