Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    570
Kwanza tu assume dunia ni flat lakini pia jua haliko mabilioni miles na linazunguka juu ya uso wadunia ndani ya dome.
Unasema Tu assume Dunia ni flat,..... Flatness ya Dunia sio assumption ndiyo reality ambayo macho yako yanaona siku zote ila fikra zako ndiyo zimekua corrupted kiasi ambacho hutaki kuyaamini macho yako.
Naamini unajua a very simple science kwamba kitu kinavyo kwenda mbali kinazidi kuonekana kidogo mwishowe huonekana kupotea kutokana na upeo wa macho.... but still unaweza kukiona kwa darubini.
Unaweza kuelezea vipi jua lnalozunguka juu ya dunia flat kuchomoza na kuzama kwa muonekano wa ukubwa ule ule namna hii 👇👇
Yes ni kweli kadri kitu kinavyozidi kwenda mbali ndiyo kinaonekana kuwa kidogo zaidi(although size yake actually inabaki constant)
Lakini unapaswa ufahamu kwamba Darubini na yenyewe ina ukomo wa kuona so itashindwa kukuonyesha Jua, endapo Jua litafika umbali na point fulani.

Nikija kwenye swali lako,... kinachofanya Jua lionekane kubwa during sunset and sunrise ni "REFRACTION(Bending )OF SUN'S LIGHT" so it's just an Illusion ambapo due to this unequal bending of light from the vertical diameter the image of the sun gets distorted so it appears oval and larger..... Na hii inatokea Tu pale ambapo Jua linakua at the horizon based on observer's line of sight....
 
Obstacle unayoizungumzia ndo dunia yenyewe.
Ulijaribu kufanya hata hesabu kidogo kujiridhisha kuwa 60km sio significant kufanya usione objects kwenye sphere?

Nimekuwekea image hapo chini ikusaidie hesabu za kutafuta height ya obstacle 'b' inayosababisha p1 and p2 wasionane.


View attachment 2980288

Mkuu tokea lini reflection ikawa sababu ya mwanga kutofika eneo husika kwenye line of sight???
zaidi zaidi reflection inasaidia mwanga kufika eneo ambalo ulitakiwa usifike.
View attachment 2980290
Hebu niambie hapo reflection inazuiaje hizo red rays zisifike kwenye R kutokea S??
ukifikiria kwa makini hizo purple rays zinaprovide alternate route kama red rays zimekuwa blocked.
Kwenye propagation of light, reflection ni advantage na sio disadvantage, side mirrors za kwenye magari ni mfano mzuri.
Na sio light pekee yake hata radio waves, reflection ni advantage maana inasaidia redio signals kufika bila kutegemea line of sight.
Umeandika maelezo mengi ila kuna swali la msingi nimekuuliza hapo hujalijibu....👇🏼

Au huoni hata Meli ikisafiri kwenda Zanzibar inasafiri horizontally without any bending towards the curve mpaka pwani ya Zanzibar?

Na Kwa kuongezea,.Je, tukitumia Helicopter kufuatisha Meli Kwa juu yake mpaka inafika kwenye pwani ya Zanzibar tutaweza kuobserve effect ya curvature, na kuona jinsi Meli inavyo bend towards the imaginary curve?



Ili mjadala huu uwe na msingi,..inabidi usiache maswali ya msingi bila kujibu.
 
Ukichukua kitu 🦠 mfano cheenye ukubwa WA 1x10^-50cm ukakiweka juu ya chungwa la ukubwa WA kipenyo Cha 10cm itakuwa ngumu sana kile kitu kutambua kama kipo kwenye chungwa lenye umbo la duara.

The size of the earth is so large compared to that of human beings and other imaging devices. Thats why you can't tell the shape of the earth while you're in it.

But this could be possible if a human being or an imaging devices could be at least half higher compared to the diameter of the earth.

Most of the ground based telescope 🔭 have failed to prove this truth despite of the higher resolution. This is because of the topographic features of the earth. For example if you want to perform this experience at northern part of TANZANIA let's say in Kilimanjaro, you must be at least higher than the mount kili or your satellite should be placed on top of the mount.

