Hizi habari peleka koromije ndio wataamini.
Usiwaze sana wanaokataaga, waza wanaobambikia. Mimba moja inalelewa na wanaume wanne. Ukikataa tuu "USTAWI WA JAMII"
Kwanini wawe wachaga wasiwe KBL jinginehahahahahhaahah wasikilete bhana Tanzania wachaga watakichakachua
Mkuu umenitisha nikajua mama klaree ameshafanya yake na wewe.Akina mama ndio wanaojua mimba na mtoto baba ake... Huyu au yule au mimba ya Abbasfarudume au ya Daby, wacha kije kama ni kweli tusha chakachuliwa sana, kama huku kwetu Ukonga nina jirani yangu ana watoto wawili yeye baba mweusi tiii watoto weupe wana nywele za kishombe shombe hata sura afanani nao na mkewe mweusi fiiii..!
JJ ndio ile timu yetu nini maana unawasiwasi na hicho kipimo. Kije na kile ukichepuka kinataja kabisa na raundi ulizoendamimi akhu sikitaki bhana nasema tena kisije huku kwetu
Rombo si ulisikia wakiomba msaada madume yamedumazwa na viroba na gongo. Obvious watakuwa wanalea watoto wa wasaidizi.![]()
![]()
![]()
![]()
Hebu fafanua! Watakichakachua kwakuwa wao wengi wanalea watoto wasio wao au?
Wamerithi kwa bibi hao hilo lisikuogopeshe sana.Akina mama ndio wanaojua mimba na mtoto baba ake... Huyu au yule au mimba ya Abbasfarudume au ya Daby, wacha kije kama ni kweli tusha chakachuliwa sana, kama huku kwetu Ukonga nina jirani yangu ana watoto wawili yeye baba mweusi tiii watoto weupe wana nywele za kishombe shombe hata sura afanani nao na mkewe mweusi fiiii..!
Rombo si ulisikia wakiomba msaada madume yamedumazwa na viroba na gongo. Obvious watakuwa wanalea watoto wa wasaidizi.

Ila nasikia kidogo baba thao wanaafadhali![]()
![]()
![]()
![]()
Nasikia sio rombo tu, ni ule ukanda wote!!
![]()
![]()
![]()
Hao nasikia wako vizuri kidogo, ila majirani zao hali teteIla nasikia kidogo baba thao wanaafadhali

JJ ndio ile timu yetu nini maana unawasiwasi na hicho kipimo. Kije na kile ukichepuka kinataja kabisa na raundi ulizoenda
hakuna kitu kama hicho. Mm sijasema niko timu gani bali nimesema NO kuja huku