Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

Wewe kama ulipata 3 ukaenda Muccobs usituletee hasira zako hapa hata ukikataa ila ukweli unaujua moyoni kuwa mlio soma Muccobs mlifeli form six na ndio maana wengi wenu hamna vigezo vya kupata mkopo yani chuo chenu aliyejitahidi sana basi ana div II ya 12 na mnamuona kipanga kweli, sina haja ya kurudia rudia comment ukisoma thread yote utaona majibu yangu sio kukurupuka tu na hasira zako.

Mmmmmmmmmmhhh!!!

Wewe huna unachojua bora unyamaze.
 
Wewe kama ulipata 3 ukaenda Muccobs usituletee hasira zako hapa hata ukikataa ila ukweli unaujua moyoni kuwa mlio soma Muccobs mlifeli form six na ndio maana wengi wenu hamna vigezo vya kupata mkopo yani chuo chenu aliyejitahidi sana basi ana div II ya 12 na mnamuona kipanga kweli, sina haja ya kurudia rudia comment ukisoma thread yote utaona majibu yangu sio kukurupuka tu na hasira zako.
I have never seen a mbwiga with no brain and with two degrees kama zako!
FYI nimekula mkopo 100% katika fees na 100% M&A
 
Acha kupiga promo wanaoenda hapo ni wale waliofel yani div 3 na kuendelea.Uliye anzisha huu uzi unataka marumbano ya vyuo wakati hayana tija kwa Tz wakati wasomi wengi na rasilimali zinaibiwa na Wazungu Je kuna haja ya kuwa na wasomi?
cha kwanza ni vizuri sana.wanaofanya kazi vizuri ni vizuri kuwasifia.SASA WEWE UNASOMA HAPO AU?
 
Wewe ushawahi ona wapi Tz hii kuna mtu mwenye div 4 form six aliyechaguliwa kujiunga chuo kikuu kwaajili ya degree program??????

Ukishangaa hilo shangaa na hili, kuna raia hapa Tz wameishia form six na wanataka kuwa maraifi/waziri mkuu.

Jamani mtu akipikwa anaiva, labda awe kichwa nazi, na kila stage inajitegemea maana tunatofautiana IQ.
 
Ligi za vyuo zimeanza haya twende kazi c c darius,danp36,METAL,mpigamsuli,perry,

mkuu umenionea.mimi kwenye rigi za vyuo nilishajitoa mda sana.na sikuwa nasifia chuo fulani au kukiponda chuo fulani.bali nilikuwa flexible
 
Mmmmmmmmmmhhh!!!

Wewe huna unachojua bora unyamaze.

Ukweli utakao kuumiza najua. Ninaongea nikijuacho na hata hapo Muccobs si mgeni nimeshaenda kuwatembelea rafiki zangu wenye div II,III na IV na kulala pale mara kadhaa. Na tule tu hosteli twenu kama Mabweni ya Machame girls, Mawenzi girls na Weruweru girls nazo mnaita hostel teh.
 
Ukweli utakao kuumiza najua. Ninaongea nikijuacho na hata hapo Muccobs si mgeni nimeshaenda kuwatembelea rafiki zangu wenye div II,III na IV na kulala pale mara kadhaa. Na tule tu hosteli twenu kama Mabweni ya Machame girls, Mawenzi girls na Weruweru girls nazo mnaita hostel teh.

Ila kumbuka kuna certificate na ordinary diploma courses.so hizo course unadhani wanasoma waliomaliza la saba ama?
 
I have never seen a mbwiga with no brain and with two degrees kama zako!
FYI nimekula mkopo 100% katika fees na 100% M&A

Teh hata ualimu ukiwa na div 3 unapata mkopo so acha sifa zako za kijinga utaki acha ila ukweli unaujua Muccobs ni kimbilio la waliochemka na kukosa vyuo walivyovipenda.
 
mbona hukuandika ukweli kuwa hao ma lecturer wamesoma chuo gani??? pili hukusema chuo hiki ndo kinaongoza kuchukua wanafunzi waliofeli zaidi?? mf.div 3 na 4??? chuo gani SENIOR LECTURER anaitwa MR??????? kina Maprofesa wangapi?? hiki chuo ni sifuri tuu kama kilivyo UDOM!!!
lugha yako mbaya si nzuri.rekebisha mkuuu.angalia maana hujavuka mto
 
karibu sana jamvini mdogo wangu@mpigamsulinaamini wanajukwaa waliku'miss sana. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Ila naamini ulijifunza kitu.
cc lusungo Excel seneta001 Baba V

Hahahahahahah mkuu Remote hebu mpe break banaa alikuja kwa ID ngeni Leo kaamua autupe ukiwa teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Ukweli utakao kuumiza najua. Ninaongea nikijuacho na hata hapo Muccobs si mgeni nimeshaenda kuwatembelea rafiki zangu wenye div II,III na IV na kulala pale mara kadhaa. Na tule tu hosteli twenu kama Mabweni ya Machame girls, Mawenzi girls na Weruweru girls nazo mnaita hostel teh.

Mimi sipo kutetea hicho chuo cha Muccobs,ila unanishangaza unajinadi unaMasters halafu unaamini kuwa wanafunzi kuwa na mkopo ndio kipimo cha ubora wa chuo,wanafunzi kutokuwa na mkopo inategemea labda hapo muccobs hakuna program zinazopewa kipaumbele kwenye mkopo kama vile education.

Halafu usitake kutuaminisha kuwa kuna watu wana div 4 wanasoma degree huko muccobs hiyo siwezi amini hata siku moja, au unataka kuwa wale wanaosema TEKU wanafundishwa na walimu wenye diploma.

Chuo ni chuo mkuu ndio maana kwenye kuajiliwa kuna interview haijalishi umetoka st John,Mzumbe,IFM,SUA.UDSM,SAUT,MUCCOBS,TEKU,RUKO
 
Back
Top Bottom