The topographic features of the earth, different weather conditions in different parts of the earth are the only hindrances that make this study tough.

The only way to unlock this puzzle is through Picha za ANGA. the real picture of the earth is the one taken at most 10 times higher than diameter of the earth.
 
Umeandika maelezo mengi ila kuna swali la msingi nimekuuliza hapo hujalijibu....👇🏼

Au huoni hata Meli ikisafiri kwenda Zanzibar inasafiri horizontally without any bending towards the curve mpaka pwani ya Zanzibar?

Na Kwa kuongezea,.Je, tukitumia Helicopter kufuatisha Meli Kwa juu yake mpaka inafika kwenye pwani ya Zanzibar tutaweza kuobserve effect ya curvature, na kuona jinsi Meli inavyo bend towards the imaginary curve?



Ili mjadala huu uwe na msingi,..inabidi usiache maswali ya msingi bila kujibu.
Ni wapi hukujibiwa?
Kama nadharia ya vitu static uongo wako huwezi hauwezi kuelewa, je complexity ya dynamic objects utaweza kuelewa?
Kwa ufupi hiyo meli yako in follow curve ya dunia na ndo sababu itaanza kupotea chini kwenda juu. Na kama utarusha
Helicopter hata zikiwa kumi, kila moja juu ya mwenzake, kama zitamaintain distance na meli yako zote zitabehave the same. Itaanza kupotea meli, then helicopter ya kwanza karibu na meli, ya pili, na kuendelea mpaka ya kumi.

Na ndo sababu nilikuambia huko juu kuwa kuwa huwezi kupata facts kwa kutumia macho pekee, kuna muda macho yanakuonesha vitu ambavyo havipo eneo husika (blue sky, red sun set, mirage, rainbow etc), na ndo sababu unahitaji ubongo wako kwenye kutambua ukweli.

Kitu nilichojifunza kutoka kwako, wewe ni mwepesi wakuruka katika ajenda inayofuatia bila kukubali arguments zilizokuwa presented kwenye ajenda ya sasa unaziona ni valid.
Mara moja moja kuwa responsible na kubali kufanya experiments zinazoprove mawazo yako na kudisprove mawazo mengine.
 
Ni wapi hukujibiwa?
Kama nadharia ya vitu static uongo wako huwezi hauwezi kuelewa, je complexity ya dynamic objects utaweza kuelewa?
Kwa ufupi hiyo meli yako in follow curve ya dunia na ndo sababu itaanza kupotea chini kwenda juu. Na kama utarusha
Helicopter hata zikiwa kumi, kila moja juu ya mwenzake, kama zitamaintain distance na meli yako zote zitabehave the same. Itaanza kupotea meli, then helicopter ya kwanza karibu na meli, ya pili, na kuendelea mpaka ya kumi.

Na ndo sababu nilikuambia huko juu kuwa kuwa huwezi kupata facts kwa kutumia macho pekee, kuna muda macho yanakuonesha vitu ambavyo havipo eneo husika (blue sky, red sun set, mirage, rainbow etc), na ndo sababu unahitaji ubongo wako kwenye kutambua ukweli.

Kitu nilichojifunza kutoka kwako, wewe ni mwepesi wakuruka katika ajenda inayofuatia bila kukubali arguments zilizokuwa presented kwenye ajenda ya sasa unaziona ni valid.
Mara moja moja kuwa responsible na kubali kufanya experiments zinazoprove mawazo yako na kudisprove mawazo mengine.
Unajua nini miongoni mwa factors zinazofanya nisiamini nadharia za Dunia Tufe ni ukweli kwamba there's no evidence that Water can stick in a round-ball,... tena acha kuwa round bali unaambiwa inazunguka Kwa Kasi.... Na kumbuka unaambiwa sehemu kubwa ya Dunia ni Maji sasa Je unaweza kueleza ni Kwa namna gani maji yanastick kwenye round-ball inayozunguka?


Maelezo yako kimsingi yapo centered kwenye nadharia na husia,... huwezi kuthibitisha uwepo wa curvature Kwa maneno tu kama haya uliyoleta wewe.
 
