Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,042
- 180
Unarukia mada bila hata kutafakari nini konaweza kukuta kisheria, hivi huoni kwamba mtoa mada amekitukana chama kwa kutoa maneno ya kichochezi? hata chama kikiwa hovyo vipi hakiwezi kikawa na sharti kama hilo.
Mkuu hilo ndio sharti lenu.. sasa kwanini hupendi tafsiri yake??? Mbu=Mnyonyaji!!!!