..................habari nilizozipata za ndani kabisa ya CCM ni kuwa........... CCM wamejiandaa.............yaani kuna kushindwa au kushinda........sikutegemea kabisa bwana huyu MZITO SANA NDANI YA CCM kunipa maelezo hayo..............awali i.e. kampeni zikianza aliniambia kuwa "CCM hatuna wasiwasi tutashinda USHINDI WA KISHINDO"..................nimezungumza naye leo tena nimempata kwa bahati sana (ilikuwa shida kumpata).........akaniambia..........MAMBO NI MAZITO lolote laweza kutokea............hivyo tumejiandaa kwa matokeo............
nimeshikwa na butwaa.................Dr. Slaa hii ngoma ni yako.........All the best!
nimeshikwa na butwaa.................Dr. Slaa hii ngoma ni yako.........All the best!