Sipendi neti,sipendi mbu!Repellant ndio kabisaaa.

Sipendi neti,sipendi mbu!Repellant ndio kabisaaa.

Brainy Chick

Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
64
Reaction score
21
Jamani sipendi mbu lakini net nayo inanikwaza tu.Ile dawa ya kupaka inanipa mafua na nasikia ina effect.Sijui ni mimi tu au kuna wanachama wengine.
 
Hiyo peke yako

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hahahahaha,acha mambo yako mkuu.

umenikumbusha wakati bado niko mdogo,tulienda likizo na ding kwenda kumsalimia bibi,tulimpelekea chandarua,sasa tulipomfungia akaanza kudai kuwa haka kanyumba mi nikilalamo sipumui,akawa analala ndani ya chandarua huku kichwa kiko nje ya chandarua mbu wanajigongea tu,mi sina mbavu
 
umenikumbusha wakati bado niko mdogo,tulienda likizo na ding kwenda kumsalimia bibi,tulimpelekea chandarua,sasa tulipomfungia akaanza kudai kuwa haka kanyumba mi nikilalamo sipumui,akawa analala ndani ya chandarua huku kichwa kiko nje ya chandarua mbu wanajigongea tu,mi sina mbavu

Hahahahahahah,umeniua!!
 
Back
Top Bottom