DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,434
Habari wanaJF, niende moja kwa moja kwenye mada.
Tangu nimejitambua mpaka sasa miaka naikimbiza 30+ sijawahi penda pisi kali kabisa na kuna wanawake kadhaa ambao walinipenda na niliishia kuchapa na kuwaacha tu.
Pisi ya kwanza
...Hii ilikuwa kali sana, kipindi nasoma kidato cha kwanza, kila mtu alitamani kua nayo lakini iliwachomoa wote na kuja kwangu, mimi nikapiga nikaiacha
Pisi ya pili
Hii ilikuwa inakuja na rafiki yake ambaye alikua ni mpenzi wangu ikaniletea mazoea nikapiga nikaiacha
Pisi ya tatu
Hii ndo ilikuwa hatari sana masuala ya viwanja night club na pombe kwa sana, tulikutana club na siku zote ilikua ikijitahidi kuleta mazoea na mimi lakini nilikua naitolea nje....siku hio ilikunywa pombe za watu na lengo ilikua ni kukimbia..nilifanikiwa kuitorosha nikapiga asubuhi nikaitimua geto na kukata mazoea papo hapo.
Pisi ya nne
Hii ilikuwa kali sana tena ya kishua, siku hio nakatiza mitaa ya kwao nikashangaa naitwa, na mtoto ndani ya fensi.. nikaingia almanusura baba yake atukute nikaruka fensi nikakimbia toka hapo hatukuwahi hata kuongea.
Pisi ya tano
Hii ilikuwa bikira na sikuamini pisi kali namna ile ingeweza fika chuo ikiwa bikira, nakumbuka huyo ndie mwanamke wa kwanza kwa mimi kunyonya papuchi.
Hayo ni matukio machache kati yangu na pisi kali...nb sijaoa na sitaraji kuoa pisi kali.
Tangu nimejitambua mpaka sasa miaka naikimbiza 30+ sijawahi penda pisi kali kabisa na kuna wanawake kadhaa ambao walinipenda na niliishia kuchapa na kuwaacha tu.
Pisi ya kwanza
...Hii ilikuwa kali sana, kipindi nasoma kidato cha kwanza, kila mtu alitamani kua nayo lakini iliwachomoa wote na kuja kwangu, mimi nikapiga nikaiacha
Pisi ya pili
Hii ilikuwa inakuja na rafiki yake ambaye alikua ni mpenzi wangu ikaniletea mazoea nikapiga nikaiacha
Pisi ya tatu
Hii ndo ilikuwa hatari sana masuala ya viwanja night club na pombe kwa sana, tulikutana club na siku zote ilikua ikijitahidi kuleta mazoea na mimi lakini nilikua naitolea nje....siku hio ilikunywa pombe za watu na lengo ilikua ni kukimbia..nilifanikiwa kuitorosha nikapiga asubuhi nikaitimua geto na kukata mazoea papo hapo.
Pisi ya nne
Hii ilikuwa kali sana tena ya kishua, siku hio nakatiza mitaa ya kwao nikashangaa naitwa, na mtoto ndani ya fensi.. nikaingia almanusura baba yake atukute nikaruka fensi nikakimbia toka hapo hatukuwahi hata kuongea.
Pisi ya tano
Hii ilikuwa bikira na sikuamini pisi kali namna ile ingeweza fika chuo ikiwa bikira, nakumbuka huyo ndie mwanamke wa kwanza kwa mimi kunyonya papuchi.
Hayo ni matukio machache kati yangu na pisi kali...nb sijaoa na sitaraji kuoa pisi kali.