Sioi Solomon Sumari kugombea Arumeru

Lowassa(CCM)+Lubuva(NEC) = Sioi(MP ARUMERU).

Kwa kombineisheni hii tujiandae kupokea habari mbaya ifikapo hiyo April.

Heasabu yako mkuu imenikumbusha mbali sana naona uliwahi kupiga hesabu za intergration vile?maana hiyo formation ni more than danger je hali itakuwaje?nadhani damu itamwagika,maana hiyo kombinesheni ni ushindi wa kulazimisha full charge-Tautology.
Hapo kuna haja ya kujipanga zaidi ya vita.na ndio maana nimeshapost humu nimesema CCM wote wanamilikiwa na EL,anaebisha ajitokeze,hata Nape kama unabisha jitokeze useme humu jukwaani,maana atakaloliamua hakuna wa kubisha,leo hii kujivua gamba kumefutika tena,ni kwa ajili alichoka na jambo hilo,huko NEC ameshapanga safu na sasa anataka kupanga huko Arumeru,hakika CDM tunaahidi kupambana
 
Mtoto wa marehemu jeremiah solomon sumary amechukua fomu ya ugombea ubunge kwa tiketi ya ccm . Kuna uwezakano mkubwa akapitishwa kuwa mgombea wa ccm kupambana na upinzani .

Yeye kwani nao umaarufu na uzoefu gani katika siasa? na je hicho kiti ni kiamba useme lazima mtoto arithishwe kama kiti cha umangi kule kwa akina Mareale Marangu? Ina maana ni Kampuni ya akina sumari inarithishwa kwa mtoto baada ya kifo cha CEO siyo?

Mdogo wangu Nasari wa CDM kaza buti tuko pamoja ktk hii vita nyepesi iliyoko mbele yetu ya kutwaa Jimbo la Arumeru kwani sasa hivi ni zamu yako kupokea kijiti kaa mkao wa kupokea .
 
Kwa kusaidia tuu,

 

mkuu uongozi wa CDM wanatakiwa waliangalie hili swala kwa jicho la tatu kwani wasije kuwa overconfidence jimbo likapotea mikononi mwao.
 
Jamani kama hali ndo hii, mbona sijamsikia mkuu wa kaya mstaafu akimleta mwanae kwenye siasa? au yeye hakuwa na watoto???
 


Mkuu, Nassari anatakiwa kutumia akili sana, na aepuka siasa za maji machafu, kumbuka nimetoa angalizo kwamba mshindi atapatikana kutokana na ukoo anaotoka. Ngoma nzito ni pale CCM wakiamua kumpitisha SIOI maana wote koo zao hazifungamani na upande wowote. Yeyote anaweza kuibuka mshindi, hapa siyo suala la nani mjuzi sana kwenye ulingo wa siasa.
 




taratibu ndg yangu sio rahisi kama unavofikiria.:A S-confused1:
 

Ninavyojua ni kwamba, huyu mtoto hajaamua mwenyewe, kuna watu nyuma yake, anaweza kuwa EL, lakini pia wanaweza kuwa wazee wa kimeru ambao wanahisi ubunge unaweza angukia kwa ukoo wasioutaka wao, au kwa sababu ya kukiokoa chama chao wanadhani Nassari ana asilimia kubwa ya kushinda iwapo watapata mgombea kutoka koo zinazopingana.

Hapa wanajaribu kucheza hesabu mkuu.
 
Chunga sana ndogo wangu Wameru hawakawii kunyanyua mapanga, hata hivyo tunawatakia mafanikio!!!! CHADEMA HURAAAA!!!

hivi si ndo hawa jamaa waliharibu mali za mwizi wa umma(mwekezaji) aafu wakakimbilia milimani?
 
Kuna wakati najiuliza hivi kama huyu SIOI kama angeamua kugombea kwa kupitia CDM, mtizamo wa watu si ungebadilika sana? Tunachotaka sisi akipitishwa asimame yeye kama yeye na si kutumia kivuli cha baba yake kama ilivyokuwa kwa V. Nyerere

aafu huyo siyo mtoto wa nyerere,tafuta mtu mwingine.
 

mujuni nakubaliana na wewe kwa wameru hiyo ya kurisishana uongozi haipo na kwa ufupi hata huyo sumari alikuwa hakubaliki kihivyo kiasi cha mwanane kupata nafasi hiyo.pia kuweka rekodi sawa willy siyo mtoto wa major gen sarakikya hilo ni jina la ukoo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…