Unasema Tu assume Dunia ni flat,..... Flatness ya Dunia sio assumption ndiyo reality ambayo macho yako yanaona siku zote ila fikra zako ndiyo zimekua corrupted kiasi ambacho hutaki kuyaamini macho yako.

Yes ni kweli kadri kitu kinavyozidi kwenda mbali ndiyo kinaonekana kuwa kidogo zaidi(although size yake actually inabaki constant)
Lakini unapaswa ufahamu kwamba Darubini na yenyewe ina ukomo wa kuona so itashindwa kukuonyesha Jua, endapo Jua litafika umbali na point fulani.

Nikija kwenye swali lako,... kinachofanya Jua lionekane kubwa during sunset and sunrise ni "REFRACTION(Bending )OF SUN'S LIGHT" so it's just an Illusion ambapo due to this unequal bending of light from the vertical diameter the image of the sun gets distorted so it appears oval and larger..... Na hii inatokea Tu pale ambapo Jua linakua at the horizon based on observer's line of sight....
😂😂😂😂
Mkuu huko uliko copy haya majibu ni majibu kuhusu kwanini jua linaonekana kubwa wakati sunset kwenye dunia tufe 😂😂😂

Sasa rejea swali kwenye dunia sahani na kumbuka jua lina jizungusha juu ya uso wa dunia sahani
Sasa Kwanini jua linapokwenda mbali na ulipo kwakuwa lipo juu tulitegemea litapotea lakini lina onekana kuzama na kuchomoza namna hii 👇👇
 

Attachments

  • BB22E8FD-0ABA-4198-BBAF-A7A114312BB9.jpeg
    BB22E8FD-0ABA-4198-BBAF-A7A114312BB9.jpeg
    22 KB · Views: 4
Ukichukua kitu 🦠 mfano cheenye ukubwa WA 1x10^-50cm ukakiweka juu ya chungwa la ukubwa WA kipenyo Cha 10cm itakuwa ngumu sana kile kitu kutambua kama kipo kwenye chungwa lenye umbo la duara.

The size of the earth is so large compared to that of human beings and other imaging devices. Thats why you can't tell the shape of the earth while you're in it.

But this could be possible if a human being or an imaging devices could be at least half higher compared to the diameter of the earth.

Most of the ground based telescope 🔭 have failed to prove this truth despite of the higher resolution. This is because of the topographic features of the earth. For example if you want to perform this experience at northern part of TANZANIA let's say in Kilimanjaro, you must be at least higher than the mount kili or your satellite should be placed on top of the mount.

The topographic features of the earth, different weather conditions in different parts of the earth are the only hindrances that make this study tough.

The only way to unlock this puzzle is through Picha za ANGA. the real picture of the earth is the one taken at most 10 times higher than diameter of the earth.
Ebu iyo picha tuone kama unayo!
 
😂😂😂😂
Mkuu huko uliko copy haya majibu ni majibu kuhusu kwanini jua linaonekana kubwa wakati sunset kwenye dunia tufe 😂😂😂

Sasa rejea swali kwenye dunia sahani na kumbuka jua lina jizungusha juu ya uso wa dunia sahani
Sasa Kwanini jua linapokwenda mbali na ulipo kwakuwa lipo juu tulitegemea litapotea lakini lina onekana kuzama na kuchomoza namna hii 👇👇
Nimecopy wapi sasa,.... narudia kujibu swali Kwa lako Kwa kukumbusha kwamba kimsingi Jua halizami wala kuchomoza.... naamini unajua hili.

Kinachotokea ni illusion Tu inayotokana na refraction effect,... na sio kwamba kweli linazama au kuchomoza.

Jua linapokua kwenye point ya kuhama from one side of the earth to the other ndiyo hapo effect ya refraction inapochukua nafasi Kwa kusababisha illusion Kwa anaetazama depending on his/her line of sight.


