Sioni umuhimu wa maandamano

Sioni umuhimu wa maandamano

Kila mtu atafute hela yake, mwanasiasa hawezi kukuletea pesa ya kula.

Vijana pambaneni, mnatumiwa na wanasiasa kupigania nafasi zao
Inaonekana wazi wewe bado kinda.
Kua uyaone.

Kama ni mtu mzima basi wewe ni falah
 
Umeshiba mpk umevimbilwa uwezi kujua kuhusu njaa na utekaji na mauaji.
Kazi ni kipimo cha utu
 
... mwanasiasa hawezi kukuletea pesa ya kula.
lakini pia anaweza kuzuia pesa yako ya kula. Hivi vitu vinahitaji ufahamu, vinginevyo utaendelea kuamini kuwa mwanasiasa hausiki kabisa katika uendeshaji wa maisha yako
 
Mzee angepiga tu nyeto asee!

Hivi akili kama hizi jf mnaijuaje? Zamani ilikua lazima uwe na IQ flani hivi kubwa uweze kupajua hapa
 
Kila mtu atafute hela yake, mwanasiasa hawezi kukuletea pesa ya kula.

Vijana pambaneni, mnatumiwa na wanasiasa kupigania nafasi zao
Kwani mkuu wewe ukitafuta hela yako si inatosha, na wanaotaka maandamano wakaandamana. Kila mmoja afanye yake. Usidhani maandamano ni kwa kila kiumbe mradi unapumua.
 
Walimu wa siasa wapo wa kutosha lazima utaelewa tu
 
Back
Top Bottom