Mbona huyu mwenzako anafanya Forever Living na anamiliki hili lindinga teh teh tehKwani kabla mange hajasema ulikuwa hujui?we mtu anakuambia leta milioni 4halafu unavuna milioni mia kadhaa unakubali kutoa hela hujiulizi yeye atakuwa anafanya nini chenye faida kubwa hivyo?mi forever na GNLD walinifanya walinila 2m wakwende hukoo nilishtuka mapema nikakaa pembeni.wote niliowaacha wamepauka kama vipande vya mihogo khaa.hamna cha utajiri wala.nini.
Rafiki doctor mwaka anakusalimia!.....ameniambia nikuambie kuwa anakupenda na anakutaka!Sawa dear kuhusu hata forex sijichoshi dear
Mimi hayo niliyakataa kabisaSema watu wengi wamelizwa ila watapiga kimya na ukiona wanaong'ang'ania ni kuwa wameshatoa hela hawataki kusikia ukweli.
hunijui wewe na nani?Mbona hatukujui,lakin mange mpaka kwenye vyombo vya habari kajaa
View attachment 696264 kaorodhesha hapo kama upo instagram nadhan utakuwa umeona makampuni aliyotaja na forex ikiwemo,ukiona mtu anajitangaza sana na kukuita kwenye fursa jua fursa ni mwenyewe unaeitwa,ukiona unaitwa sehemu kuna fursa halaf kuna kiingilio unatakiwa ulipe kimbiiiiiaaaaaa kwanini kama kuna utajiri wasitajirishe ukoo wao kwanza (maneno kuntu haya)
Hana shidaa kapendezaaaMange wenu mnaemuamini huyo hapo juu
who is mange.Who is mange?
AnawapelekeshaDa Mange tayari kasema
Huo mkenge ungenikuta km Mungu tuHahahahaah pole sana
Who is mange?
Huyo kaka Kwa raha ushamba wa k Hajambo kabisa, Hajawah kuzoea k, itakuwa ana undugu na Shekhe titoNyani Ngabu aliona dogo Ontario anamzidi umaarufu na shobo kwa totoz humu akaamua ampe dogo na kampuni yake hili jina The Matapeli Team TMT
Hahahahaha kaka gani huyo? Nyani auHuyo kaka Kwa raha ushamba wa k Hajambo kabisa, Hajawah kuzoea k, itakuwa ana undugu na Shekhe tito
Mange akikwambiwa firw......utandandiwa....ww ji.nga kabisa.%70 anavyopost mange ni ukweli mtupu ila kwasababu akili zako kuna mtu kazishikilia hapo ulipo ni kopo tupu.