NB:- Kwenye Dunia Tufe unaambiwa Jua lipo 93 Million miles away toka Duniani,.sasa ulipaswa ujue kabisa kwenye dunia Tufe kusema Jua linazama ndiyo haiingii akilini hasa ukizingatia umbali ambao Jua lipo,..so kimsingi Jua halizami wala kuchomoza Bali linasogea na kuhama Tu mbali na upande fulani wa Dunia.
 
Kesi ya parachute na kurusha object nyingine mfano Jiwe ni tofauti kabisa,...ukirusha Jiwe angani(means kuna force umetumia kurusha jiwe husika) air resistance itaslow down force iliyotumika kurusha hilo jiwe mpaka force husika ifike zero,.Then Jiwe linarudi chini kwa kuwa the applied force no longer exists.
Sasa swali la msingi jiulize,...Je, ukirusha Parachute kuna force yoyote unaitumia kama ilivyo Kwa Jiwe
😀Weweee,
Parachute linarushwa na ndege mpaka level ambayo mtu atatakiwa kuruka kutoka kwenye ndege Ili ashuke na parachute hapo Sasa chukulia ndipo force iliyorusha jiwe ilifika zero na jiwe kuanza kurudi chini, sababu hata parachute linaanzia kwenye zero force kuanza kurudi chini.
Swali kwako Sasa, je tukibeba jiwe na parachuti kwenye ndege kisha tukaviachia Kwa pamoja vianguke vitafika chini Kwa pamoja? Kama havitafika chini Kwa pamoja sababu ni nini?
Nmekaa pale😀😀😀
 
😀Weweee,
Parachute linarushwa na ndege mpaka level ambayo mtu atatakiwa kuruka kutoka kwenye ndege Ili ashuke na parachute hapo Sasa chukulia ndipo force iliyorusha jiwe ilifika zero na jiwe kuanza kurudi chini, sababu hata parachute linaanzia kwenye zero force kuanza kurudi chini.
Swali kwako Sasa, je tukibeba jiwe na parachuti kwenye ndege kisha tukaviachia Kwa pamoja vianguke vitafika chini Kwa pamoja? Kama havitafika chini Kwa pamoja sababu ni nini?
Nmekaa pale😀😀😀
Hoja yako hasa ni nini? Nini mantiki ya swali lako?

Hueleweki instead unajikesha mwanzo na mwisho,....
 
Hoja yako hasa ni nini? Nini mantiki ya swali lako?

Hueleweki instead unajikesha mwanzo na mwisho,....
Wapi hujaelewa shehe nikueleweshe, umesema mifano niliyoweka haifanani haya beba jiwe na parachuti kwenye ndege halafu tuviangushe chini Kwa pamoja, je vitafika chini Kwa pamoja? Na kama vitafika chini Kwa muda tofauti sababu itakuwa nini?
 
Wapi hujaelewa shehe nikueleweshe, umesema mifano niliyoweka haifanani haya beba jiwe na parachuti kwenye ndege halafu tuviangushe chini Kwa pamoja, je vitafika chini Kwa pamoja? Na kama vitafika chini Kwa muda tofauti sababu itakuwa nini?
Hapo density ina play part kubwa,...Jiwe ni more dense than air with reference to parachute so litashuka kwa speed kubwa kuliko parachute.,..

Weight: The parachute is much lighter than the stone. The ratio of weight to cross-sectional area plays a role in falling speed, and a lighter object with a larger area falls slower.

Kwa kuongezea parachute Linachukua volume kubwa ambayo ipo filled with air,...so kitendo cha hewa kuwa nyingi ndani ya parachute ndiyo kinafanya parachute kuwa less dense na ku experience air resistance kubwa compared na Jiwe, so parachute itashuka pole pole wakati huo Jiwe litashuka fasta zaidi.


Naamini hii inatosha.

Ahsante.
 
Nimecopy wapi sasa,.... narudia kujibu swali Kwa lako Kwa kukumbusha kwamba kimsingi Jua halizami wala kuchomoza.... naamini unajua hili.

Kinachotokea ni illusion Tu inayotokana na refraction effect,... na sio kwamba kweli linazama au kuchomoza.

Jua linapokua kwenye point ya kuhama from one side of the earth to the other ndiyo hapo effect ya refraction inapochukua nafasi Kwa kusababisha illusion Kwa anaetazama depending on his/her line of sight.


