Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,984
- 11,794
Wewe kama ulipata 3 ukaenda Muccobs usituletee hasira zako hapa hata ukikataa ila ukweli unaujua moyoni kuwa mlio soma Muccobs mlifeli form six na ndio maana wengi wenu hamna vigezo vya kupata mkopo yani chuo chenu aliyejitahidi sana basi ana div II ya 12 na mnamuona kipanga kweli, sina haja ya kurudia rudia comment ukisoma thread yote utaona majibu yangu sio kukurupuka tu na hasira zako.
Mmmmmmmmmmhhh!!!
Wewe huna unachojua bora unyamaze.