Odoemma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 828
- 872
Wee muachee tuu aendelee kujipa moyoKabisa asee Odoemma
Wee muachee tuu aendelee kujipa moyoKabisa asee Odoemma
we kaka mbona povu hivyo jamaniWanawake ndio mumewajenga vijana wengi kuwa hivyowalivyo na mawazo hayo, yanakuumiza lakini ndio mavuno ya ubaguzi wenu wa kubagua mwanaume suruale na mwanaume pesa. Huo ni ugonjwa wa akili vijana wengi wanaugua na kirusi kilichosababisha ni ninyi wanawake, kijana hata awena elimu take ya kumtosha, mtanashati, mwenye focus ya maisha ila bado tu hajashika channel mnamuona pimbi.
Ukikutana na mwanamke anaejitapa anajitambua ujue keshapitia mengi kama sio yote ktk mahusiano na sarakasi zake.
Mwingine umuri ukiwa unamuanga basis atajiita anajitambua but too late.
Tena nyamaza kimya nisikusikie tena ukilalamikia swala hilo.
Ni kweli hilo ndio tatizo, na ndio maisha hayo sasaTatizo wasio kuwa na gari na nyumba wanakutana na wanaotaka hivyo vitu.
Wenye gari na nyumba wanakutana na wanawake wanaopenda furaha na gari na nyumba si 'kitu' saana kwao.
Kujitambua ndio jambo LA msingi saana.
ujue tumetofautiana kutokana na mazingira tuliokulia, wengine hayo magari na nyumba ni kawaidaWee muachee tuu aendelee kujipa moyo
Ata kama umekulia na unayalalia amna mtu anayependa maisha ya shida kwa kwelii kwa sasa...ujue tumetofautiana kutokana na mazingira tuliokulia, wengine hayo magari na nyumba ni kawaida
A man should have more to offer than that, we kama gari na nyumba ndio unaona umefika basi kheri dada
Kuna Ubaya?Wewe tu ndio huelewi kwaio ni ngumu nipange upya kwasababu yako tu mkuu
Aiiiseeee!!! Wewe ni mwanamke wa shoka kwanguUnaweza kunipa hivyo vyote ila nisiwe na furaha, pesa ,nyumba na magari si kila kitu
Kaa na jibu lako akinili kwa maswali haya. Tanguwe kaka mbona povu hivyo jamani
Ni kukosa tu kujielewa kwa hao vijana sio kila lawama mzilete upande huu
Mmh mimi bado kigoli sijafika umri wa kupanic
Nipo best..Umekuwa adimu sanahebu acha kunichekesha bana
Upo wewe ntu?