witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Eti chatu snakeUtakuwa unatoka wilaya ya CHATU-SNAKE mkoani gyiita , huko hawataki mtu awe tajiri,
Eti chatu snakeUtakuwa unatoka wilaya ya CHATU-SNAKE mkoani gyiita , huko hawataki mtu awe tajiri,
Watanzania au????Kama huna management nzuri utaumbuka.
Wekeza kwenye technology(Fingerprint attendance,Systems za accounts na management,CCVT camera,Car track,POS etc,)
Hapo utawaweza.
😀😀😀! I was kidding..i appreciate you....Hahahah...biashara tu za hapa na pale.na siajir professionals wenye degree...mnasumbua sana nyie
Mkuu unafkir basi masilah ni makubwa kihivyo..tunagawana umaskin tuu..hakuna chochote...sema waswahili si waelewa na ni wezi na wasalitiDunia inabadilika sana. Invest kwenye teknolojia na weka mifumo mizuri ya usimamizi plus kuwalipa vizuri wafanyakazi vinginevyo utashindwa kuendesha biashara ama kuwa katili kama usemavyo.
Tatizo la uaminifu ni kweli lipo ila linachangiwa pia na namna tunavyoendesha hizi shughuli zetu pamoja na malipo tunayotoa. Boresha mifumo, lipa vizuri, kuwa na utu(wajali wafanyakazi) na wafanye wajione ni sehemu ya kampuni/biashara mnayofanya(appreciate them) utapata matokeo mazuri. I speak from research and personal experience.
Umenielewa vyema..ni bora kufanya nao kaz za mikataba..a delive asepeIla watz tuna hulka za uvivu na ubabaishaji.
*Naumwa
*Nampeleka mtoto anaumwa
*dadangu kawekwa sero ntawahi kuondoka
*Naomba salary advance baba amelazwa
*Siji kazini kuna mafuriko
*Week hii sitakuwepo naenda kutoa nyuzi
*Mwezi ujao naenda kuhiji Israel.
*Nitachelewa nimekamatwa na traffic
*Boss nimechelewa suruali ilitatuka wakati nagombania basi
*Naomba gari ya kuzikia marehemu
*Tumbo la mp limenizidia siji
Mwisho wa mwaka tunaomba bonus.
Hahaha...wazee kwa kukaa nyuma ya keyboard...mnajuaga kuongea nyie.hahahha....
Kabisa Ahsante sana....umenena vema.Kiufupi acha mazoea na staff + bosses utaenjoy life
Hiyo sio point yangu.... point yangu ni kwamba utajiri unaendana na unyama na kutojari kuhusu hali za watu wengine.Kwahyo wao watuibie ila sis tukae tuu..hahahha..