Sipendi niliowaajiri waendelee, yaani wafanikiwe na ku-move on. Napenda wabaki wanyonge hivyo hivyo

Usiwe mvivu, pitia HR courses hata kwa kujisomea mwenyewe, utaelewa namna ya kumanage human resource.

Vinginevyo utakuwa unahangaika tuu, na biashara ndogo tu ya stationery itakuzeesha, mana utaona inakupa headache.

Zaidi ya yote, kila mtu amepewa uwezo wa kumanage kiasi flan cha pesa. Ukute chako ndo kinaishia hapo hapo kwenye mangi shop.
 
Binadamu amezaliwa na evilness yaani tangu yumo tumboni mwa mama yake

Nilikuwa nalaumu sana kwanini wafanyabiashara wakubwa wanakuwa makauzu sana au wana roho fulani hivi. well..hii tabia hujengwa kutokana na dissapointments wanazokutana nazo kutoka kwa watu waliowaajiri, tena sanasana ngozi nyeusi (Washenz sana ngozi nyeus).

Boss huyu kutoka na trend anayopigwa na watu wake. Imani humuisha kabisa na kuwa katili, usimlaumu boss katili ni nyie ndio mmemfanya hvyo..huwezi nielewa unless na wewe umeajiri watu wakufanyie kazi zako.

Ngozi nyeusi unapomweka mahali akili yake yote inakuwa kwenye ni mbinu gani nitumie kumuibia huyu boss. Yaani ni mbinu gani za ki shaitwan zinaweza nifanya nitoke kimaisha hiyo ndio akili ya mswahili na mtu mweusi kwa ujumla.

So ma boss weng tumegundua hilo na imetufanya tumekuwa makatili, yaani huchek na mtoto wa mtu kama kazi ni kazi tu.

Hili linapelekea mpaka tuwe na mawazo ya kutopenda tuliowaajiri wafanikiwe au waendelee kimaisha unless ataendelea kukufanyia kazi.

Kwa hiyo ndugu zangu unapomwajiri mswahili ngozi nyeusi, ishi nae kimachale sana ni wa.shen.zi sana ngozi nyeusi....natamani nitukane ila najua mods watafuta...ila ndo hivyo.

Maisha haya ya duniani ushetani ndo kila kitu ukijifanya mwema sana inakula kwako.
Tutolee ushetwan wako na roho yako mbaya.
 
Maboss washenzi waswahili nyinyi ngozi nyeusi ni washenzi sana pia
 
Mmmmmh

Kama ni tajiri kuchukia maendeleo ya mwajiri wako hii kitalamu tunasema you have misplaced emotions, yaani upo confused juu ya utendaji wa huu ulimwengu.
Kuna mambo unaweza kontrol kuna mambo huwezi ukitambua hilo litasaidia kwa kiasi kuresolve some of conflict you may face.
 
Kama huna management nzuri utaumbuka.

Wekeza kwenye technology(Fingerprint attendance,Systems za accounts na management,CCVT camera,Car track,POS etc,)

Hapo utawaweza.
Yote hayo hata ukiweza haisaidii kitu kwa kiongozi nyeusi. Yani tuko duniani kukera tuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom