jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Great Thinkers,
Kuna hawa ndugu wanakwenda kwa majina ya Sir Ken Robinson, na Salman Khan ambao binafsi nawachukulia kama Great Thinkers.Hizi videos zao wanazungumzia issues za education revolution,pamoja na Multiple intelligence;
YouTube - Ken Robinson - multiple intelligences
Pia kuna nyingine ambazo anazungumzia kuhusu how to revolutionize education inayokwenda kwa "Bring on the learning revolution"
YouTube - Sir Ken Robinson: Bring on the learning revolution!
Pia wenzetu wanakoelekea kuhusiana na mapinduzi ya kielimu,sijui tutakuwa tunaburuzwa ama viongozi wetu wanafuatilia haya?huyu bwana anaitiwa Salman Khan akipresent model yake,anapata sapoti toka kwa kina Gates etc;
TED Blog | Let's use video to reinvent education: Salman Khan on TED.com
Modes ipelekeni popote mnapoona inafaa,ila ni food for thought kwa great thinkers wa JF,pamoja na wadau wa elimu nchini ikiwemo viongozi,pia mnaweza kutembelea www.ted.com Wanadai ni ideas worth spreading!And i thought who else should i share with than wana JF.
Enjoy.
Kuna hawa ndugu wanakwenda kwa majina ya Sir Ken Robinson, na Salman Khan ambao binafsi nawachukulia kama Great Thinkers.Hizi videos zao wanazungumzia issues za education revolution,pamoja na Multiple intelligence;
YouTube - Ken Robinson - multiple intelligences
Pia kuna nyingine ambazo anazungumzia kuhusu how to revolutionize education inayokwenda kwa "Bring on the learning revolution"
YouTube - Sir Ken Robinson: Bring on the learning revolution!
Pia wenzetu wanakoelekea kuhusiana na mapinduzi ya kielimu,sijui tutakuwa tunaburuzwa ama viongozi wetu wanafuatilia haya?huyu bwana anaitiwa Salman Khan akipresent model yake,anapata sapoti toka kwa kina Gates etc;
TED Blog | Let's use video to reinvent education: Salman Khan on TED.com
Modes ipelekeni popote mnapoona inafaa,ila ni food for thought kwa great thinkers wa JF,pamoja na wadau wa elimu nchini ikiwemo viongozi,pia mnaweza kutembelea www.ted.com Wanadai ni ideas worth spreading!And i thought who else should i share with than wana JF.
Enjoy.