Kumbe bado msichana weye..? Basi ungebadilisha kichwa cha uzi wako na kusema "Hupendi Wavulana" manaake Wanaume hawana tabia ya kupenda wasichana.
Wasichana mnapenda sana wavulana, wanaovalia suruale chini ya makalio, wanao shindana na dada zao kujiremba, wavulana wanajitahidi sana kubana sauti na zaidi wavulana wanapenda hit& run.