Sirari: Wananchi wakusanyika kituo cha Polisi baada ya Polisi kudaiwa kumuua mdogo wake John Heche, Suguta Chacha

Haya ndio matukiio AMBAYO CHADEMA MTAANZA KUTENGENEZA KAMA PLAN C ya kupambana na SERIKALI baada ya maandamano kushindikana kwa mara ya pili....
Huyu mleta habari anajaribu kutengeneza STORI kuwa kubwa kumhusisha HECHE kwenye hili.....ETI MDOGO WAKE HECHE...kwa hiyo akiwa mdogo wake ndio inakuwaaaje???
KAMA KAINGIA KWENYE KUMI NA 18 za polisi kijinga kijinga acha APATE HAKI YAKE....
Afu sijui kwanini unapenda kuleta HABARI ZA UPANDE MMOJA TU.....
CHADEMA NYIE HAMTAKI KABSA KUONA NCHI HII IKITAWALIKA NA KUWA NA AMANI
Mungu akubariki sana kwa ufahamu wako. Yaani unaandika ukiwa na furaha juu ya umwagaji damu wa mwanadamu ambaye (bila kujali ni ndugu wa nani) ni mali ya Mungu?
 
Haya ndio matukiio AMBAYO CHADEMA MTAANZA KUTENGENEZA KAMA PLAN C ya kupambana na SERIKALI baada ya maandamano kushindikana kwa mara ya pili....
Huyu mleta habari anajaribu kutengeneza STORI kuwa kubwa kumhusisha HECHE kwenye hili.....ETI MDOGO WAKE HECHE...kwa hiyo akiwa mdogo wake ndio inakuwaaaje???
KAMA KAINGIA KWENYE KUMI NA 18 za polisi kijinga kijinga acha APATE HAKI YAKE....
Afu sijui kwanini unapenda kuleta HABARI ZA UPANDE MMOJA TU.....
CHADEMA NYIE HAMTAKI KABSA KUONA NCHI HII IKITAWALIKA NA KUWA NA AMANI
Ila mkuu hebu kuwa muungwana ifike kipindi roho ya binadamu mwanzako inapotolewa na mtu anayeaminika kuwa ndio wa usalama anaitoa tena,unajisikiaje?Hv mpaka wamuue baba yako ndio utakubali kuwa vitendo hivyo si tulivyovizoea?Acha upumbavu wa kusifia kila kitu mwehu ww,Eti akiwa mdogo wake Heche ndo iweje!!!!how comes unaweza kuongea upumbavu km huo???Suala sio kumuua mdogo wake Heche Bali kumuua mtanzania ambaye yupo chini ya ulinzi wao ni kitendo cha kulaaniwa iwe kwa mwana CCM,NCCR CHADEMA AU CHAMA KINGINE CHOCHOTE.Hii ni Tanzania na mambo hayo hatujayazoea.
 
Haya ndio matukiio AMBAYO CHADEMA MTAANZA KUTENGENEZA KAMA PLAN C ya kupambana na SERIKALI baada ya maandamano kushindikana kwa mara ya pili....
Huyu mleta habari anajaribu kutengeneza STORI kuwa kubwa kumhusisha HECHE kwenye hili.....ETI MDOGO WAKE HECHE...kwa hiyo akiwa mdogo wake ndio inakuwaaaje???
KAMA KAINGIA KWENYE KUMI NA 18 za polisi kijinga kijinga acha APATE HAKI YAKE....
Afu sijui kwanini unapenda kuleta HABARI ZA UPANDE MMOJA TU.....
CHADEMA NYIE HAMTAKI KABSA KUONA NCHI HII IKITAWALIKA NA KUWA NA AMANI
ifike sehemu uache umkunduchi wapi pameandikwa polisi ana haki ya kuua ukiwa kwwnye 18 yao

unasema cdm wametengeneza tukio je kauwawa ama laah acha upuuzi
 
Haya ndio matukiio AMBAYO CHADEMA MTAANZA KUTENGENEZA KAMA PLAN C ya kupambana na SERIKALI baada ya maandamano kushindikana kwa mara ya pili....
Huyu mleta habari anajaribu kutengeneza STORI kuwa kubwa kumhusisha HECHE kwenye hili.....ETI MDOGO WAKE HECHE...kwa hiyo akiwa mdogo wake ndio inakuwaaaje???
KAMA KAINGIA KWENYE KUMI NA 18 za polisi kijinga kijinga acha APATE HAKI YAKE....
Afu sijui kwanini unapenda kuleta HABARI ZA UPANDE MMOJA TU.....
CHADEMA NYIE HAMTAKI KABSA KUONA NCHI HII IKITAWALIKA NA KUWA NA AMANI
Unaongelea amani wakati unafurahia polisi kuua raia???

Sasa hapo nani hapendi kuona nchi ikiwa na amani kati yako wewe na hao CHADEMA?
 
Haya ndio matukiio AMBAYO CHADEMA MTAANZA KUTENGENEZA KAMA PLAN C ya kupambana na SERIKALI baada ya maandamano kushindikana kwa mara ya pili....
Huyu mleta habari anajaribu kutengeneza STORI kuwa kubwa kumhusisha HECHE kwenye hili.....ETI MDOGO WAKE HECHE...kwa hiyo akiwa mdogo wake ndio inakuwaaaje???
KAMA KAINGIA KWENYE KUMI NA 18 za polisi kijinga kijinga acha APATE HAKI YAKE....
Afu sijui kwanini unapenda kuleta HABARI ZA UPANDE MMOJA TU.....
CHADEMA NYIE HAMTAKI KABSA KUONA NCHI HII IKITAWALIKA NA KUWA NA AMANI
Yaani mtu atengeneze kifo cha mdogo wake. Muwe mnajiongeza bwana. Mxiiiiuuu
 
Polisi wanajitafuta matatizo yasiokua na nyuma wala mbele. Kiufupi inaonesha uko polisi wamejazana mazezeta, hauwezi kufanya ujinga kama huo usiokua na manufaa kwenye taifa.
 
Back
Top Bottom