AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,649
- 4,756
Yaani mtu anakuja ana niambia waiteni wazazi pande zote mbili...msuluhishwe na mkeo...
Kwanini kila ugomvi muite wazazi...yaani sipendi ushauri wa aina hiyo...
Kama mimi mwandani wake nayezijua vema tabia zake za siri na dhahiri ameshindwa kunisikiliza na kunitii ndio itakuwa hao wazazi wake...
Sipendi kukuza mambo...nitakaa na halmashauri ya kichwa changu na nitafanya maamuzi sahihi maslahi mapana ya chama cha mapinduzi...
Kwanini kila ugomvi muite wazazi...yaani sipendi ushauri wa aina hiyo...
Kama mimi mwandani wake nayezijua vema tabia zake za siri na dhahiri ameshindwa kunisikiliza na kunitii ndio itakuwa hao wazazi wake...
Sipendi kukuza mambo...nitakaa na halmashauri ya kichwa changu na nitafanya maamuzi sahihi maslahi mapana ya chama cha mapinduzi...