Watu wengi wanaoathirika na masturbation wanatoa shuhuda hii, hili suala la kuwahi kumaliza sijawahi kukumbana nalo, navyofahamu mimi ni kuwa mtu aliyekubuhu ktk masturbation sio rahisi kuwahi kumaliza na hii ataweza endapo akaset fahamu zake, mfano akianza tendo tu akajisikia kumaliza ila akajizuia basi hapo kumaliza sio suala la dakika 10 au 15. Kupoteza kumbukumbu ndo tatizo common kwa kila anayefanya huu mchezo.kipindi npo skuli boding nlikuwa napiga nyeto hata mara mbili kwa sku,yan kuna madam alikuwa anaitwa madam tarimo haki ya nan kila akiingia darasan lazma nidindishe maana alikuwa mzuuri afu ana tako balaa.
sasa bhaana nilikuwa napoteza kumbukumbu balaa yaan naweza soma kitu saiz kufika jion kwny pepa nshakisahau.
Pia round ya pili kufika inabidi atumie nguvu nyingi kuvuta hisia zake.
Mimi naomba kueleweshwa jambo moja japo kwa imano niliyo nayo nimeacha haya mambo, hivi mwanamke akiridhika ni lazima atoe maji kama wanavyosema watu wengi?