Kwanini isiwezekane Mkuu? DNA, Finger Print, na Dusheprint.Huo ni uongo uliopindukia..haiwezekani kuwa hivo kamwe
Mkuu, inawezekana kama specimen za mfumo (biometric system) wa utambuzi unajumuisha DNA za wananchi. Kwa maana kwamba kila mtu DNA yake imeingizwa kwenye kanzidata.Huo ni uongo uliopindukia..haiwezekani kuwa hivo kamwe
mimi nipite tu aisee kama ni kunipestia maneno hayo,.Siunajua navyokupenda lkn..
Sitaki upitwe.
kabisaaaa wasitunyime raha zetu bhana duuuhna mm sitaki hata kukiona kiishie huko huko kwa wazungu
Itabidi ipite kura ya kutokuwa imani na wewe halafu iwe ya siri walaimimi nipite tu aisee kama ni kunipestia maneno hayo,.
teh teh
kura itakuwa ya wangapi? walah sidhan kama best atakubali maana duuuh acha ninyamaze siri za ndani hizi zinataka kunitokaItabidi ipite kura ya kutokuwa imani na wewe halafu iwe ya siri walai
Hahaha.... Ninja itabidi akubaliane na mimi maana sio kwa kukataa teknolojia ya kisasa namna hiyo shem.kura itakuwa ya wangapi? walah sidhan kama best atakubali maana duuuh acha ninyamaze siri za ndani hizi zinataka kunitoka
hawezi nakwambia, mimi najua hawezi kukusikia kabisa.Hahaha.... Ninja itabidi akubaliane na mimi maana sio kwa kukataa teknolojia ya kisasa namna hiyo shem.
nisaidie tu kwa huyu ba mdogo wakohahahhah
hahahahahhaahah wasikilete bhana Tanzania wachaga watakichakachua