Sipendi wanawake,labda ndo mafanikio yangu.

Sipendi wanawake,labda ndo mafanikio yangu.

Kwa hiyo hizo hela na Mali unazifanyia nini kwa mfano? Maana kwa tabia hiyo naona hata ndugu au watu wenye uhitaji huwasaidii.

Sikiliza, tunatafuta pesa ili tukidhi mahitaji yetu na ya watu wanao tuzunguka. Sasa kama una mpenzi na unampenda, akiwa na shida ambayo iko ndani ya uwezo wako kwa nini usimsaidie?

By the way unapotoa hela kwa nia njema kusaidia wengine ndo mungu anakubariki zaidi
 
Wakuuu habari,

Tunaelekea kumaliza mwaka na tumebakiza masaa machache sana,

Mafanikio yangu kwa kiasi kikubwa nadhani inatokana na kutopenda wanawake na kutoonga ela kwa hawa viumbe,Ila ukinionga mimi freshi tu,

Ela yangu inaniuma sana ninapotoa kumpa mtu mara mia nitampa mwanaume mwezangu kuliko kuhonga mwanamke

Babu yangu aliniambia mwanangu ukitaka kufanikiwa kaa mbali na wanawake wapenda ela na usiwe mtu wa kunywa pombe maana wanawake na sterehe ni vitu viwili vinavyoweza kukufanya ukawa maskini,

Japo uzi mwanamke nitakuwa naye Ila akiniomba ela nitamwambia sina hata kama nitakuwa na ela nitamwambia sina,

Na kweli mafanikio nimeona kwa kuwa nipo mbali na starehe zisizo kuwa na ulazima,

Kwa wanaotaka kufanikiwa 2019 kaa mbali na kiumbe mwanamke,hao wapenda ela

Oa mwanamke weka ndani mpe kila kitu Ila usigawe ela nje ya ndoa.

2019 nitaendelea kuwa mchumi kweli kweli maana mimi hata shilingi hamsini nitakudai na huwa sina tabia ya kudharau hata hiyo hamsini

Kikubwa ukitaka kufanikiwa penda kile unachofanya na kinakuingizia ela,


2019 natengemea kujenga sheli kila wilaya na hii ndoto lazima nifanikishe

Heri ya mwaka mpaya wana jf wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo penye nyekundu umeongea ukweli mtupu
 
Wakuuu habari,

Tunaelekea kumaliza mwaka na tumebakiza masaa machache sana,

Mafanikio yangu kwa kiasi kikubwa nadhani inatokana na kutopenda wanawake na kutoonga ela kwa hawa viumbe,Ila ukinionga mimi freshi tu,

Ela yangu inaniuma sana ninapotoa kumpa mtu mara mia nitampa mwanaume mwezangu kuliko kuhonga mwanamke

Babu yangu aliniambia mwanangu ukitaka kufanikiwa kaa mbali na wanawake wapenda ela na usiwe mtu wa kunywa pombe maana wanawake na sterehe ni vitu viwili vinavyoweza kukufanya ukawa maskini,

Japo uzi mwanamke nitakuwa naye Ila akiniomba ela nitamwambia sina hata kama nitakuwa na ela nitamwambia sina,

Na kweli mafanikio nimeona kwa kuwa nipo mbali na starehe zisizo kuwa na ulazima,

Kwa wanaotaka kufanikiwa 2019 kaa mbali na kiumbe mwanamke,hao wapenda ela

Oa mwanamke weka ndani mpe kila kitu Ila usigawe ela nje ya ndoa.

2019 nitaendelea kuwa mchumi kweli kweli maana mimi hata shilingi hamsini nitakudai na huwa sina tabia ya kudharau hata hiyo hamsini

Kikubwa ukitaka kufanikiwa penda kile unachofanya na kinakuingizia ela,

2019 natengemea kujenga sheli kila wilaya na hii ndoto lazima nifanikishe

Heri ya mwaka mpaya wana jf wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema unatak kujenga nini kila wilaya mkuu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumpa hela mwanamke wako inawezekana kuwa kitu Cha kawaida ila kutoa hela hovyo kwa wanawake tofauti tofauti ni udhaifu

Mi nadhani mwanaume inabidi ujue mwanamke gani wa Kula hela zako japo kwa kiasi na mwanamke gani ambaye hatakiwi Kula hata sh.kumi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom