Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    545
Kwasababu hakuna uthibitisho juu ya uwepo wake kwenye uhalisia,...ilipaswa tuone kweli jinsi gravity inavyoshikilia maji kwenye dunia Tufe.

Lakini pia kama gravity ni force yenye nguvu kubwa ya kuvuta kila kitu towards the center of the earth..... let's say inaweza kumvuta kiumbe mkubwa kama Tembo towards the center of the earth,...then how inashindwa kumzuia kiumbe mdogo kama Tai(Eagle) asifanye flight?

Aiseeee
 
Lab
Refraction haifanyi kitu kipotee,..bali hupelekea kitu kubend na kuonekana ni kikubwa kuliko uhalisia wake.

Umeandika maelezo mengi lakini Mimi naomba nikuulize swali moja Tu mtaalamu,.....
1. Je, Jua lipo stationary as you are trying to claim here?, mpaka umeufananisha na Mlima(at,the same time unaamini Mlima haupo stationary una move pamoja na Dunia,..kisha hapa unasema Mlima upo stationary,Gari ndiyo lina move!


KIVUMBI LEO....
Daah 😂😂, nimesema mlima upo stationary nikichukulia reference earth ground, yaan gari inamove wrt ground while mlima upo stationary wrt earth ground,
 
Kwasababu hakuna uthibitisho juu ya uwepo wake kwenye uhalisia,...ilipaswa tuone kweli jinsi gravity inavyoshikilia maji kwenye dunia Tufe.

Lakini pia kama gravity ni force yenye nguvu kubwa ya kuvuta kila kitu towards the center of the earth..... let's say inaweza kumvuta kiumbe mkubwa kama Tembo towards the center of the earth,...then how inashindwa kumzuia kiumbe mdogo kama Tai(Eagle) asifanye flight?
Uthibitisho Gani unaoutaka? Yaani unataka uzionee hizo force zinazovuta vitu kwenye Dunia serious?

Sasa ndugu hujui ni mechanism Gani inafanya ndege mnyama aweze kuruka angani? Aya huyo eagle asipo tanua mbawa zake na kuzipeperusha je ataendelea kukaa angani?
Ni uelewa mdogo tu unahitajika kuelewa kuwa eagle au ndege yeyote hutanua mbawa zao na kupushi air downward or backward Ili waweze kumove upward and foward. Nadhani nimekujibu.

Je wewe unadhani ni kitu gani kinafanya vitu fall back to ground kama sio gravity.
 
Kwasababu hakuna uthibitisho juu ya uwepo wake kwenye uhalisia,...ilipaswa tuone kweli jinsi gravity inavyoshikilia maji kwenye dunia Tufe.

Lakini pia kama gravity ni force yenye nguvu kubwa ya kuvuta kila kitu towards the center of the earth..... let's say inaweza kumvuta kiumbe mkubwa kama Tembo towards the center of the earth,...then how inashindwa kumzuia kiumbe mdogo kama Tai(Eagle) asifanye flight?
Alafu Ili tusisumbuane sana, unatakiwa ujibu hoja zifuatazo bila kurukaruka Kwa sababu hoja za Dunia ni tufe zipo straight. ukishajibu then tutaendelea kuhusu Dunia tufe.

1. Kama sio gravity ni nini?
2. How eclipses occurs including lunar phases?
3. Unaamini ramani za mabara zilizopo?
4. How sun set/rise occur, nakuruhusu kuelezea upupu wako wa refraction.
 
Uthibitisho Gani unaoutaka? Yaani unataka uzionee hizo force zinazovuta vitu kwenye Dunia serious?

Sasa ndugu hujui ni mechanism Gani inafanya ndege mnyama aweze kuruka angani? Aya huyo eagle asipo tanua mbawa zake na kuzipeperusha je ataendelea kukaa angani?
Ni uelewa mdogo tu unahitajika kuelewa kuwa eagle au ndege yeyote hutanua mbawa zao na kupushi air downward or backward Ili waweze kumove upward and foward. Nadhani nimekujibu.

Je wewe unadhani ni kitu gani kinafanya vitu fall back to ground kama sio gravity.
Gravity ni hoax kijana,
 
NASA wanajua Dunia ni flat ila ndo hivyo wanafanya kazi kwa maslahi ya Satan kuendekea kuwadanganya dunia ni 🌎.

Van braun baada ya kufa aliamua kuwambia ukweli wa hii Dunia, ila kwakua akili zetu zimefungwa hatung’amui.
 
NASA wanajua Dunia ni flat ila ndo hivyo wanafanya kazi kwa maslahi ya Satan kuendekea kuwadanganya dunia ni .