NB:- Kwenye Dunia Tufe unaambiwa Jua lipo 93 Million miles away toka Duniani,.sasa ulipaswa ujue kabisa kwenye dunia Tufe kusema Jua linazama ndiyo haiingii akilini hasa ukizingatia umbali ambao Jua lipo,..so kimsingi Jua halizami wala kuchomoza Bali linasogea na kuhama Tu mbali na upande fulani wa Dunia.
Mkuu heshima yako
Na ndio maana nilisema tatizo ni akili yako

Kwamba this is just illusions 😂😂
 

Attachments

  • B32E2C25-25F1-4F06-BC55-F39590B1DDAC.jpeg
    B32E2C25-25F1-4F06-BC55-F39590B1DDAC.jpeg
    22 KB · Views: 3
Lete ushahidi wa kipimo ulichotumia kujua kama Dunia inazunguka,...au ikiwa ngumu lete video inayoonyesha Dunia inazunguka Kwa 1670 kilometres per hour.



NB:- Usilete maneno sasa hapa...
Tukileta picha au video unazikataa unasema sio uhalisia, Mbona kigeu geu wewe bro.
 
Unasema Tu assume Dunia ni flat,..... Flatness ya Dunia sio assumption ndiyo reality ambayo macho yako yanaona siku zote ila fikra zako ndiyo zimekua corrupted kiasi ambacho hutaki kuyaamini macho yako.

Yes ni kweli kadri kitu kinavyozidi kwenda mbali ndiyo kinaonekana kuwa kidogo zaidi(although size yake actually inabaki constant)
Lakini unapaswa ufahamu kwamba Darubini na yenyewe ina ukomo wa kuona so itashindwa kukuonyesha Jua, endapo Jua litafika umbali na point fulani.

Nikija kwenye swali lako,... kinachofanya Jua lionekane kubwa during sunset and sunrise ni "REFRACTION(Bending )OF SUN'S LIGHT" so it's just an Illusion ambapo due to this unequal bending of light from the vertical diameter the image of the sun gets distorted so it appears oval and larger..... Na hii inatokea Tu pale ambapo Jua linakua at the horizon based on observer's line of sight....
Mkuu hayo maelezo ya mwishoni ulitumia kifaa gani gani kufahamu hayo ? Umetumia macho na akili yako kama anavyojinadi mara zote ama umegoogle ?
 
😀Weweee,
Parachute linarushwa na ndege mpaka level ambayo mtu atatakiwa kuruka kutoka kwenye ndege Ili ashuke na parachute hapo Sasa chukulia ndipo force iliyorusha jiwe ilifika zero na jiwe kuanza kurudi chini, sababu hata parachute linaanzia kwenye zero force kuanza kurudi chini.
Swali kwako Sasa, je tukibeba jiwe na parachuti kwenye ndege kisha tukaviachia Kwa pamoja vianguke vitafika chini Kwa pamoja? Kama havitafika chini Kwa pamoja sababu ni nini?
Nmekaa pale😀😀😀
Mmmmh na hiki nacho hujui mzee
 
Hapo density ina play part kubwa,...Jiwe ni more dense than air with reference to parachute so litashuka kwa speed kubwa kuliko parachute.,..

Weight: The parachute is much lighter than the stone. The ratio of weight to cross-sectional area plays a role in falling speed, and a lighter object with a larger area falls slower.

Kwa kuongezea parachute Linachukua volume kubwa ambayo ipo filled with air,...so kitendo cha hewa kuwa nyingi ndani ya parachute ndiyo kinafanya parachute kuwa less dense na ku experience air resistance kubwa compared na Jiwe, so parachute itashuka pole pole wakati huo Jiwe litashuka fasta zaidi.


Naamini hii inatosha.

Ahsante.
Kwa hiyo umeelewa somo kwamba kinachofanya parachute lishuke chini taratibu ni air resistance. Kwamba air resistance ipo Kila upande ambao object itaenda still itakutana tu na air resistance.
Safi kijana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom