Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,056
- 752
Changamoto sana huyu jamaa,Huyu jamaa ni mgonjwa, sasa kama mtu anakwambia umletee ushahidi wa route za ndege alafu anakwambia usilete michoro, sasa sijui anataka nilete barabara ya ndege,
Changamoto sana huyu jamaa,Huyu jamaa ni mgonjwa, sasa kama mtu anakwambia umletee ushahidi wa route za ndege alafu anakwambia usilete michoro, sasa sijui anataka nilete barabara ya ndege,
Ndiyo wanazo nyingi Tu,.... tafuta utazipataNikuulize, flat earthers Wana ramani yoyote ya Dunia hii ambayo wamewahi kuichora!??
Changamoto ipo wapi sasa?Changamoto sana huyu jamaa,
Umeleta uthibitisho gani wewe mpaka muda huu ?Changamoto ipo wapi sasa?
Nadhani changamoto inakuja pale mnapoombwa kuleta uthibitisho,...hapo ndiyo shida ilipo.
Mimi najielewa vizuri,...inafaa ujihofie mwenyewe.Hivi we jamaa unajielewa kweli ? unazungumzia video ipi ?
Hiii nliyoituma mwishoni ?
Kuna siku nilikupa methodology ya jinsi tunaweza kupata uthibitisho,...Kwa bahati mbaya ukapinga kwamba hutaki ushahidi huo...sasa unataka nikusaidie vipi?Leta uthibitisho wako kuwa Dunia sio tufe na haizunguki
Unachekesha sana wewe jamaa, Wewe leta uthibitishoKuna siku nilikupa methodology ya jinsi tunaweza kupata uthibitisho,...Kwa bahati mbaya ukapinga kwamba hutaki ushahidi huo...sasa unataka nikusaidie vipi?
Application ya latitude and longitude lines ipoje kwenye ramani zenu?Ndiyo wanazo nyingi Tu,.... tafuta utazipata
Endelea kujifunza zaidi...Kwa kutumia COMPASS tu unaweza kuthibitisha dunia ni duara
Kwa kutumia app ya Google map tu unawezaku navigate kujua umbo la dunia
Kwa kuangalia anga la dunia tu unaweza kubaini umbo la dunia
Utacheka majibu yakeApplication ya latitude and longitude lines ipoje kwenye ramani zenu?
Wewe hutaki kujifunza ? Au umeshahitimisha kuwa tayari unajua kila kitu.Endelea kujifunza zaidi...
Wewe endelea kukariri, Maana ndio jambo pekee unaloliwezaMimi najielewa vizuri,...inafaa ujihofie mwenyewe.
Yes,.nazungumzia video ya mwisho uliyotuma,. Kwanini usitazame kila ambacho unakiona nje kupitia kioo cha Ndege na badala yake una focus na CGI map uliyowekea hapo? Huoni kama una matatizo makubwa?
Wanaosema Dunia ni Tufe linalozunguka ni wapumbavu.Flat earthers wote wapumbavu
Hizo picha hapo umeweka ku prove nini mkuu?
Katika mengi uliyonijibu niishie kukibali hatukubaliani.. na katika hili nikuache na swali..Sawa siielewi basi nipe hiyo elimu kupitia hayo maswali 😀