Sipendi wanaume msiooga

...nanyie!
mnawapata wapi hao wanaume wanaotaka kubembelezwa kama watoto?
Acheni kuwadekeza, nyie sio mama zao!

sasa mkijiwa kijeshi si ndo mambo yale ya kutafuta nyumba ndogo zenye kubembeleza?...hivi wanaume mbona ham'bebeki?....mkojeeeee
 
Badilisha title ya thread isomeeke hivi. "sipendi tabia ya mume wangu ya kutokuoga inanikera"


Nguli mbona umekuwa mkali sana..inaelekea hata wewe huwa huogi.Jibu lako limenifurahisha sana.
 
mzoweshe tu kidogo kidogo............jaribu kufanya kama wewe ndo unahtaji kampani ya kuoga akupeleke..............mwisho atazowea itakuwa hulka yake πŸ™‚
 
Mi pia nimejiuliza hivyo...

Annina

kama hajui kukea ndio matatizo hayo mpaka unaamua kuleta mambo yako binafsi hapa jamvini..............tunachojua wanaume kuoga sio ishu ya kuuliza isipokuwa kama unabahati mbaya ya kukutana na wanaume wachafu basi kataa na pesa zao pia lakini waambie ''mtu ni afya na kuoga ni afya''
 
sasa mkijiwa kijeshi si ndo mambo yale ya kutafuta nyumba ndogo zenye kubembeleza?...hivi wanaume mbona ham'bebeki?....mkojeeeee


Ulishajaribu kumbeba mwanaume wa ukweli au unazungumza kwa data zipi binamu? lol
 
Mwanaume kikwapa bwana!.....:d
 

Kama mtu hataki kuoga basi nenda kalale sebuleni!!
 
mzoweshe tu kidogo kidogo............jaribu kufanya kama wewe ndo unahtaji kampani ya kuoga akupeleke..............mwisho atazowea itakuwa hulka yake πŸ™‚

NIbebeee nibebeeeπŸ™‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…