"Sipati mke wa kuoa"Part 1

"Sipati mke wa kuoa"Part 1

mwanaume muoaji sio muoaji tu . ukiona mwanamme yupo 35-45 hajawai kuoa jipeleke kwa kunyata sana maana utaumizwa hadi maini .bora udate mzee aliefiwa na mke wa miaka 60-100
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwanza hawajui kupenda? yaani ni ngumu sana hata ufanye nini kuwin moyo wake .maana huna chochoter cha kumpa ana uwezo wa kupata chochote.kama ni sex anaweza hata kununua, umri huo uchumi nao unakuwa umestabilize hela anayo yaani ni ngumu sana kumuingia mwanaume wa miaka 35-45
Pia huwa hawajui nini wanataka, wana ego za ajabu sana.
 
baebc0d5c89a9c933558d2540dac4fc9.jpg
Vipi tena bff?
 
Siko tayari kulala na mnuka umasikini eti kiss nampenda. Ya kupendana tumuachie Yesu na Muhammad tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom