Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,420
- 2,880
Tulishazungumza huko nyuma wewe umefanya dandia treni kwa mbeleNgoja nikusaidie,...ili swali lako liwe na mantiki unatakiwa ufafanue:-
1. Nzi haachwi na Gari akiwa ndani ya Gari lilofungwa kila kitu.
2. Nzi haachwi na Gari akiwa ndani ya Gari ambayo ipo open juu/pembeni n.k
3. Nzi haachwi na Gari akiwa nje ya Gari.
Hapo atleast Inakua simple Kwa Mtu kukujibu kulingana na swali lako.