Van braun baada ya kufa aliamua kuwambia ukweli wa hii Dunia, ila kwakua akili zetu zimefungwa hatung’amui.
Wanadanganya kwa sababu zipi ?
 
Lab

Daah 😂😂, nimesema mlima upo stationary nikichukulia reference earth ground, yaan gari inamove wrt ground while mlima upo stationary wrt earth ground,
Tuanzie hapa,..kuna swali la msingi sana nimekuuliza lakini umekwepa kulijibu....nitakurudishia hapa👇🏼

1. Je, Jua lipo stationary as you are trying to claim here?

Na,. hivi unaona unavyojichanganya?....

kwanini unachukulia Earth Ground ni stationary,...wakati Kwa imani yako Dunia na Ground yake zina move? Logically haiingii akilini!

Na,.Kwa kuwa umesema hakuna kukimbia maswali....naomba pia usiruke swali hata moja ukikosea sema na ukiwa hujui pia sema.
 
Uthibitisho Gani unaoutaka? Yaani unataka uzionee hizo force zinazovuta vitu kwenye Dunia serious?
Sio kuona force zinavyovuta vitu,..ila tunataka atleast evidence moja tu ambayo itaonyesha jinsi gravity inavyoweza kushikilia maji kwenye dunia Tufe.....Najua unajiuliza itawezekanaje ushahidi wa aina hiyo?......
Jibu ni kwamba,...lete video ambayo ni real kabisa ya Dunia Tufe 🌍 linalozunguka....ambayo video hiyo imekua captured downward ikionyesha movement ya maji kwenye dunia Tufe na namna yanavyokua held-up na gravity.... Nadhani hili ni ombi rahisi.

Sasa ndugu hujui ni mechanism Gani inafanya ndege mnyama aweze kuruka angani? Aya huyo eagle asipo tanua mbawa zake na kuzipeperusha je ataendelea kukaa angani?
Ni uelewa mdogo tu unahitajika kuelewa kuwa eagle au ndege yeyote hutanua mbawa zao na kupushi air downward or backward Ili waweze kumove upward and foward. Nadhani nimekujibu.

Je wewe unadhani ni kitu gani kinafanya vitu fall back to ground kama sio gravity.
Sasa ndiyo ufahamu kwamba kinachofanya huwezi kuruka juu ni kukosa mechanism ya kupaa tu, mechanism ambayo Ndege na Wadudu wengine wadogo wamepewa.,na sio kwamba gravity imekuzuia/kukuvuta.
 
Tuanzie hapa,..kuna swali la msingi sana nimekuuliza lakini umekwepa kulijibu....nitakurudishia hapa👇🏼

1. Je, Jua lipo stationary as you are trying to claim here?

Na,. hivi unaona unavyojichanganya?....

kwanini unachukulia Earth Ground ni stationary,...wakati Kwa imani yako Dunia na Ground yake zina move? Logically haiingii akilini!

Na,.Kwa kuwa umesema hakuna kukimbia maswali....naomba pia usiruke swali hata moja ukikosea sema na ukiwa hujui pia sema.
Jua lipo stationary bila shaka kabisa,

Hivi unaelewa neno "reference" Au "with respect to" Kama nilivyoyatumia?
Take an example, upo kwenye gari linamove na kunagari lingne linamove pembeni mwa gari ulilopo Kwa speed sawa na uelekeo sawa, ukiangalia Hilo gari je, utaliona linamove ukilinganisha na kama ingekuwa gari lenu limesimama?
 
Tuanzie hapa,..kuna swali la msingi sana nimekuuliza lakini umekwepa kulijibu....nitakurudishia hapa👇🏼

1. Je, Jua lipo stationary as you are trying to claim here?

Na,. hivi unaona unavyojichanganya?....

kwanini unachukulia Earth Ground ni stationary,...wakati Kwa imani yako Dunia na Ground yake zina move? Logically haiingii akilini!

Na,.Kwa kuwa umesema hakuna kukimbia maswali....naomba pia usiruke swali hata moja ukikosea sema na ukiwa hujui pia sema.

Alafu Ili tusisumbuane sana, unatakiwa ujibu hoja zifuatazo bila kurukaruka Kwa sababu hoja za Dunia ni tufe zipo straight. ukishajibu then tutaendelea kuhusu Dunia tufe.

1. Kama sio gravity ni nini?
2. How eclipses occurs including lunar phases?
3. Unaamini ramani za mabara zilizopo?
4. How sun set/rise occur, nakuruhusu kuelezea upupu wako wa refraction.
hateeb10 naww usiruke maswali ndo kitu huwezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom